Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Acha umbeya
Nyie ndo mnafany watu washindwe kuongelea matatizo yao KWA tafsiri zenu.
So mnahisi uzi niliweka kutafuta mwanaume?
Mtaani wamekosekana?
Kama yupo mwanaume niliemjibu pm juu ya ule uzi aje aweke wazi
If that will make you a man enough.
Nimejiandaa kwa ajili ya watu Kama hao hawakosekani katika jamii.Kwakweli now mkweli hornet...hujui unyanyapaa inaanzia zaidi hapa jf. .Bora umemjibu...nimesoma comments zake Sana kwa kina kwakweli nikabaki naumia tu moyo...yaani imekua kosa ghafla .! Watu jamani
Yule dada nimemkuta.Eeeh hatari
Isiwe tu kwenye Lori[emoji23][emoji23]
Poa ntakuchek basi
Lakini nyie watu wajinga eti "pole hazard" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].[emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole ya nin mkuu?
Ngoja nifike nitakupigia.Inabidi tumuunge Jf
Sasa Kuna maboya humu yanataka kuniweka levels za yule.
Aisee huu ubuyu wa kukupandia hewani
Tumekosea sana, tumeeleweka isivyo.
Kulikuwa na haja ya kuzingatia aina ya uzi tuliopo, hapa kumbe sio mahali sahihi kuchat kama tulivyozoea kwani huu uzi unahitaji faraja zaidi.
Au alikuwaga anavaa kigodoro? [emoji23][emoji23]Ngoja nifike nitakupigia.
Nimeuonea huruma sana.
Tumeongea mda mrefu.
Yaani lile hips kila nikilikumbuka [emoji23][emoji23][emoji23] sasa hivi hata akipita hastui
Hahaha mimi bado bado sana kuingia kwenye gridi ya taifaaLakini nyie watu wajinga eti "pole hazard" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapa ninacheka sina mbavu ngoja nifikeKumbe wa kupewa Pole hata Jf haijui
Sore mkuu ni 2005 sio 2015.Kumbe huduma ya kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ilichelewa hivi. Ila nimekumbuka mama mmoja naambiwa aliolewa na mume positive ana watoto wanne, wa kwanza aliolewa. Wakati yupo grade 7 nipo grade 2, mwaka 2007 hiyo. Yupo anadunda ila mwanamichezo mzuri sana.
Huna ustaarabu hata kidogo...huna nasema...usipende kujifanya msafi shit happens...chukua angalizo Basi ..sionkuanza kumnyanyapaa mtu kisa aloweka Uzi zake .khaa grow up
Mkuu uliuonaga uzi?
Dah bora tumepona braza
Duh
Hao watu mbona kama wametuamulia leo!Siamini ksma umekurupuka kiasi hiki, mimi nilimuuliza Extrovert kama aliwahi kuuona uzi kabla, na tulichokuwa tuna jadili hskihusiani na uzi huu ispokuwa stori za kufanana.
Dikutarajia ungekurupuka kiasi hiki kuninyooshea kidole
Siamini ksma umekurupuka kiasi hiki, mimi nilimuuliza Extrovert kama aliwahi kuuona uzi kabla, na tulichokuwa tuna jadili hskihusiani na uzi huu ispokuwa stori za kufanana.
Dikutarajia ungekurupuka kiasi hiki kuninyooshea kidole
[QUOTEHaoana
Siamini ksma umekurupuka kiasi hiki, mimi nilimuuliza Extrovert kama aliwahi kuuona uzi kabla, na tulichokuwa tuna jadili hskihusiani na uzi huu ispokuwa stori za kufanana.
Dikutarajia ungekurupuka kiasi hiki kuninyooshea kidole
Kwahiyo ule Uzi wewe Kama wewe unasemaje? Mbona mnapenda kuhukumu namna hiyo jamani?let's be positive ....yaani mtu asiandike feelings zake bas mshaanza kuulizana oya ulienda pm!? Huoni km ni unyanyapaa...hebu kuweni wastaarabu....! Hadi kuja kuandika hapa anahutaji faraja lakini waja mmeanza kusengenya...! Shame..
Wewe ni tahira.
Hao watu mbona kama wametuamulia leo!
Ni wanafiki tu, Watanzania ndivyo walivyo, ukiwaambia tatizo lako watajifanya wakusikitikia kumbe kinyume chake.Hao watu mbona kama wametuamulia leo!
Unajua mada 2 zimeingiliana tatizo hamjaelewa ila mmekuwa judgmentalSomeni mlichoandika Kama sio unyanyapaa