Basi yaishe tu dadaWewe umesema najipendekeza...Sasa nijipendekeza kwa hornet unajua mie namfahamje? Chaa! Kwaheri
Yaani utadhani ndonwakwanza yeye...kwanza watu wamegeuka kumpa mawaidha kumbe hujui hata sisi kumbe Tumo hatujijuiUzi ulikua wa kuConfess madhila yake mtoa mada, badala ya kupokea toba yake mmebaki kusimanga na kumjaza hofu.
You'll never know what tommorow will bring
Yaishe ...Msome mwanaume mwenzako ushimen uone alichocement ..! Naona nikiandika Mimi utasema coz ni "she"...Basi yaishe tu dada
Easy esy madameYaishe ...Msome mwanaume mwenzako ushimen uone alichocement ..! Naona nikiandika Mimi utasema coz ni "she"...
Daah leo mtakatifu Wangari umenivamia kweli kweli, hii ni jf lkn.Yaishe ...Msome mwanaume mwenzako ushimen uone alichocement ..! Naona nikiandika Mimi utasema coz ni "she"...
Tunapinga unyanyapaa mkuu...easy!E
Easy esy madame
Bado sio solution hiyoIla kiukwel watu weng hawatumii ndomu..amin hilo...mim huu ni mwaka wa 3 si.tomb bila ndom na niko makin sana
Sili de.nda kijinga..nahakikisha sjajichubua na mswak...
Nikishave sit.ombi had zipite siku 4 maana najua ukishave lazima ujikate kdgo hata kama hutoona
Kiufupi mim nina Phd ya kutumia ndomu
Tunapinga unyanyapaa mkuu...easy!E
Easy esy madame
Daah leo mtakatifu Wangari umenivamia kweli kweli, hii ni jf lkn.
Usitumie nguvu kubwa isiyo na sababu
Hakika, sukari, saratani, hypertension+moyo, haya kwa sasa ndio magonjwa. Mtu akikuambia ana saratani ndio basi tena, and the thing with saratani, hadi ijiachie uijue ujue ishafika panapo na safari inakaribia. I don't see HIV kuwa ugonjwa tishio, naona hofu na wasiwasi ukimaliza watu ila sio ugonjwa.Siku hizi ugonjwa huu wala sio wa aibu wala kutisha kama awali.
Hakuna familia ambayo haijaguswa kwa namna moja au nyingine na ugonjwa huu.
Ugonjwa hatari ni cancer na kisukari na sio huu kwa siku hizi
SawaWewe ndo umejifanya mtakatifu ..soma vzr comments zenu uone Kama mhusika anajiskiaje...! Then wasome wanaume wenzako huko juu uone walichoandika..bye
Kubali umeteleza!...Sawa
Ni kweli kabisa, tena wenye HIV wana afya za kuvutia kuliko wasio nao.Hakika, sukari, saratani, hypertension+moyo, haya kwa sasa ndio magonjwa. Mtu akikuambia ana saratani ndio basi tena, and the thing with saratani, hadi ijiachie uijue ujue ishafika panapo na safari inakaribia. I don't see HIV kuwa ugonjwa tishio, naona hofu na wasiwasi ukimaliza watu ila sio ugonjwa.
Kubali umeteleza!...Sawa
Usinilazimishe nikiri sawa na ulivyofikiri au kupokea.Kubali umeteleza!...
Tutafutane basiSawa karibu sana
Nakuhakikishia, hao ni wakupuuza kabisa.Nawaona wababa mnavyo sutana humu.
Nawaona members wanavyo mnyanyapaa mleta mada bila hata aibu....
Nawaona members wanavyo jifanya wasafi na wakamilifu....
Nawaona members wanavyo jitoa ufahamu kana kwamba kwenye familia zao hakuna walio ambukizwa HIV....
Nawaona members wanavyo mhukumu mleta post kana kwamba yeye ndie mtenda dhambi sana.....