Shukuru una kiba100 ungekomaKmmmk mara paap SD Bioline ina mistari pacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787] lazma ukae chini ulie kummmk!!!
Nili risk sana afya yangu nilikuwaga natabia hio on my early 20's napiga ududu mpaka nikija kutulia kichwa kimechubuka vibaya mno. Mtoto wa kike nimemgaragaza kalowa na kukauka hata mara 6!
Stamina na tizi ilikuwepo la uhakika, 40mins juu ya kifua cha mwali ni uhakika. Nikaja kupewa somo na wandewa kuwa kumbe zile shughuli za umwamba zingeweza kuniua kisenge. Since then nagusa mos mos nikichuja tu tumefunga mjadala. Hamna faida kwanza hutaweza mkomoa manzi na una risk afya yako.
Achana nae huyu dada yangu HornetAcha umbeya
Nyie ndo mnafany watu washindwe kuongelea matatizo yao KWA tafsiri zenu.
So mnahisi uzi niliweka kutafuta mwanaume?
Mtaani wamekosekana?
Kama yupo mwanaume niliemjibu pm juu ya ule uzi aje aweke wazi
If that will make you a man enough.
Jinga wewe, unauzoefu ee[emoji1]Shukuru una kiba100 ungekoma
Ahaaahaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]We jamaa ni kumma ujue, af wayback naonaga una michongo ya kuleta shobo za kiwaki ila nakuchuniaga tu! Serious trouble inahusiana vipi na mie kuchat na wana? Kama pole tushampa mbona unakuwa kama unachochwa arifu?
Ohoo mbona tunaumbuana tena..pls madam we unaheshima sana humu ndan hebu jarib kumspare huyo jamaa yangu hata kama mnajuana msianikane hapa.Shukuru una kiba100 ungekoma
Unaweza kukisaga kinakuwa unga unatia maji, unasereresha kooniDonge kubwa kama dole gumba hatari sana hii
Kuna watu wanaudhi sanaAhaaahaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
We jamaa una mitusi si ya nchi hii[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Am healthy very fine
Sijaambiwa habari YA dawa
Ila huu ugonjwa bana. Kwa nini hao virusi wenyewe huwa hawaonekani katika vipimo kama hawa wa Korona na virusi vinginevyo? Kuna ishu gani hapa?Chukua kwangu, HiV test inapima antibodies! Hizi ni kama ngome ya ulinzi kwenye cell hai za binadamu ili kukulinda na magonjwa na endapo zitaonekana kwa wingi kwenye kipimo cha HIV basi kitasoma HIV+
Unapopiga sindano ya chanjo kama Tetanus ujue unaenda kuamsha antibodies ghafla ili incase ya ugonjwa utakapoanza ulinzi uwe tayari. Ndio maana ya chanjo. Sasa ikiwa katika kipindi kile mwili umeamsha antibodies ukaamua kupima HIV ujue kipimo kita detect una Ugonjwa kitasema + hata kama hauna ngoma.
Ukikaa baada ya muda mwili ukaji adjust ukarudi kwenye neutral condition ukirudia test itasoma - ndio maana unaweza ukawa na Malaria, au maradhi yeyote yatakayoamsha antibodies ukatest ukaonekana umewaka ukaanza kula midawa kumbe hauna shida.
Transfoma ipi?Pole sana mkuu kwa kuruka sarakasi kwny Transfoma mpaka likalipuka.
Acha kujibizana ukweli utabaki ulivyo njia ni moja unataka upewe zawadi gani mpaka unataka suluhu?Wapi nimenyooshea kidole?
Leo mapengo mwenzangu umekuwa mtakatifu eeNawaona wababa mnavyo sutana humu.
Nawaona members wanavyo mnyanyapaa mleta mada bila hata aibu....
Nawaona members wanavyo jifanya wasafi na wakamilifu....
Nawaona members wanavyo jitoa ufahamu kana kwamba kwenye familia zao hakuna walio ambukizwa HIV....
Nawaona members wanavyo mhukumu mleta post kana kwamba yeye ndie mtenda dhambi sana.....
DuuhPole sana mkuu kwa kuruka sarakasi kwny Transfoma mpaka likalipuka.
Lete darsa basi dah utam utam dahBado sio solution hiyo
Siwezi kutaka suluhu na kivuli, una haki kuelewa sawa na ufahamu wako lkn huwezi kunilazimisha kama utakavyoAcha kujibizana ukweli utabaki ulivyo njia ni moja unataka upewe zawadi gani mpaka unataka suluhu?
Utaambiwa mnyanyapaa ohooWewe si ndo yule ulie kua una hamu ya kusex kupitiliza
Namtania bana, hata yy anajua hivoOhoo mbona tunaumbuana tena..pls madam we unaheshima sana humu ndan hebu jarib kumspare huyo jamaa yangu hata kama mnajuana msianikane hapa.
Jus a joke tuJinga wewe, unauzoefu ee[emoji1]