My confession: Hornet is Positive

My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Kmmmk mara paap SD Bioline ina mistari pacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787] lazma ukae chini ulie kummmk!!!

Nili risk sana afya yangu nilikuwaga natabia hio on my early 20's napiga ududu mpaka nikija kutulia kichwa kimechubuka vibaya mno. Mtoto wa kike nimemgaragaza kalowa na kukauka hata mara 6!

Stamina na tizi ilikuwepo la uhakika, 40mins juu ya kifua cha mwali ni uhakika. Nikaja kupewa somo na wandewa kuwa kumbe zile shughuli za umwamba zingeweza kuniua kisenge. Since then nagusa mos mos nikichuja tu tumefunga mjadala. Hamna faida kwanza hutaweza mkomoa manzi na una risk afya yako.
Shukuru una kiba100 ungekoma
 
Acha umbeya
Nyie ndo mnafany watu washindwe kuongelea matatizo yao KWA tafsiri zenu.

So mnahisi uzi niliweka kutafuta mwanaume?
Mtaani wamekosekana?

Kama yupo mwanaume niliemjibu pm juu ya ule uzi aje aweke wazi

If that will make you a man enough.
Achana nae huyu dada yangu Hornet
 
We jamaa ni kumma ujue, af wayback naonaga una michongo ya kuleta shobo za kiwaki ila nakuchuniaga tu! Serious trouble inahusiana vipi na mie kuchat na wana? Kama pole tushampa mbona unakuwa kama unachochwa arifu?
Ahaaahaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]

We jamaa una mitusi si ya nchi hii[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
 
Chukua kwangu, HiV test inapima antibodies! Hizi ni kama ngome ya ulinzi kwenye cell hai za binadamu ili kukulinda na magonjwa na endapo zitaonekana kwa wingi kwenye kipimo cha HIV basi kitasoma HIV+

Unapopiga sindano ya chanjo kama Tetanus ujue unaenda kuamsha antibodies ghafla ili incase ya ugonjwa utakapoanza ulinzi uwe tayari. Ndio maana ya chanjo. Sasa ikiwa katika kipindi kile mwili umeamsha antibodies ukaamua kupima HIV ujue kipimo kita detect una Ugonjwa kitasema + hata kama hauna ngoma.

Ukikaa baada ya muda mwili ukaji adjust ukarudi kwenye neutral condition ukirudia test itasoma - ndio maana unaweza ukawa na Malaria, au maradhi yeyote yatakayoamsha antibodies ukatest ukaonekana umewaka ukaanza kula midawa kumbe hauna shida.
Ila huu ugonjwa bana. Kwa nini hao virusi wenyewe huwa hawaonekani katika vipimo kama hawa wa Korona na virusi vinginevyo? Kuna ishu gani hapa?
 
Nawaona wababa mnavyo sutana humu.
Nawaona members wanavyo mnyanyapaa mleta mada bila hata aibu....
Nawaona members wanavyo jifanya wasafi na wakamilifu....
Nawaona members wanavyo jitoa ufahamu kana kwamba kwenye familia zao hakuna walio ambukizwa HIV....
Nawaona members wanavyo mhukumu mleta post kana kwamba yeye ndie mtenda dhambi sana.....
Leo mapengo mwenzangu umekuwa mtakatifu ee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom