Usiogope hizo ni propaganda za wazungu kututia hofu....Asante shemeji
Asantee [emoji8]Furahia maisha sasa kuliko kipindi chochote kwenye maisha yako. Fanya yale mambo ambayo ulikua hujawahi kuyafanya before, kama kusafiri sehem ambazo hujafika, cheza michezo ambayo hujawahi kuicheza before, jaribu kufanya interesting things ambazo hujawahi kufanya before
there is nothing to fear.
swali la kiwaki sana hiliMungu azidi kukutia nguvu..je ulikua na multiple partners..as mambo ya ujana...au just mtuwako uliyemuamini ndio unahis ndio amekupa...sorry kwa swali hili
Wazungu washenzi sana...hiyo project yao tumeishtukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]