Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Ningekuwa na pesa ningekuoa. Tatizo pesaDuh! Pole sana dada ila unakaujasiri!.. Mungu akuongoze vyema uishi salama akupe moyo wa ustahimilivu nasisi Kama wana jamiiforum wenzako tupo nyuma yako kukutia moyo..