Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteHIV, ninaye jamaa yangu ana zaidi ya 25 yrs since he was first diagnosed with HIV. Nowadays it is no longer a threat as long as you don't smoke and drink and keep on using the protection during "kale kamchezo" while using ARV drugs.
Kuna watu nchi hii wanataka kutuharibia; wanawaita hao wanaotengeneza ARV drugs: Mabeberu, siku wakigoma kuleta hizo dawa, tumekwisha.
Mama la mama hataki kukojoeshwa tena[emoji1787][emoji1787]Sema Unatania Basi!!! Mungu Akutie Wepesi Asee! Cc Smart911
Tunaenda tu mabaharia hatujawahi kuogopa ngwengwe.....Hornet anacheza na akili za watu tu. Anataka mabaharia mpunguze kuzama PM kwake. Ni hilo tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Leo basi tukutane dagaa dagaa hapo rombo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kinga zipo[emoji1]