My confession: Hornet is Positive

My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Nawaona wazee wa kula tunda kimasihara na wale wote waliokuletea shobo hapa jamvini, wakipita kimya kimya bila kucommet chochote.... Pole sana mkuu yote ni maisha kikubwa uhai
[emoji28][emoji28] wanaruhusiwa kupima pia
 
HIV, ninaye jamaa yangu ana zaidi ya 25 yrs since he was first diagnosed with HIV. Nowadays it is no longer a threat as long as you don't smoke and drink and keep on using the protection during "kale kamchezo" while using ARV drugs.

Kuna watu nchi hii wanataka kutuharibia; wanawaita hao wanaotengeneza ARV drugs: Mabeberu, siku wakigoma kuleta hizo dawa, tumekwisha.
Asante
 
Pole sana.

Ila andiko lako nafikiri dakika hii limenizuia nisiingie majaribu. Kuna demu hapa niko nae harafu mazingira hatarishi akili ilinituma tu nipime moto kwa petrol. Umeniokoa.
 
Pole sana.

Ila andiko lako nafikiri dakika hii limenizuia nisiingie majaribu. Kuna demu hapa niko nae harafu mazingira hatarishi akili ilinituma tu nipime moto kwa petrol. Umeniokoa.
Chukua tahadhari tumia kinga
 
No big deal, ma mdogo wangu alikutwa na huu ugonjwa mimi nipo la nne.

Nimeenda Sekondari, O na A level, nimeenda chuo.

Nipo uraiani zaidi ya miaka 4.

Nimepata mtoto.

Na yupo bado.

Yeye na mumewe, wote wapo.

Naona nitaendelea kuona koment zako mpaka huyu mwanangu atakapoolewa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom