My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
bado unayo nafasi ya kupambania ndoto zako,,,, na mwenzio je?
 
Wewe umepima au una ushujaa kama wangu? Mi kupima labda greda la Manispaa lije linizoe linipeleke kwa mpimaji. Na mpimaji awe amekamata AK47 mtutu kauelekeza kwenye medula oblangata... Afu chupa kubwa ya K Vant iwe inaniangalia kwa huzuni...

Nimecheka sana we mzee bwana
 
Halafu onasemekana vile vidonge ndo kabuli lenyew kuna mdau alidai hivo, akasema ndo sababu walevi wengi hawafi mapema kwa sababu hawazingatii ratiba ya dozi
umenikumbusha juzi amoeba wamenikamata, nikameza dawa siku moja tu, nilipoikumbuka baileys nikajisemea kwani hawa amoeba hawaogopi hydroxyl group
 
Leo nimegundua kuwa JF watu ni wazuri na wenye ustaarabu Sanaa Kwa tatizo la mwenzao.

Wengi wametoa pole na ushauri mzurii sanaa.

Kwako Dadangu polee Sanaa ndio maisha
Wanasema kila Nafsi itaonja mauti.

Nakila mtu ana mauti yakee.

Pia ishi katika Imani Kwa Dini yako.

Hope utapokea Sanaa kila ulistahilipo.

I love you sanaaa kipenziii
 
Af
Afu sijui kwanin napendaga the way uko!

Love you alot!
 
Pole sana
 
Lile grupu lenu la man utd bado lipo na yule jike dume bado analiongoza? Maana kabla hujawekwa humo kuna grupu wanakuweka unakaangwa na maswali ukiweza kuyajibu umepita....
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee, mitandao hii [emoji119][emoji119][emoji119].. bado yapo na huyo binti yupo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…