dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahahahhahaMambo ya ajali kazini naona wadau wanakuaga nataka mimi ndiye nikaimu mikoba yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahhahaMambo ya ajali kazini naona wadau wanakuaga nataka mimi ndiye nikaimu mikoba yako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mambo ya ajali kazini naona wadau wanakuaga nataka mimi ndiye nikaimu mikoba yako
Ha haaa kila la kheri.Ok sawa,Basi na mim nasubir nione hizo alama
Mkuu umesoma saikolojia?Ha haaa kila la kheri.
Hapana, why?Mkuu umesoma saikolojia?
Ok sawa,ukipata muda soma types of personalityHapana, why?
SawaOk sawa,ukipata muda soma types of personality
nyoko yako
Usiogope hizo ni propaganda za wazungu kututia hofu....
Wazungu washenzi sana...hiyo project yao tumeishtukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo wanataka uwe mteja wao sasa wakununua mbaazi
Wewe umepima au una ushujaa kama wangu? Mi kupima labda greda la Manispaa lije linizoe linipeleke kwa mpimaji. Na mpimaji awe amekamata AK47 mtutu kauelekeza kwenye medula oblangata... Afu chupa kubwa ya K Vant iwe inaniangalia kwa huzuni...
Kaka hii avatar yako huu mdomo nauonaga kwa mkaka mmoja pale DHL airport.
Amebadilika baada ya kurudi kutoka Zanzibar![emoji41][emoji41][emoji41]Eeenh naona umebadilika mrembo [emoji847]
Amebadilika baada ya kurudi kutoka Zanzibar![emoji41][emoji41][emoji41]
umenikumbusha juzi amoeba wamenikamata, nikameza dawa siku moja tu, nilipoikumbuka baileys nikajisemea kwani hawa amoeba hawaogopi hydroxyl groupHalafu onasemekana vile vidonge ndo kabuli lenyew kuna mdau alidai hivo, akasema ndo sababu walevi wengi hawafi mapema kwa sababu hawazingatii ratiba ya dozi
Habari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno. Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
Majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno. Nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
My take ;
Usimpime mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Pole sanaHabari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno. Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
Majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno. Nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
My take ;
Usimpime mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee, mitandao hii [emoji119][emoji119][emoji119].. bado yapo na huyo binti yupoLile grupu lenu la man utd bado lipo na yule jike dume bado analiongoza? Maana kabla hujawekwa humo kuna grupu wanakuweka unakaangwa na maswali ukiweza kuyajibu umepita....