My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
hakuna kitu kinachoitwa HIV ni propaganda tu za wazumgu.fanya mambo uako endelea na maisha yako usije ukadanganyika ukaingia kwenye mtego wao wa kuw mteja wa kudumu wa vile vidonge
Deception
wew huwa unaelewa anavoviandika huyo jamaa? sijawahi kumwelewa.
 
Kwa miongozo inayotumika sasa hivi ukipima na kukutwa na maambukizi unaanza dawa haraka iwezekanavyo baada ya kufanyiwa vipimo vya viral load, CD4, liver and renal profiles pamoja na full blood picture, imekuwaje wewe hukupitia utaratibu huu?
Inashangaza.
 
Baba wa watu USHAMUUUA Maskini dah...


Anyway UHAI NI BORA ,NA USHAURI WA DAKTAR NI BORA ZAID ILI KULINDA AFYA.]



2017


View attachment 1583992
 
Nakupa pole Hornet si kwa sababu umepata HIV bali ningekupa pole hata ungesema unaumwa malaria!!!

Sote tuliochangia mada hii am certain we already had a higher probability, hata ya 100% ya kupata HIV kama wewe sema tu ndo vile sio kila anayeng'atwa na mbu kesho ataamka na malaria... it's just a matter of chance or probably lucky!!

And guess what... I won't say "stay strong" ila tu nitasema keep staying strong coz' I know tayari unaishi strong ndo maana umeweza kutoa ushuhuda hapa JF kwa kutumia ID yako ile ile tunayoijua sote jambo ambalo si la kawaida!!

Nimezoea kuona JF, watu wakidhani wanatua mzigo kwa jambo lililowakaba kohoni lakini wanafanya hivyo kwa kufungua new unknown ID!!

Huwezi kutua mzigo kwa kutumia unknown fake ID!!
 
Hujafa,sijasema umemuua....I LOVE YOU TO THE END OF TJE WORLD
Wewe ni tatizo kwa jamii! Na hapa chini umesema nini:-
Baba wa watu USHAMUUUA Maskini dah...
Btw, nini kilikusukuma kufukua threads zake za nyuma?! Ulikuwa unajaribu ku-verify nini hasa?!

Man, I hate to say this but to be honest, your soul is fake!!
 
Wewe ni tatizo kwa jamii! Na hapa chini umesema nini:-
Btw, nini kilikusukuma kufukua threads zake za nyuma?! Ulikuwa unajaribu ku-verify nini hasa?!

Man, I hate to say this but to be honest, your soul is fake!!
Thank you.
 
Wewe ni tatizo kwa jamii! Na hapa chini umesema nini:-
Btw, nini kilikusukuma kufukua threads zake za nyuma?! Ulikuwa unajaribu ku-verify nini hasa?!

Man, I hate to say this but to be honest, your soul is fake!!
Mm sijamchukia ila nilimwambia nampenda,ila wewe unasema unanichukia kwa hoja tu,wakat hunifaham au namfaham vipi, mpk unaenda mbali kusema my soul is fake,that's ridiculous.Your soul is too weak.Thanks though kwa Ku re-quote
 
Mm sijamchukia ila nilimwambia nampenda,ila wewe unasema unanichukia kwa hoja tu,wakat hunifaham au namfaham vipi, mpk unaenda mbali kusema my soul is fake,that's ridiculous.Your soul is too weak.Thanks though kwa Ku re-quote
Wapi nimesema "nakuchukia"?! Na wapi nimesema umesema unamchukia?!

Nasema your soul is fake kwa sababu mtu umemwambia kabisa kwamba amemuua mumewe halafu unajifanya kukana!! Na kama hiyo haitoshi, bado unaenda kufukua threads zake za nyuma ili kujaribu kuhusisha thread husika na kuathirika hapo kwake na hapo hapo unajifanya kusema unampenda baada ya kukuuliza unajuaje kwamba hajaambukizwa na mumewe!!

So, it might be ridiclous or my soul is weak but I repeat, your soul is fake kwa sababu umejaa unafiki! Huwezi kumtuhumu mtu kumuua mumewe halafu anakuuliza una uhakika gani, hapo hapo unakana na kudai unampenda!!
 
HIV now days ni km kunywa maji tu jaman daaa na hawa warembo walivyo jaa
 
Jamaa alikula kavu sio?!
 
Tafuta hela uondoe msongo wa hasira,ili uelewe kuwa unaweza kumpenda mtu na ukamwambia ukweli mchungu.Nmemaliza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…