Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipe moyo mkuu, mwaka huu umetuliza wengi sanaTumepambana ila yeye (Mungu) kaamua yake simlaumu ila nina maswali mengi sana. Why now?
I'm puzzled ila Ndio naanza uyatima leo
Pole baba ila hukusema lolote kuhusu Status ya afya ya mzee before, labda tungechelewesha kuondoka kwake hapa duniani!Tumepambana ila yeye (Mungu) kaamua yake simlaumu ila nina maswali mengi sana. Why now?
I'm puzzled ila Ndio naanza uyatima leo
Pole sana mkuu.,kazi ya Mungu haina makosa.Tumepambana ila yeye (Mungu) kaamua yake simlaumu ila nina maswali mengi sana. Why now?
I'm puzzled ila Ndio naanza uyatima leo
Tumepambana ila yeye (Mungu) kaamua yake simlaumu ila nina maswali mengi sana. Why now?
I lost my mother 4th February this year
I'm puzzled ila Ndio naanza uyatima leo
Yatima ni yatima.Pole mkuu Mimi nimezika baba juzi, nilijikaza ila nimelia sana.
Ila sioni neno yatima kama unalitumia vizuri.
1. Wewe ni mtoto I mean under 18? au neno yatima ni sahihi hata kwa babu wa miaka 100 aliyefiwa na wazazi wake?
Pole sana MkuuPole sana nimepoteza Baba yangu toka February lkn mpk leo nashindwa kufuta namba yake. Pole sana sana mkuu. Hata nikipita pale kisutu sitaki kutazama upande ule wa makaburi.
Pole sana mkuu!
Mungu wa Mbinguni awatie nguvu
Pole san, to him we belong and to him we will return. I hope u had a chance to tell him how u love himTumepambana ila yeye (Mungu) kaamua yake simlaumu ila nina maswali mengi sana. Why now?
I lost my mother 4th February this year
I'm puzzled ila Ndio naanza uyatima leo