My date didn’t show up

Wa hivi ni wachache mkuu, watu wanakomoa. Kushauriana ni muhimu sana.
 
Umezunguka sana kuweka hili tangazo,yani mpaka umetembeza na chai kabisa hapa!
Wewe weka tu bei yako,wateja wa mbususu watakufuata PM.
 
hata ndani hua siingii,,na kam n sehem ya wazi hata andazi siagizi aseee,, natoka nyumbani npo zangu full ugali πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
Unampenda na huto kakupata vizuri baada ya mwezi tu anakukula tena bila wasi wasi.
 
Mabaharia walikutana
 
Hajiamini huyo πŸ˜…
 
Nilikuja nikakuona umepauka ikabidi niingie mitini
 
Sasa hapo kwa mu Australia mbona ume tu forwardia tu, hatujaona mchezo ulivyoenda?

Halafu wa Australia ujue hawana mchezomchezo, mimi nishafanya kazi nao nawajua.
 
Sasa hapo kwa mu Australia mbona ume tu forwardia tu, hatujaona mchezo ukivyoenda?

Halafu wa Australia ujue hawana mchezomchezo, mimi nishafanya kazi nao nawajua.
Mbona unataka kumtisha mtoa mada Mkuu 😜

Wazungu huwa wanasema hakuna chai ya bure

Huenda mtoa mada alikutwa na jambo πŸ˜…
 
.
Nikazie kwenye rule no 2, kiustaarabu hutakiwi kuagiza dish au kinywaji expensive kuliko anayeku-treat.
.
Best way ni kusibiri yeye aagize then uagize ndani ya bajeti yake au chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…