My ex anataka kuvunja uchumba wangu.

My ex anataka kuvunja uchumba wangu.

kwa nn unakuwa karibu nae mpk anaingilia mambo yako inaonekana na wewe bado unampenda ndio maana huko nae karibu na mie nahisi uliporudi ulitembea nae ndio maana anakuganda jifunze kutupa jongoo na mti wake sio unatupa jongoo mti wake unabaki nao ndio matokeo yake hayo
 
kwa nn unakuwa karibu nae mpk anaingilia mambo yako inaonekana na wewe bado unampenda ndio maana huko nae karibu na mie nahisi uliporudi ulitembea nae......
cjwah kufanya hivyo ndugu namweshimu sana mchumba wangu.
 
Salamu wanajamvi.polen na shughul za maisha kwa wale wanaoumwa polen sana na Mungu awawekee mkono mpone haraka.Polen Watanzania wote na wapenda aman wa nchi hii ktk hali hii ngumu ya vururgu tunayoipitia Mungu atuepushe na majanga AMEN.
BACK TO MADA:
kama miaka mitatu iliyopita nilikuwa na msichana tulieachana bila ugomvi ila kutokana na umbali baada ya mimi kwenda mkoa mwingine kikaz.tulipoteza mawasiliano na kila mtu akaendelea na maisha mengine kivyake.kwa upande wangu nilipata msichana mwingine na kuanzisha mahusiano na mpaka sasa ni mchumba wangu na tushatambulishana kwa wazaz.
mwaka huu nimepata likizo na kurud mkoan kwetu ambapo nilikutana na my-EX akanambia bado ananipenda na anataka turudishe mapenz nilimkatalia na kumweleza kuwa ninamchumba lakin akasema ameumizwa na wanaume aliokuwa nao hapo nyuma so nikimkataa hato olewa coz mm pekee ndo chaguo lake.MPAKA sasa namkataa ila amekuwa msumbufu sana mpaka nyumban wamejua.Leo hii amekuja na ombi moja kuwa kama sitaki kuwa nae bas ANAOMBA KUZAA NA MM.
amesema nikikubal kumpa mimba bas hatonisumbua tena.PLZ WAKUBWA NISAIDIEN.nawasilisha......

oa wake wawili kama vipi
 
chunga sana akibeba mimba ndo mkeo tena kwani lazima ataleta vurugu kwa mchumba ako
 
Chagua toka moyoni unayempenda. Usijekuwa humpendi mchumba wa sasa. Kama wampenda mchumba wako. Kata mawasiliano yote na huyo wazamani.
 
Salamu wanajamvi.polen na shughul za maisha kwa wale wanaoumwa polen sana na Mungu awawekee mkono mpone haraka.Polen Watanzania wote na wapenda aman wa nchi hii ktk hali hii ngumu ya vururgu tunayoipitia Mungu atuepushe na majanga AMEN.
BACK TO MADA:
kama miaka mitatu iliyopita nilikuwa na msichana tulieachana bila ugomvi ila kutokana na umbali baada ya mimi kwenda mkoa mwingine kikaz.tulipoteza mawasiliano na kila mtu akaendelea na maisha mengine kivyake.kwa upande wangu nilipata msichana mwingine na kuanzisha mahusiano na mpaka sasa ni mchumba wangu na tushatambulishana kwa wazaz.
mwaka huu nimepata likizo na kurud mkoan kwetu ambapo nilikutana na my-EX akanambia bado ananipenda na anataka turudishe mapenz nilimkatalia na kumweleza kuwa ninamchumba lakin akasema ameumizwa na wanaume aliokuwa nao hapo nyuma so nikimkataa hato olewa coz mm pekee ndo chaguo lake.MPAKA sasa namkataa ila amekuwa msumbufu sana mpaka nyumban wamejua.Leo hii amekuja na ombi moja kuwa kama sitaki kuwa nae bas ANAOMBA KUZAA NA MM.
amesema nikikubal kumpa mimba bas hatonisumbua tena.PLZ WAKUBWA NISAIDIEN.nawasilisha......

Mpe mimba uone.
 
Mmh, jina lako limekaa kike na mada imekaa kike

Mwanamme unatishiwa kuvunjiwa uchumba na mwanamke??
 
Looks like unainterest na huyo dada,kama haumtak mtu hautokosa njia ya kumpotezea mpaka mwenyewe atajshtukia..!zaa nae huyo x na mchumba wako atapata mimba ya X na we ndo utalea,nashndwa kuelewa kwann mtu unaendekeza X
 
Salamu wanajamvi.polen na shughul za maisha kwa wale wanaoumwa polen sana na Mungu awawekee mkono mpone haraka.Polen Watanzania wote na wapenda aman wa nchi hii ktk hali hii ngumu ya vururgu tunayoipitia Mungu atuepushe na majanga AMEN.
BACK TO MADA:
kama miaka mitatu iliyopita nilikuwa na msichana tulieachana bila ugomvi ila kutokana na umbali baada ya mimi kwenda mkoa mwingine kikaz.tulipoteza mawasiliano na kila mtu akaendelea na maisha mengine kivyake.kwa upande wangu nilipata msichana mwingine na kuanzisha mahusiano na mpaka sasa ni mchumba wangu na tushatambulishana kwa wazaz.
mwaka huu nimepata likizo na kurud mkoan kwetu ambapo nilikutana na my-EX akanambia bado ananipenda na anataka turudishe mapenz nilimkatalia na kumweleza kuwa ninamchumba lakin akasema ameumizwa na wanaume aliokuwa nao hapo nyuma so nikimkataa hato olewa coz mm pekee ndo chaguo lake.MPAKA sasa namkataa ila amekuwa msumbufu sana mpaka nyumban wamejua.Leo hii amekuja na ombi moja kuwa kama sitaki kuwa nae bas ANAOMBA KUZAA NA MM.
amesema nikikubal kumpa mimba bas hatonisumbua tena.PLZ WAKUBWA NISAIDIEN.nawasilisha......
Yaani hapo unaomba ushauri wa nini sasa? Wewe ndo mwenye uamuzi wa yupi unampenda zaidi na atakayekufaa kuwa mwenza wa maisha. Suala la kuzaa na mtu!!!!! Hilo kataa kwa nguvu zote ukikubali tu ujuwe hata ukimwoa yule mwingine hata huyu atakuwa mkeo tu. Atakuwa anatumia kisingizio cha kuomba matunzo ya mtoto au kuleta mtoto amwone baba yake na hapo mahusiano yataendelea kama kawaida. Na zaidi ya hapo hilo litayumbisha ndoa yako sana. Kwa hiyo wewe shika mmoja tu, kwani mshika mbili moja humponyoka. HAPO AKILI MU KICHWA MDOGO WANGU.
 
weraaaaaaaaaaaaaaaaaa kama alikupenda mbona hakukusubiri hadi urudi hata kama ni baada ya miaka 10,ametembeza kitumbua chake kimeingia mchanga ndo anatafuta maponeo kwako hebu zimua ubongo wako kwa ndofu ufanye maamuzi ya busara bhana hizo akili za kushika pembe achana nazo.tupa kuleeeeeeeeeee

Akili yako kama avatar yako vile.
 
MPAKA sasa namkataa ila amekuwa msumbufu sana mpaka nyumban wamejua

SASA KAMA UMEMKATAA HUKU UMEKUJA KUTAKA WAKUSHAURI NINI UZINI????
 
Salamu wanajamvi.polen na shughul za maisha kwa wale wanaoumwa polen sana na Mungu awawekee mkono mpone haraka.Polen Watanzania wote na wapenda aman wa nchi hii ktk hali hii ngumu ya vururgu tunayoipitia Mungu atuepushe na majanga AMEN.
BACK TO MADA:
kama miaka mitatu iliyopita nilikuwa na msichana tulieachana bila ugomvi ila kutokana na umbali baada ya mimi kwenda mkoa mwingine kikaz.tulipoteza mawasiliano na kila mtu akaendelea na maisha mengine kivyake.kwa upande wangu nilipata msichana mwingine na kuanzisha mahusiano na mpaka sasa ni mchumba wangu na tushatambulishana kwa wazaz.
mwaka huu nimepata likizo na kurud mkoan kwetu ambapo nilikutana na my-EX akanambia bado ananipenda na anataka turudishe mapenz nilimkatalia na kumweleza kuwa ninamchumba lakin akasema ameumizwa na wanaume aliokuwa nao hapo nyuma so nikimkataa hato olewa coz mm pekee ndo chaguo lake.MPAKA sasa namkataa ila amekuwa msumbufu sana mpaka nyumban wamejua.Leo hii amekuja na ombi moja kuwa kama sitaki kuwa nae bas ANAOMBA KUZAA NA MM.
amesema nikikubal kumpa mimba bas hatonisumbua tena.PLZ WAKUBWA NISAIDIEN.nawasilisha......

Kijanaaaaaaaaaaaaaa huyu mdada usifikiri yeye mjinga, kama alishakuchosha mkiwa bado hamjaungana sasa mkiunganishwa na mtoto si ndio atakupwetesha. Anataka kutumia jeuri ya nyani kula indi bichi, hapa swala sio mimba tuu yaani siku utakayojaribu kurudia mchezo hata utumie ndomu 10 bado ujiandae kulea mimba. Kuna jamaa yangu aliombwa gemu la kuagana baada ya demu kugundua jamaa kajishika pa ukweli yaani ameshaoa yule waliye kuwa wanaagana na ilitokana na kitisho cha mimba na msichana kuhusisha ndg ambao wana vitengo vyao hapa bongo lendi. Sasa kama unajidai umeshavua nguo oga uone cha mtemakuni.
 
Kwa maelezo yako inaonekana kila utakapokuwa umeenda mbali na mpenzi wako mtakauwa mmeachana. Pole sana mi sina cha kukushauri. Ila kuwa makini na magonjwa ya zinaa tu.
 
kaka jaribu uone,usumbufu utakaoupata hutausahau maishani,hiyo ni gelesha tu,mkishazaa atakwambia mtoto anataka kuwa karibu na baba,mara anaumwa,na usumbufu mwingine mwingi tu,kama umeamua kumuoa uliyenaye kaa na msimamo huo huo na usikaribishe mahusiano ya karibu na huyo ex wako kwani ipo siku utategwa nawe kuingia kichwa kichwa na mtaanza kumpa shida mkeo.mkimbie ibilisi.
 
Muta hebu jichunguze vizuri yawezekana unampenda huyo ex wako ila hujajua. Nasema hivyo kwa sababu mpaka kitendo cha kuleta hapa jamvini upate msaada yamkini una vi-feeling kwa huyo ex. Fanya maamuzi mara moja. Jichunguze kama wampenda au la. Ukijua jibu ni lipi fanya uamuzi haraka sana bila ya kurudi nyuma. Once decided twice confirmed.
Sawa bwana Muta?
 
Salamu wanajamvi.polen na shughul za maisha kwa wale wanaoumwa polen sana na Mungu awawekee mkono mpone haraka.Polen Watanzania wote na wapenda aman wa nchi hii ktk hali hii ngumu ya vururgu tunayoipitia Mungu atuepushe na majanga AMEN.
BACK TO MADA:
kama miaka mitatu iliyopita nilikuwa na msichana tulieachana bila ugomvi ila kutokana na umbali baada ya mimi kwenda mkoa mwingine kikaz.tulipoteza mawasiliano na kila mtu akaendelea na maisha mengine kivyake.kwa upande wangu nilipata msichana mwingine na kuanzisha mahusiano na mpaka sasa ni mchumba wangu na tushatambulishana kwa wazaz.
mwaka huu nimepata likizo na kurud mkoan kwetu ambapo nilikutana na my-EX akanambia bado ananipenda na anataka turudishe mapenz nilimkatalia na kumweleza kuwa ninamchumba lakin akasema ameumizwa na wanaume aliokuwa nao hapo nyuma so nikimkataa hato olewa coz mm pekee ndo chaguo lake.MPAKA sasa namkataa ila amekuwa msumbufu sana mpaka nyumban wamejua.Leo hii amekuja na ombi moja kuwa kama sitaki kuwa nae bas ANAOMBA KUZAA NA MM.
amesema nikikubal kumpa mimba bas hatonisumbua tena.PLZ WAKUBWA NISAIDIEN.nawasilisha......

Ni sawa sawa na mahabusu mkorofi kumuambia poilisi...'ukinifungua pingu, nitatulia wala sitakimbia'!
 
Back
Top Bottom