My ex anataka kuvunja uchumba wangu.

My ex anataka kuvunja uchumba wangu.

Muta hebu jichunguze vizuri yawezekana unampenda huyo ex wako ila hujajua. Nasema hivyo kwa sababu mpaka kitendo cha kuleta hapa jamvini upate msaada yamkini una vi-feeling kwa huyo ex. Fanya maamuzi mara moja. Jichunguze kama wampenda au la. Ukijua jibu ni lipi fanya uamuzi haraka sana bila ya kurudi nyuma. Once decided twice confirmed.
Sawa bwana Muta?
kwakwel kwa sasa feeling zote ni kwa mchumba wangu tu.nashukuru sana ntafanya maamuz ya haraka na msing kwa huyu mke wangu mtarajiwa.UBARIKIWE
 
kaka jaribu uone,usumbufu utakaoupata hutausahau maishani,hiyo ni gelesha tu,mkishazaa atakwambia mtoto anataka kuwa karibu na baba,mara anaumwa,na usumbufu mwingine mwingi tu,kama umeamua kumuoa uliyenaye kaa na msimamo huo huo na usikaribishe mahusiano ya karibu na huyo ex wako kwani ipo siku utategwa nawe kuingia kichwa kichwa na mtaanza kumpa shida mkeo.mkimbie ibilisi.
Asante kwa ushaur mzur.
 
Yaani hapo unaomba ushauri wa nini sasa? Wewe ndo mwenye uamuzi wa yupi unampenda zaidi na atakayekufaa kuwa mwenza wa maisha. Suala la kuzaa na mtu!!!!! Hilo kataa kwa nguvu zote ukikubali tu ujuwe hata ukimwoa yule mwingine hata huyu atakuwa mkeo tu. Atakuwa anatumia kisingizio cha kuomba matunzo ya mtoto au kuleta mtoto amwone baba yake na hapo mahusiano yataendelea kama kawaida. Na zaidi ya hapo hilo litayumbisha ndoa yako sana. Kwa hiyo wewe shika mmoja tu, kwani mshika mbili moja humponyoka. HAPO AKILI MU KICHWA MDOGO WANGU.
nashukuru sana mkubwa nimekupata,hapa nashika kwa huyu mke wangu mtarajiwa.
 
Chagua toka moyoni unayempenda. Usijekuwa humpendi mchumba wa sasa. Kama wampenda mchumba wako. Kata mawasiliano yote na huyo wazamani.
coz nilikuwa nyumban kilikizo na nategemea kuondoka wiki hii,bas ndo mwisho wa kuniona na usumbufu ndo utaisha.
nakushukuru kwa dhat,its the gud advice.
 
Mmh, jina lako limekaa kike na mada imekaa kike

Mwanamme unatishiwa kuvunjiwa uchumba na mwanamke??
rudi untake radhi,niny mnajifanya wababe humu afu nyumban hao wanawake unao wadharau ndo hata huwez kukohoa.
 
Hivi suala la ndoa hasa kwa kina dada limekuwa gumu hivi siku hizi?
 
Nna wasi wasi na mleta maada inawezekana ashakula kimoja cha kumbukumbu halafu demu kakolea halafu huku ana mchumba wanaume tu wadhaifu sana. sema kweli baba na ukweli utakuweka huru
 
Mleta mada acha kujizungusha bana .. Au na wewe wataka kujikumbushia??

Usipokuwa makini kuna mawili either kusingiziwa mimba au kuharibiwa uchumba.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Salamu wanajamvi.polen na shughul za maisha kwa wale wanaoumwa polen sana na Mungu awawekee mkono mpone haraka.Polen Watanzania wote na wapenda aman wa nchi hii ktk hali hii ngumu ya vururgu tunayoipitia Mungu atuepushe na majanga AMEN.
BACK TO MADA:
kama miaka mitatu iliyopita nilikuwa na msichana tulieachana bila ugomvi ila kutokana na umbali baada ya mimi kwenda mkoa mwingine kikaz.tulipoteza mawasiliano na kila mtu akaendelea na maisha mengine kivyake.kwa upande wangu nilipata msichana mwingine na kuanzisha mahusiano na mpaka sasa ni mchumba wangu na tushatambulishana kwa wazaz.
mwaka huu nimepata likizo na kurud mkoan kwetu ambapo nilikutana na my-EX akanambia bado ananipenda na anataka turudishe mapenz nilimkatalia na kumweleza kuwa ninamchumba lakin akasema ameumizwa na wanaume aliokuwa nao hapo nyuma so nikimkataa hato olewa coz mm pekee ndo chaguo lake.MPAKA sasa namkataa ila amekuwa msumbufu sana mpaka nyumban wamejua.Leo hii amekuja na ombi moja kuwa kama sitaki kuwa nae bas ANAOMBA KUZAA NA MM.
amesema nikikubal kumpa mimba bas hatonisumbua tena.PLZ WAKUBWA NISAIDIEN.nawasilisha......

mapenzi! mapenzi! mapenzi! Mpe haki yake uchukue kopi yako kaka
 
sasa ukizaa nae si ndio utajivisha kitanzi?mteme live bila chenga acha kuremba,kwanza angekua hajakitembeza hapo sawa sasa kakitembeza weeee,hakupata wa kumuoa anataka arudishe kwako,achana nae!
 
Ukimmimba ndo atakubana zaidi na hutaweza muepuka coz mmezaa pamoja
 
Salamu wanajamvi.polen na shughul za maisha kwa wale wanaoumwa polen sana na Mungu awawekee mkono mpone haraka.Polen Watanzania wote na wapenda aman wa nchi hii ktk hali hii ngumu ya vururgu tunayoipitia Mungu atuepushe na majanga AMEN.
BACK TO MADA:
kama miaka mitatu iliyopita nilikuwa na msichana tulieachana bila ugomvi ila kutokana na umbali baada ya mimi kwenda mkoa mwingine kikaz.tulipoteza mawasiliano na kila mtu akaendelea na maisha mengine kivyake.kwa upande wangu nilipata msichana mwingine na kuanzisha mahusiano na mpaka sasa ni mchumba wangu na tushatambulishana kwa wazaz.
mwaka huu nimepata likizo na kurud mkoan kwetu ambapo nilikutana na my-EX akanambia bado ananipenda na anataka turudishe mapenz nilimkatalia na kumweleza kuwa ninamchumba lakin akasema ameumizwa na wanaume aliokuwa nao hapo nyuma so nikimkataa hato olewa coz mm pekee ndo chaguo lake.MPAKA sasa namkataa ila amekuwa msumbufu sana mpaka nyumban wamejua.Leo hii amekuja na ombi moja kuwa kama sitaki kuwa nae bas ANAOMBA KUZAA NA MM.
amesema nikikubal kumpa mimba bas hatonisumbua tena.PLZ WAKUBWA NISAIDIEN.nawasilisha......

Nafikiri hilo ombi lake hata kichaa hawezi kukubali, unapata wapi muda wa kukaa nae kuzungumza ----- wote huo? Unajua wanaume sometimes mnakuwa kama fyatu vile. Mtu ukishaachana nae imetoka mambo ya kukaa kuongea yalishapitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom