ha haha mbaya zaidi ukute mods naye alitumpia ndoano ha haha
Ndugu Watanzania wenzangu,
Badae nikipata muda nitatoa ushuhuda kuhusu yote niliyoyaona nikiwa na ID ya kike hapa JF...Nitaitaja ID yangu na pia nitawataja wote walionitongoza na walionitumia address na picha zao.
Nitaambatanisha na screenshot kama ushahidi...Dah kuna wengine wanaheshimika sana hapa JF.....
Nitarudi kutumbua majipu....
Yours Faithfully,
Vampire_hunter007
Mmmmh mnawaonea sana wanaume wa Darunazidi kuwatia doa wanaume wa Dar
kama una pm yangu nakupa laki 5 free
Ajibu tu maana hakuna namna nyingine. Kesho atataka afanye yote tufanyayo na hapo ndo itakapokuwa balaaha ha ha ha please vampire_hunter007 mjibu huyu mama!!
Hivi itakuwaje nawe ukiwemo kwenye list?Dah yalinipita aisee mara ya mwisho namwona kwenye ile thread yake sijui kwanini wanaume wanapenda kutongoza ,nikamwambia na wasiwasi wewe ni mwanaume hakujibu akapotea ,
Yeah sina tatizo kabisa na wewe nakuamini sista ,
Ngoja nikampelembe,sijui atakubali?akikitumia nami usinisahau,maana ni shigidaaaaa, sipati picha hayo majinaaa huu ubuyu WA motoooo
Hahaha aisee sistaa tokea nimejiunga jf sijawahi kwenda kwenye pm ya mtu ,hivyo huko mimi sipo aisee wala usiwe na shaka ,kuna mdau mimi alinitumia upuuzi wake pm ila cha ajabu ana Id ya kiume ,anasema yeye ni wa kike ,nilimtoa baru nikamwambia mimi ni mzee wa miaka 90 hicho anachotaka siwezi kumsaidiaHivi itakuwaje nawe ukiwemo kwenye list?
Hahahahaaaa
Naona wenzio washaanza kumwaga povu....
Basi ngoja nikupe ubuyu.
Hii JF ina watu wa ajabu sana,mimi nina dogo langu nae yupo humu.
Kuna lijamaa lilinitumia PM nikalikimbiza,kumbe limemtumia na dogo langu pia.
Tulicheka sana aiseee
Hii JF kuna watu mbalimbali na malengo yao mbalimbali.
Pia kuna watu wema sana,sana.
Mtoto wa kiume unaanzaje kujifanya mwanamke.....ni mawazo gani yanayokuingia mpaka ufikie maamuzi hayo.......??
Unaanzaje kutamani kufanya wanayofanya wanawake...
Hizi ni dalili za mwanzo kuelekea kwenye ushoga.....unapoanza kutamani kuwa au kufanya wanayofanya wanawake ingali wenye ni mwanaume utatamani kuolewa na kuzibuliwa mtaro wa maji taka.....
Shetani ana nguvu sana....
Hahahahahaaa lucky you.Hahaha aisee sistaa tokea nimejiunga jf sijawahi kwenda kwenye pm ya mtu ,hivyo huko mimi sipo aisee wala usiwe na shaka ,kuna mdau mimi alinitumia upuuzi wake pm ila cha ajabu ana Id ya kiume ,anasema yeye ni wa kike ,nilimtoa baru nikamwambia mimi ni mzee wa miaka 90 hicho anachotaka siwezi kumsaidia
kweli kabisa wema tupo japo wachache!!Hivi itakuwaje nawe ukiwemo kwenye list?
Hahahahaaaa
Naona wenzio washaanza kumwaga povu....
Basi ngoja nikupe ubuyu.
Hii JF ina watu wa ajabu sana,mimi nina dogo langu nae yupo humu.
Kuna lijamaa lilinitumia PM nikalikimbiza,kumbe limemtumia na dogo langu pia.
Tulicheka sana aiseee
Hii JF kuna watu mbalimbali na malengo yao mbalimbali.
Pia kuna watu wema sana,sana.
Siku watakayo fanya attack kama ile wakati wa uchaguzi halafu PM ndio zisomeke kama News post ,sijui itakuaje teh tehHahahahahaaa lucky you.
Wenzio huko waliko wameshakata glass kadhaa za maji.
Kama ulitumia Id ya kike wewe ni wa kutongozwa tu hamna namna. Sasa ulitaka wanaume wakufanyaje, na bahati yako umewahi kujitumbua.Ndugu Watanzania wenzangu,
Badae nikipata muda nitatoa ushuhuda kuhusu yote niliyoyaona nikiwa na ID ya kike hapa JF...Nitaitaja ID yangu na pia nitawataja wote walionitongoza na walionitumia address na picha zao.
Nitaambatanisha na screenshot kama ushahidi...Dah kuna wengine wanaheshimika sana hapa JF.....
Nitarudi kutumbua majipu....
Yours Faithfully,
Vampire_hunter007
hhhahhaaaahaaaa....ha ha ha ha ha ha ha......uwiiii mkuu weka list hiyoooWatu wanajifanya wanatukana kunikatisha tamaa......Tena katika wanaotukana kuna mmoja alinitumia picha na boxer lake ....Subirini tu