My Experience with a Fake Female ID apa JF

My Experience with a Fake Female ID apa JF

Looooh!!!...... Nilikuwa namtaka sana Jimena kule PM ila sasa hivi sina furahaa tena kwani sina uhakika tena kama ni ke!!.....this thread had disappointed me very much![emoji17]
Cheza na comments na threads zinavyoandikwa, ukizi-meditate sana unaweza kamata kifaa, kuna majike humu wanajifanya wanaume pia.
 
Bahati nzr ulikuwa unatongozwa na wanawake WENZIO! Hapo ngoma droo.
 
Ndugu Watanzania wenzangu,

Badae nikipata muda nitatoa ushuhuda kuhusu yote niliyoyaona nikiwa na ID ya kike hapa JF...Nitaitaja ID yangu na pia nitawataja wote walionitongoza na walionitumia address na picha zao.

Nitaambatanisha na screenshot kama ushahidi...Dah kuna wengine wanaheshimika sana hapa JF.....

Nitarudi kutumbua majipu....

Yours Faithfully,
Vampire_hunter007​
Katika kanuni na sheria za Jamii Forums: JamiiForums Rules Kifungu cha Nne(4) Kinakataza:
4. Kuleta maongezi binafsi baina ya mwanachama na mwanachama (waliojisajili) waliyoongea kwa kuaminiana kutoka katika Private Messages (PM) au barua pepe (Emails) na kuyaanika hadharani kwa nia ya kuchafuana.
 
Kutokana na sheria za JF na maombi ya wananchi sitaweka screenshot....Bali nitataja tu na kutoa maelezo...

mshana jr upo ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom