My Experience with a Fake Female ID apa JF

My Experience with a Fake Female ID apa JF

Ndugu Watanzania wenzangu,

Badae nikipata muda nitatoa ushuhuda kuhusu yote niliyoyaona nikiwa na ID ya kike hapa JF...Nitaitaja ID yangu na pia nitawataja wote walionitongoza na walionitumia address na picha zao.

Nitaambatanisha na screenshot kama ushahidi...Dah kuna wengine wanaheshimika sana hapa JF.....

Nitarudi kutumbua majipu....

Yours Faithfully,
Vampire_hunter007​
Lengo lako ilikuwa ni nini hasa....Walahi iko siku utapakatwa,halafu uingiziwe.......unapenda kuwa mwanamke?
 
Miss chaga huyo, anapenda uanauke wakati ni dume, wataku***** shauri yako.
 
Ndugu Watanzania wenzangu,

Badae nikipata muda nitatoa ushuhuda kuhusu yote niliyoyaona nikiwa na ID ya kike hapa JF...Nitaitaja ID yangu na pia nitawataja wote walionitongoza na walionitumia address na picha zao.

Nitaambatanisha na screenshot kama ushahidi...Dah kuna wengine wanaheshimika sana hapa JF.....

Nitarudi kutumbua majipu....

Yours Faithfully,
Vampire_hunter007​
Chief.... Naomba niwe mgeni wako wa heshima PM kabla hujayaanika hayo mambo hapa jukwaani.
Asante.
 
Kaka Na ule mpango wako Na Mr Rocky wakujaribu vile vitu vyembamba sio ndio kuumbuka huku....!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom