Nyie ndo copy and paste,ukiona kichaka tayari,unabanwa na mzigo....be brave ladyNa mimi nimeamua kumuweka future husband wangu nisije nikaibiwa bure. Mkae mjuwe huyu ndio future husband wangu. Nampenda kuliko navopenda uhai wangu ππ
View attachment 906010
Nadhani bado unaota pole sana
Mbona kama type za kina Martin Kadinda au james Delicious?Na mimi nimeamua kumuweka future husband wangu nisije nikaibiwa bure. Mkae mjuwe huyu ndio future husband wangu. Nampenda kuliko navopenda uhai wangu ππ
View attachment 906010
Kama Mungu atapenda Next year naanza uni. sipendi kusoma ila uni. nitafika na nita graduateHivi tuambie masomo huko uliweza kuyaweza au bado umekuwa kichwa ngumu kusumbua wazazi wako?
Upo huku kwa bibi au umerudi kwa Wazazi wako?
Wanawake bana
HuwA wanakuwa na ndoto za kuolewa na wanaume kama wa kwenye movies au fashion show toka hata hawajaanza shule
Lakini wanaume wanaokuja kuwaoa sasa.utashangaA
Usikute huyu kΓ olewa nΓ shikaji fulani lina kitambi na kitovu kikubwa kama tablet
Kama Mungu atapenda Next year naanza uni. sipendi kusoma ila uni. nitafika na nita graduate
Kumbe wamjua?
ndio kina nani hao?Mbona kama type za kina Martin Kadinda au james Delicious?
Oouh... Bila shaka unajua kuelezea wajukuu watapata raha kwenye usimuliaji wa hadithi.Huyu alijiandika sana humu..
Utakuwa labda umemsahau.. alianzia kipindi wazazi wake wanahamia Canada na yeye na wadogo zake wakawa wanaenda kuishi huko wakiondoka Tanzania.. akaanza kwa kutuaga na kuja na vituko vya umri wake vingi humu.. nilikuwa namsoma tu.. napenda kumsoma..
Sasa anazidi kukua binti mdogo huyu.. [emoji16]
Dreams Come trueNadhani bado unaota pole sana
Oouh... Bila shaka unajua kuelezea wajukuu watapata raha kwenye usimuliaji wa hadithi.
InshallaAmina
Endelea tu kuota...utaonaDreams Come true
InshallahEeeeeh
Haya wee
Mola atupe uzima
Eeeeeh
Haya wee
Mola atupe uzima