Ooooh!! Na kweli kwa hizi familia zetu masikini mtoto wa kwanza akitusua kazi anayo.Ni muhimu sana kama hujui
Majukumu ya mtoto wa kwanza kwenye familia na wa mwisho ni tofauti.
Kiwango cha elimu kwenye familia ni muhimu pia kujua je ni yeye pekee amefanikiwa kufika level ya degree/diploma/masters kwenye familia n.k
Mmh! Wenzio wanasemaga chura
ππππHapo unahitaj watu zaidi ya ishirini kwa mkupuo
Hapo unahitaj watu zaidi ya ishirini kwa mkupuo
Wacha bwana! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hahahahah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mie mbona mtu wa watu mstaarabu sana
Hello wife! Your husband material is here. Ni mcheshi kupindukia! Ni mcha Mungu, hela ya kula ipo! Ni mkatoliki mwenzako, tena aliyebakiza miezi michache tu kuwa Padiri! Yaani hapa nilipo tayari nimeanza Novena ya Mt. Rita wa Acacia, ili niweze kupata fedha ya kulipia mahari kabla hujamaliza chuo!Dear future husband nakusubir kwa hamu kubwa iliyo kifani tuanzishe safari ya upendo wa agape pamoja [emoji173] moyo wangu unaniambia upo sehemu fulani lkn kutokana na hali nilionayo sahv ya kusoma sipati mda wa kutembea tembea mbali na kanisani, chuoni, hostel napokaa na nahic hausali sehemu naposali mm hvyo nahc tunapishana
Umri wa mkeo mtarajiwa sa hv amefikisha miaka 24 sifa za mkeo mtarajiwa ni
Mpole
Mcheshi
Sipendi kununa napenda kufurahi mda wote
Napenda kusafiri safiri ivyo ukinifanya niwe nasafir safiri nitafurah zaid[emoji16]
Mwenye upendo wa kweli na hofu ya Mungu na ni mkatoriki
Dear future husband
Natamani uwe mcheshi , mpole, mwenye hofu ya Mungu upendo wa dhati mkarimu na mtu wa kusafiri safiri coz napenda kusafir safiri
Mwenye chachu ya mafanikio coz napenda mafanikio
Dear future husband nachotaka zaidi ni upendo kama wa kristo alivyolipenda kwasababu upendo ubeba vyote nami na ahidi nitakuheshimu kama maandiko yanavyotuagiza
[emoji23][emoji23][emoji23] Tate mkuu karibu pm tusije tukamwaga mtama kwenye kuku weng[emoji16]Hello wife! Your husband material is here. Ni mcheshi kupindukia! Ni mcha Mungu, hela ya kula ipo! Ni mkatoliki mwenzako, tena aliyebakiza miezi michache tu kuwa Padiri! Yaani hapa nilipo tayari nimeanza Novena ya Mt. Rita wa Acacia, ili niweze kupata fedha ya kulipia mahari kabla hujamaliza chuo!
Sema tu umri wa mume wako umeenda kidogo! Lakini mbona rafiki yangu Lyatonga ameoa kigori! Kwa nini mimi nishindwe! Pia sitafurahishwa na hiyo miguu yako ya kuku ya kupenda kusafiri! Na huu umri wangu, si nitakua naibiwa na mabaharia kila siku humo kwenye magari!