My future husband

[emoji23][emoji23][emoji23] Tate mkuu karibu pm tusije tukamwaga mtama kwenye kuku weng[emoji16]
Mimi nitakusubiri uanze wewe. Na hii itakuwa ni baada ya pale tu utakapo fanikiwa kuvishinda vishawishi vyote kutoka kwa wazee wa kula tunda kimasihara.

Najua muda huu watakuwa wanapigana vikumbo kumwaga sera zao.
 
Kila la heri dada angu
 
Toka uanze kusafr safr umefaidika nini sas, au unashauku na tamaa ya Macho tu.
umenikosa kwa hilo.
 
Nilikuwa nakusubiri sana aisee my wife, ulikuwa wapi hadi nachakazwa na madanga ya mjini aisee. Hebu njoo PM chap kwa haraka.
 
Sio rahisi kuupata mgodi unaotembea kirahisi tena mtandaoni.
Mwenye sifa hizi amebananishwa kila kona mtaani
Ukiona mtu anatafuta mtu mitandsoni jitafakari sana πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Nilichelewa kufika ila usijali naamini nimefika wakati sahihi
Mimi ndio jibu la moyo wako karibu imbox
 
Sio rahisi kuupata mgodi unaotembea kirahisi tena mtandaoni.
Mwenye sifa hizi amebananishwa kila kona mtaani
Glenn Mungu ananjia nyingi za kukutanisha watu nipende kukujulisha kuwa uwo mgodi unaotembea nimeupata tena niseme ni zaidi ya Mgodi tena yaliomo ndani ya mgodi ni makubwa zaidi ya mgodi wenyew [emoji16]
 
Nitumie picha yako PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…