My girlfriend has a girlfriend

..."maskeleton" mengine yanafaa yaachwe makabatini tu. They are safe there!
Matendo ya Ushoga/Usagaji yapo miaka elfu iliyopita. So long as hayataiathiri familia yake,
ajikalie kimya tu na huo udhaifu wa mwili wake..
Kwa hiyo aendelee tu na biashara yake
 
Haya mambo ni magumu sana.......
Hapa nimechelewa lakini dah.
Acha tu niseme kwamba, aamue moja, mpe madhara ya kufanya hivyo, na yeye akupe hizo faida alizoziona/anazoziona.
Mwelimishe, kiroho n kimwili, akikuelewa aamue kunyoa au kusuka. Kubaki na familia au na huo ushetani......

Akikataa nawa mikono kama Pilato, Usubirie Pasaka.
 

Dah...huu ung'eng'e (english) ilotumika hapa yan cjaelewa kitu kabisa
 
Anza twisheni British Council, nunua huduma ya DSTV uwe unaangalia na wewe machaneli ya mbele, halafu anza urafiki na masharobaro.
Nashangaa kuna mtu umeni-quote kwenye post yangu kama waliku-quote wewe eti wanashangaa nimeandika kiswahili kwa vile nilichoandika kwa kiingereza hawakuelewa.
 
Nashangaa kuna mtu umeni-quote kwenye post yangu kama waliku-quote wewe eti wanashangaa nimeandika kiswahili kwa vile nilichoandika kwa kiingereza hawakuelewa.

I'm sory The finest......mm ndo nliku miss quote, nili intend NN ndo apate huu ujumbe. Igweeeee
 
Anza twisheni British Council, nunua huduma ya DSTV uwe unaangalia na wewe machaneli ya mbele, halafu anza urafiki na masharobaro.

Kwani huu ung'eng'e wa America nao unafundishwa BC???? unaweza kunipatia access ya hao masharrobaro ili wanipe maujanja?
 
kuna mapepo yanataka kuivuruga nyumba hiyo,mpeleke akaombewe
 
Ni lazima huyo dada akumbushwe kuwa Kufanya kitu ambacho kipo nje ya mpango wa Mungu ni kutimiza tamaa za mwanadam. Mapenzi ya jinsia moja haukuwa mpango wa Mungu ila huu ni mpango wa shetani wa kuivuruga taasisi ya familia ambayo huanza baaada ya ndoa takatifu. Inabidi akemee hili pepo la usagaji ambalo linamtawala kwa kuwa na maombi ya dhati.

Ni pale tu yeye atakapoamua kuenenda kwa roho ndipo ataweza kuishinda hii dhambi ya usagaji kwani Neno la Mungu linasema "Basi nasema enendeni kwa roho na wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili".
 
kuna mapepo yanataka kuivuruga nyumba hiyo,mpeleke akaombewe




Pia Ni lazima huyo dada akumbushwe na aeleweshwe kuwa Kufanya kitu ambacho kipo nje ya mpango wa Mungu ni kutimiza tamaa za mwanadam. Mapenzi ya jinsia moja haukuwa mpango wa Mungu ila huu ni mpango wa shetani wa kuivuruga taasisi ya familia ambayo Mungu mwenyewe aliianzisha na huanza baaada ya ndoa takatifu. Inabidi akemee hili pepo la usagaji ambalo linamtawala kwa kuwa na maombi ya dhati.

Ni pale tu yeye atakapoamua kuenenda kwa roho ndipo ataweza kuishinda hii dhambi ya usagaji kwani Neno la Mungu linasema "Basi nasema enendeni kwa roho na wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili".
 
kuna mapepo yanataka kuivuruga nyumba hiyo,mpeleke akaombewe

Wewe huo moyo uliovumjika si umtafute fundi moyo?
Hivi ulishapata mchumba mwingine manake inaonekana uliyekuwa naye kabla ya kuifahamu JF,
mmmmmmh likuachia maumivu makali/makubwa.
 
cha msingi hyo dada afanye maombi kwan hyo n pepo mchafu bila ya kufanya hvyo ataharibu ndoa yke mwenyewe na familia yke ataiabsha sna
 
By the way, can u use any protective gear like cnndom in that kind of intercourse?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…