My girlfriend has a girlfriend

My girlfriend has a girlfriend

Kwa yale kidogo niliyosoma na kusikia, mwanamke hahitaji bamia tu ili limfikishe anakotaka. Kibaolojia, raha zaidi katika ngono ipo juu juu zaidi kuliko ndani kabisa (hapa unaingia ule mjadala wa uhusiano raha na ukubwa na udogo wa bamia).

Kwa upande mwengine, nafikiri hawa jamaa wanavutiwa na "new experiencies". Kuna uwezekano, kwa mawazo yangu, kuwa pengine mwanamke anamwelewa zaidi mwanamke mwenzake kwa kuwa wote wanamiliki kilekile na kujua zaidi vianzio vya "sensitive nervers zao"; ndio maana mara nyengine tunapata malalamiko ya wengine hapa wanapodai kuwa wenza wao hawawafikishi.

Lakini kama mawazo yangu haya ni sawa, kwa nini mwanamke asimwambie mume/mwenza wake pale anapotaka hasa aguswe badala ya kukimbilia kile ambacho maadili, dini na jamii bado haikikubali? Hapa la kufanya ni " ya Ngoswe tuwawachie wenyewe akina Ngoswe".

Hapo kwenye red ndipo mimi apo konfyuzd kabisaaaa!
 
Kama unanmfahamu mume wake mpe darasa la jinsi ya kumshughulikia vizuri mke wake inawezekana mume hampia haki yake ile ipasavyo
 
Mhhhh mara nying nikiskia habar iz anakua ni mtt wa mchungaji... What is it with priest daughters?
 
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..

Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..

Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..

Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.

Aaaah Isidingo the Need kati ya Rajesh &Priya
hahahaaaaa watu jamaniii mshaipa story!
 
Shetani ana nguvu sana mwambie huyo dada afunge na kufanya maombi maana atakapo angukia ni aibu kwa ndugu zake na mumewe na mtoto wao,
Halafu my dia jaribu kumuogopa kimtindo asije kukubaka bure.
Kumbe mwanamke pai anaweza kumbaka mwanamke mwenzie ?
 
Kumbe mwanamke pai anaweza kumbaka mwanamke mwenzie ?

wewe ni Me au Ke???
kama ni Me niazime ur wife jibu utakua nalo ��-❤️-����-❤️-����-❤️-��
 
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..

Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..

Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..

Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.

Haki these are the last days .. Chineke , heeee Papa God oooh . Inasikitisha sana Yesu arudi tuu Kanisa lake lipone heeee. Even Tz pia? Dear hilo ni Pepo. Akate mawasiliano huyo Dada . Afunge na kuomba for the Deliverance . Atubu Kwa mumewe na Mungu. Yesu bado anampenda ila hapendi matendo yake . Its not too late to repent and make things right to her husband and her God.. Amen. But atubu kwa Roho ya Kweli .. Thanks .
 
ishu ndogo sana hii watu mnashangaaaa! kama mimi ndiyo mumme mbona tunakubaliana tunamkaribisha tu huyo dada, siku za kudu linakuwa booonge la threesome, kila mtu anatoka ameenjoy!
 
Kws mini huyo dada asimtambulishe huyo rafiki yake Wa kike kwa mumuwe kwamba in shoga yake. Mumuwe atamzoea na watakula raha pasi na shaka.
 
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..

Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..

Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..

Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
Hahaha
 
What's wrong with dude? If I were him I'd bust a quick rhyme that goes a lil' some like this....my girl gotta a girlfriend, I just found out but it's aiight, as long as I can be with her too. And It's really not a problem coz Imma make it do-what it-do. Coz having two chicks is better than having no chicks. I'd rather just join in. Keep my girl and keep the other one too. Ha haaa....

So just tell dude not to be all uptight about it. Life is too short to fuss about the minutiae of everyday life. Actually, IMO fussing shortens life. He can join in and they can all have one hell of a menage a trois. That way so everyone can be jolly. Does anyone find that to be objectionable?

Oh btw, wassuup JF world? It's been a minute and things done changed since I left. I see tons of new peeps that I barely know. But it's all good. I'm sure the vets did hold down the fort while I was gone. Happy Monday, peace out, and be well.
 
Back
Top Bottom