ANALYSIS
-yuko kwenye ndoa
-ana mtoto wa miaka 5
-wanaishi maisha ya amani
-ameburudika na mwanamke mwenziwe na mzuka ukakolea kuliko akiwa na mume wake
-anataka kufunga ndoa na mwanamke mwenzake.
SUALI: AD huyu mdada anatafuta ushauri wa lipi jema? au anatafuta ushauri wa jinsi gani amwambie mume wake na aridhie? au vipi atavunja ndoa yake ili akaolewe na hako ka blender.
NIONAVYO MIMI: Hatafuti ushauri, soma hapo red juu, she is after something and she chose u ............................ hapa kwenye dots atamalizia ze finest.
halaf tangu jana nimeongezewa kamshahara kazini basi niko serious kweli, unaombwa usipuuzie huu ushauri nimeoteshwa yaani.