Hivi anakulaga nini aisee!!Poor girl. She grew up too fast.
anajua mwenyewe atasemaje, kwani wewe unaposema akina Wema Sepetu, Nancy Sumari ni most beautiful unamaanisha nini, je ma-bwana zao watasemaje?aaaah.....weweee ! na babaako atasemaje ?
yes off course, she is a celeb to me and the family too, kwani wewe mama yako ni nani kwako? au kinyago?Is she a celeb too?
Mercy Galabawa
Lilian Kusekwa(Huyu sijapata picha yake kubwa)
Meninna Atick
Fezza Kessy
Saida Kessy
HahahahahahaHahah naona umeona kishonde kile kilivyo na rutuba...utadhani huwa anacham.bia hamira lol
8: Jokate Mwigelo
12: Angela Damas
Human beingskwiwkwiwkwiwkwiwwkwiwkwiwwwiwkwiwkwi aisee nimecheka sana hao ni watu au majini?????
Emmy Melau
Ni mshindi wa kwanza wa shindano la Face of Tanzania 2007