Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nancy Sumari yupo hapa hapa Tanzania, kwa sasa nadhani kaweka kando hizi shughuli za ulimbwende bali akishirikiana na wenzake walifungua Kampuni iitwayo Frontline Management Limited
20: Jacqueline "Cliff" Patrick
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hawa ndiyo warembo wa ukweli mkuu wangu watu8 hakuna make up,manywele ya bandia,mkorogo,makucha ya kubandika na nk.Hawa wanawakilisha kundi kubwa la wanawake wa vijijini ukibahatika kumpata ukamleta mjini ukampigisha viwalo vya ukweli pamoja na misosi ya uhakika nakuhakikishia hakuna cha Wema sijui Jackline wote watapigwa chini.
Picha kwa hisani ya vijiji Masaini,Masasi,Zanzibar.
9. Wema Sepetu
![]()
Mkuu uzuri aka mvuto kwa maana ya beautiful kwa kimombo unamaanisha muonekano wa nje, Hii ina jumlisha sura, umbo pamoja na viungo vyako vya mwili..........hapa ndio utapata Mzuri wenye mvuto ingawa kibinaadamu hakunaga mtu mbaya
60/100...watu8, kuna wanawake wazuri/warembo eti, ukikutana nae uansema mashallah muumba alitulia siku hiyo, ishu ni kwamba hawa ni media zinawaremba/wanafahamika, halafu na huyo wolper nae? mhh
60/100...watu8, kuna wanawake wazuri/warembo eti, ukikutana nae uansema mashallah muumba alitulia siku hiyo, ishu ni kwamba hawa ni media zinawaremba/wanafahamika, halafu na huyo wolper nae? mhh
Mbona hamsemi kuwa wake wenu wazuri wanaowatunza na kuwabembeleza usiku mkiwa mnakoloma?wanawatunzia watoto wenu,kukupikia chakula,kukufulia nguo hadi chupi mnabaki kusema mnabaki kusifia Masister DU wa mjini.
HAKUNA MWANAMKE MBAYA ZAIDI YA MATUNZO..
watu8 nasubiri picha za
Mercy galabawa
,Lilian miss shinyanga(nimesahau jina lake lapili)
Meninna Atick
Fezza kessy
Sauda Kessy
22: Nelly Kamwelu
![]()
watu8 naona sifa ya kuwa mzuri ni lazima uwe bongo celebrity. Kule Uswazi kuna toto Mungu aliziumba zikaumbika ni bahati mbaya sana hawaonekani na wengi kama hawa ambao wako kwenye media mbali mbali kila mara.