My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

Huyu vipi hayumo?
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1374752573474.jpg
    uploadfromtaptalk1374752573474.jpg
    73.5 KB · Views: 205
Mtoa mada naona humjui Latifa Mnyanga wewe, dogo anasoma form III hapa kitaa kwetu. Laiti ungemuona hawa malaya wako wote ungewasahau...
Next time ongezea "Walio maarufu"
 
Mkuu hawa viumbe ni wazuri bana
From muonekano, maumbo plus urembo
Kumbuka karibu wote hao ni mamiss kwa namna moja au nyingine
Na mojawapo ya sifa ya kuwa miss ni lazima uwe mzuri wa kuvutia

Sasa labda utupe tafsiri ya neno mzuri, sijui unamaanisha tabia? na tabia ipi? sipendi kuhukumu mtu

Clopatria anasadikiwa alikuwa mwanamke mzuri kuliko wote lakini......

Bearing in mind uzuri ni subjective, then siwezi kukupa definition ya uzuri. Sana sana nitakupa definition yangu ambayo ni very subjective. Mwanamke anaweza kuwa mzuri kwako lakini asiwe mzuri kwangu.

Definition ya mwanamke mzuri haina tofauti na ile ya terrorist. One man's terrorist, might be another man's freedom fighter. Vile vile one man's ugly woman might be another man's beautiful woman.

Na kama tunaangalia uzuri wa wanawake wa Tanzania kwa kuwaangalia models au Mamiss Tanzania, then tutakuwa tunaangalia wanawake less than 2 per cent. Hata hao wanaofanikiwa kuingia kwenye mashindao ya Umiss lazima wawe na connection na wandaaji.

On the other hand, wapo wanaosema kuwa objectively kila mwanamke ana features za uzuri kama zikuwa captured well na mpiga picha wa ukweli. Ndo maana sometimes tunakatiza kitaa unakutana na kiumbe ambacho huna haja kugeuka hata kwa wizi na kukiangalia mara mbili mbili hata kama uko anayekumiliki.

Of course, objectively Halle Berry anaweza kuwa mzuri kuliko Whoopi Goldberg. Angalia hata kwenye hii thread kuna ambao Watu amewaweka kama wazuri lakini wachangiaji wengine wanapinga.

Hivyo hivyo, wengine watasema Uma Thurman ni mzuri, wengine watasema anafanana na chura. Alek Wek anaweza kuwa ni famous model lakini watu wengine wanaweza kusema Naomi Campbell ni mzuri zaidi, na wengine watasema wote wawili look ugly.

Lakini sijawahi kusikia mtu yoyote, including me, akisema kuwa Halle Berry siyo mzuri, though I am sure wapo baadhi ya wanaume ambao watasema J.Lo (siyo yule wa bongo) ni mzuri kuliko Halle Berry.

In fact, wapo mpaka baadhi ya wanawake ambao wangependa kuwa na uzuri kama wa J.Lo. And, who knows, may be hata Halle Berry angependa awe na uzuri wa J.Lo japokuwa sie huku tunamzimikia ile mbaya. Kwa hiyo, mara nyingi uzuri ni subjective hata kwa yule aliye nao.

Ndiyo maana siku hizi mie nimeamua kujikita kwenye personality zaidi. lol.

In deed kwa staili hii tutakuwa hatumtendei haki Dawa ya jiko

Kila nikimpigia simu nimueleze ya moyoni hapokei,nikituma sms hajibu,nimejaribu ku mrequest fb sijaona responce yoyote,au nichukue kadi ya ccm nijiunge na UVCCM ndio unielewe? MH.ESTA ukinikubali kesho ntakupeleka nyumbani ukamuone mama.

Sosi: https://www.jamiiforums.com/mahusia...836-esta-bulaya-mama-unautesa-moyo-wangu.html
 
Last edited by a moderator:
baba mkubwa watu8 mbona umemsahau na huyu hapa LADYFURAHIA images.jpg
 
Last edited by a moderator:
Tufanye hawa ni wale unaowajua wewe na wanaojulikana sana na wananchi kwa sababu walishawahi kuwa katika medani za ulimbwende tanzania na kwingineko.
Ila sijajua kigezo ulichotumia kuweka hawa mabinti hapa kama most beautiful kwa mujibu wako. labda unge define hiyo kwanza ndo tungekuelewa vizuri.

Mkuu kama una picha ya yoyote unayedha ni mlimbwende we tupiamo tu....

Hizo picha uonazo namba ni wale warembo ambao binafsi nawakubali miongoni mwa maselebriti wa Tanzania
 
Usiulize babu pigia mstari.

Hahaha basi kwa kuwa umetupiamo picha yake hakuna shaka...kwenye thread hii kila mtu yupo huru kutupiamo picha za mlimbwende yoyote maarufu....
 
Msemaji wa Coastal Union niaje kaka...mbona kwenye title kuna neno "Celebrities"!!! au hukuliona?

Mtoa mada naona humjui Latifa Mnyanga wewe, dogo anasoma form III hapa kitaa kwetu. Laiti ungemuona hawa malaya wako wote ungewasahau...
Next time ongezea "Walio maarufu"
 
Back
Top Bottom