My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

Sina haja ya kumuona daktari eti ayapatanishe mawazo yangu yawapende wahindi,wahindi ni washenzi tu, wezi wa rasilimali zetu na wanawanyanyasa watanzania wenzangu kwa kuwatumikisha kwa ujira mdogo plus ni wabaguzi.So siku wakiachana na hizo tabia tutaelewana lakini kwa sasa I HATE MHINDI wherever he/she is

Nimeshakwambia hayo ni mawazo yako.

Kuna Mtanzania aliyelazimishwa kufanya kwa Muhindi? unanshangaza.

Hata Nyerere alikuwa na mawaziri wahindi labda umewasahu kina Amir Jmal, Al Noor Kassam.

Wewe ni mbaguzi.
 
Uwiii umesahau drug dealer wetu
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1375020931929.jpg
    uploadfromtaptalk1375020931929.jpg
    36.8 KB · Views: 193
yule mama anayepika chakula pale udowe opposite na st bernard unamjua??

Nnamfahamu sana. Bi. Khadija alikuwa akipika biriani siku za Ijumaa au sio? huyo Bi Khadija Mungu amrehem ameshafariki siku nyingi. Nasikia sasa hivi ameshika mtoto wa dada'ke, sijui yupi mmoja wapo, maana najuwa kuwa Shufaa alishafariki, itakuwa ameshika hiyo kazi yule mnenee sijui anaitwa Fatuma yule? maana alikuwa mdogo sana si rika langu.

Hapo ni maarufu sana na jirani sana na kwetu na kuna vijana wa hapo tumecheza nao utotoni, mfano Hussein Yanga wa Saigon na wadogo zake Mungu Awarehem wametangulia mbele za haki, Shufaa, Farid, Ahmed, Abuu.
 
du kwa maelezo hayo mie pia ni mjukuu wako maana huyo mama mnene anayepika sasa hivi nimecheza na kusoma na watoto wake
Nnamfahamu sana. Bi. Khadija alikuwa akipika biriani siku za Ijumaa au sio? huyo Bi Khadija Mungu amrehem ameshafariki siku nyingi. Nasikia sasa hivi ameshika mtoto wa dada'ke, sijui yupi mmoja wapo, maana najuwa kuwa Shufaa alishafariki, itakuwa ameshika hiyo kazi yule mnenee sijui anaitwa Fatuma yule? maana alikuwa mdogo sana si rika langu.

Hapo ni maarufu sana na jirani sana na kwetu na kuna vijana wa hapo tumecheza nao utotoni, mfano Hussein Yanga wa Saigon na wadogo zake Mungu Awarehem wametangulia mbele za haki, Shufaa, Farid, Ahmed, Abuu.
 
du kwa maelezo hayo mie pia ni mjukuu wako maana huyo mama mnene anayepika sasa hivi nimecheza na kusoma na watoto wake

Mimi nimecheza na dada'ke Marehem Shufaa na kaka'ke Hussein Yanga huyo unaemuita "mama", akiniona ananiamkia.
 
Nimepitia uzi huu mwanzo mwisho lakini najiandaa kukata rufaa, haiwezekani katika list kukosekana Preta. Maana huyu si mzuri kwa umbo pekee, bali hata jina Preta
 
Hahaahaha wapo wengi sana tu
mkuu umenifurahisha ni kama dada mmoja namfahamu anafungaga, siku akanikuta nakunywa soda, akaniomba offa, nikamnunulia nikajua mwenzangu leo amepumzika na funga. akaanza kunywa ile soda ilipofika nusu, akahamaki na kustuka kusema "ayaaa kumbe nimefunga" !
 
Nimeshakwambia hayo ni mawazo yako.

Kuna Mtanzania aliyelazimishwa kufanya kwa Muhindi? unanshangaza.

Hata Nyerere alikuwa na mawaziri wahindi labda umewasahu kina Amir Jmal, Al Noor Kassam.

Wewe ni mbaguzi.
Mazingira magumu na ukosefu wa ajira umewalizimu kufanya kazi kwa wahind, sisupport ubaguz, ila kwa kweli ukiexperience manyanyaso ya wahindi walio wengi kwa Watanzania na mazingira magumu ya kazi kwa unskilled labourers aisee waweza wachukia kama bornagain anavyowachukia..
 
Na Huyu pia but nimesahau jina lake.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1375103384477.jpg
    uploadfromtaptalk1375103384477.jpg
    24.5 KB · Views: 126
Mazingira magumu na ukosefu wa ajira umewalizimu kufanya kazi kwa wahind, sisupport ubaguz, ila kwa kweli ukiexperience manyanyaso ya wahindi walio wengi kwa Watanzania na mazingira magumu ya kazi kwa unskilled labourers aisee waweza wachukia kama bornagain anavyowachukia..

Jee, umeshafanya kazi kwa wahindi?

Nashangaa sana mnaposema mazingira magumu, wakati hii nchi ni yenu na kuna kila fursa za kujifanyia kazi mwenyewe kama hutaki kuajiriwa. Leo hii ukiwa na msingi wa Shillingi laki moja tu unaweza kufanya kazi yenye kukupatia faida ya kukulisha na kukuvisha kuliko mshahara wa kima cha chini na cha kati. Umeshayafikiria hayo? au ni bongolala na hujuwi 50,000/= zitakuzalishia vipi. Kama hujui niambie nikupe darsa la uwekezaji mdogo mdogo.

Leo hii, kuna watu wananyanyaswa na Waafrik wenzao na tunayaona kwenye magazeti kila siku.

Hao mnaosema Wahindi mkumbuke kuwa wengi wao ni Watanzania na wana Uzalendo kuliko nyinyi wabaguzi wa rangi.

Niambie leo Hii, Mohamed Dewji wa METL ameajiri directly na indirectly watu wangapi?

Niambie leo Hii, Manji wa Quality group ameajiri directly na indirectly watu wangapi?

Niambie leo Hii, Jeetu Patel na makampuni yake, ameajiri directly na indirectly watu wangapi?

Niambie leo Hii, GAPCO (inamilikiwa na Watanzania wenye asili ya kihindi) wameajiri directly na indirectly watu wangapi?

Hao ni wachache tu nnaoweza kuwataja ghafla ghafla. Hivi mnataka kusema nini? kushindwa kwenu wanapoweza wenzenu ndio muwachukie?

Kama huyo mtoto Miss Tanzani, babu yake, mama yake wote wazaliwa wa Tanga alikuyanyasa nini> mtoto anekaa Kariakoo toka kuzaliwa, kukuwa kwake. Mwenyeezi Mungu kamjaalia uzuri usio na mfano, leo eti eeh Mhindi. Hup Uhindi mlipa nyinyi?

Mbona nyinyi kutwa kucha mnajitia mikorogo na kubandika nywele za maiti kuutaka huo uhindi msiokuwa nao?

Huyu hapa na mama yake, na uzuri wake si wa makopo wala wa bahati mbaya ni wa asili, tazama mama'ke alivyo mzuri, MashaAllah:



Mnaacha mambo ya maana oohh eti wahindi "wabaguzi" wakati ubaguzi na roho mbaya ndio zimewakaa mioyoni mwenu.


Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Back
Top Bottom