Fighter
JF-Expert Member
- Aug 30, 2009
- 615
- 153
Mzee anapenda totoz kalikali. Pesa noma!
Hata FIGHTER kisu kama imekubali, wananchi wa nini jomba!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee anapenda totoz kalikali. Pesa noma!
Huyo ni Mtanzania tena mzuri kuliko wote mliowabandika, Tazama hapo ni natural, hakuna rangi wala mkorogo wala nywele za maiti, compare na hao wengine waliobandikwa uone kama hao wengine hawautafuti huo uhindi kwenye makopo.
Umenenaaaaaa
Farkhina ni wewe mlikuwa mkikaa Livingston, Kariakoo?
Farkhina ni wewe mlikuwa mkikaa Livingston, Kariakoo?
we nahisi utakuwa mpemba...hahaha
umekaa livingstone?
mie nimekaa livingstone na mkunguni .
No my dear me kwetu ni zanzibar
12: Angela Damas
![]()
Kariakoo Kwetu. Kwetu ni Lumumba na Udoe.
he he he napata sana wakina Zuwena Masoud,nuru masudi JEMSI MAPIKIPIKI ile hostel pale st bernard,kile kiduka cha kona.
Asalam aleykum
Until when?
Hayo ni matatizo yako binafsi na yapo kichwani inapaswa umuone daktari haraka sana.
Isitoshe, hao wengine wenye kuutaka uhindi kwa kubandika nywele za maiti na weupe wa makopo kwako ni sawa?
Mwenzetu huyu ni mgonjwa sana...- Matangazo baada ya habari enzi za Nyerere.
Walikukosea nini wahindi mkuu?