My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

Namba 2 chali.

Hapo kitu cha Jokate, Sumari, Ntyabaliwe, Sepetu(toa mkorogo tu ila analipa mbaya)
 
we nahisi utakuwa mpemba...hahaha

swadakta jamani afu sie urembo wetu utaona usoni kama mie tu hapo umenionea lakini nlivyotokolezea mcheki na dada ff nae
 
100% right,wema kwenye uzuri hayupo sema tu ana umaarufu na kaumbika baadhi ya sehemu but uzuri haswaa w viwango ni idara zote husikq sio nusenusu,nimewakubali wote kasoro huyo halagu ukimtoa wema hapo angewekwa Irene Uwoya,bila kuweka mapungufu yake,ni mzuri yule binti.halafu zamani kulikua na yule demu Irene Ngowi yuko wapi?alikua mzuri sijui kajichimbia wapi na list uangu ya mwisho ni yulemiss universe wa Arusha mwaka juzi nafikiri anakata nywele amabaye yuko marekani jina limenitoka mzuri kweli,sio yule somebody dominic.nikumbusheni jina basi.
 
Huyu wife material kabisa akinikubali nachukua mazima mazima,lol.ni mzuri sana lakini kapooza.so kwenye mostsimuweki bali kwaviwango vya deu wa kuwa nae haswa kwa vitombi kama mimi huyu ndio anafaa.
12: Angela Damas


ANGELA+DAMAS.jpg
 
Kariakoo Kwetu. Kwetu ni Lumumba na Udoe.

he he he napata sana wakina Zuwena Masoud,nuru masudi JEMSI MAPIKIPIKI ile hostel pale st bernard,kile kiduka cha kona.
Asalam aleykum
 
he he he napata sana wakina Zuwena Masoud,nuru masudi JEMSI MAPIKIPIKI ile hostel pale st bernard,kile kiduka cha kona.
Asalam aleykum

Hao wote ni wageni hapo na watakuwa ni watoto wadogo, labda wanajuwana na wanangu.
 
Hayo ni matatizo yako binafsi na yapo kichwani inapaswa umuone daktari haraka sana.

Isitoshe, hao wengine wenye kuutaka uhindi kwa kubandika nywele za maiti na weupe wa makopo kwako ni sawa?

Mwenzetu huyu ni mgonjwa sana...- Matangazo baada ya habari enzi za Nyerere.

Sina haja ya kumuona daktari eti ayapatanishe mawazo yangu yawapende wahindi,wahindi ni washenzi tu, wezi wa rasilimali zetu na wanawanyanyasa watanzania wenzangu kwa kuwatumikisha kwa ujira mdogo plus ni wabaguzi.So siku wakiachana na hizo tabia tutaelewana lakini kwa sasa I HATE MHINDI wherever he/she is
 
Walikukosea nini wahindi mkuu?

Wahindi hawajawahi kuwa watu kwa waafrika, wahindi ni washenzi tu.Tena naskia juzi wameibiwa pale mataa ya akiba yaani ningempata huyo mwizi ningemuongezea na za kwangu za zawadi
 
Back
Top Bottom