My love Ephen

So you have with you a record of bad experience about love hope am. Not your last resort
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃMkuu wadada ni watano wawili joined 2014 Moja joined 2015 wengine wawili 2019

Hua nawazoom Instagram
Ngoja siku likadonyolewe jitu kwa kupenda penda kupitia moment!. Hawa ndo wanabambiaga wake zetu kwenye daladala hawa
 
We unadhan kwa akil hizi vijana wanakuwa na tabia kama wamebalehe jana wakikutana na toto linajitunza, linanukia, zigo vunja chaga kama Lamomy Si watamienda hawa?
Mara nyingi hawa wanaotongoza kupitia thread nahis na mtu tu anajipigia promo....ktk hali ya kawaida ni ngumu mtu kupambania mrembo kwa approach ya ajabu kias hiki, hata mtaani ukimwelewa demu huwezi enda kichwa kichwa
 
Mara nyingi hawa wanaotongoza kupitia thread nahis na mtu tu anajipigia promo....ktk hali ya kawaida ni ngumu mtu kupambania mrembo kwa approach ya ajabu kias hiki, hata mtaani ukimwelewa demu huwezi enda kichwa kichwa
Wanajifunza kutongozea humu..
 
Nitaua mtu humu .wewe acha ajifanye anaandika kingereza akafikiri labda sifahamu . Sisi watu wa nyanda za juu kusini hatunaga utani utani .
Komredi naona unavyobubujikwa na machozi huku ukitetemeka baada ya kusoma huu uzi ulioandikwa kwa kiingereza cha kisukuma. Ila manzi yako si alijifunza Karate akiwa jeshini? Mwambie ampe kisago huyu boya.
 
We unadhan kwa akil hizi vijana wanakuwa na tabia kama wamebalehe jana wakikutana na toto linajitunza, linanukia, zigo vunja chaga kama Lamomy Si watamienda hawa?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Shem bana unazingua, ww uliniona wapi? Mimi kimbaumbau km mwiko wa pilau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ