My love Ephen

My love Ephen

I have never found the right words to tell or describe how I feel about you. I love you. I hope you know that my love for you grows with each breath in the depth of my heart. I love you always. I used to go to sleep every night, wishing to find true love. Every day I'd get more and more disappointed until I finally met you.
So you have with you a record of bad experience about love hope am. Not your last resort
 
We unadhan kwa akil hizi vijana wanakuwa na tabia kama wamebalehe jana wakikutana na toto linajitunza, linanukia, zigo vunja chaga kama Lamomy Si watamienda hawa?
Mara nyingi hawa wanaotongoza kupitia thread nahis na mtu tu anajipigia promo....ktk hali ya kawaida ni ngumu mtu kupambania mrembo kwa approach ya ajabu kias hiki, hata mtaani ukimwelewa demu huwezi enda kichwa kichwa
 
Mara nyingi hawa wanaotongoza kupitia thread nahis na mtu tu anajipigia promo....ktk hali ya kawaida ni ngumu mtu kupambania mrembo kwa approach ya ajabu kias hiki, hata mtaani ukimwelewa demu huwezi enda kichwa kichwa
Wanajifunza kutongozea humu..
 
Nitaua mtu humu .wewe acha ajifanye anaandika kingereza akafikiri labda sifahamu . Sisi watu wa nyanda za juu kusini hatunaga utani utani .
Komredi naona unavyobubujikwa na machozi huku ukitetemeka baada ya kusoma huu uzi ulioandikwa kwa kiingereza cha kisukuma. Ila manzi yako si alijifunza Karate akiwa jeshini? Mwambie ampe kisago huyu boya.
 
Back
Top Bottom