Kaka madenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2021
- 312
- 574
Watu wa pemba mnapenda sana kutifuliwa mitaro kazana tu utapewa kombeWakukutifua wako mtaro sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa pemba mnapenda sana kutifuliwa mitaro kazana tu utapewa kombeWakukutifua wako mtaro sio
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ndio mzee ana wimbo wake mmoja mkali amemshirikisha wema sepetu unaitwa "Playboy" Ni wimbo mkali Sana.
Shubamiti mbuzi wa magengeni weweWatu wa pemba mnapenda sana kutifuliwa mitaro kazana tu utapewa kombe
Ivyo vipodozi vimeharibu mnooSura kama jini
Mbona unacheka?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Jane una makasiriko sana, Haitham ni mzuri sana tena wanapenda na yule boy wake inkmanSura kama jini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani huyo unaemuona ni wa mahadhi gani? Kubali zama zako zimepita, kwani hujui "wakati ni ukuta"? PoleeeeeehLyrics pls kabla hatujaparamia nyimbo za kina cocastic.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah lolSura kama jini
Wema sepetu siku hizi anaimba?Ndio mzee ana wimbo wake mmoja mkali amemshirikisha wema sepetu unaitwa "Playboy" Ni wimbo mkali Sana.
Aliweka sauti yake hiv ila hakuimbaWema sepetu siku hizi anaimba?
Dah Mungu anakuona we chafua tu sura za watu.Sura kama jini
Ni muhujumu uchumiHuyu binti Ni msanii?
🤣🤣🤣🤣🤣Ni muhujumu uchumi