Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
It's a wonderful life binti kiziwi Ila wewe ndio movie za kizamani hupendi..ya mwaka 1946...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaulizia Where hands touch, Angel NylonY
Movie gani??
Sio black and white kweli?It's a wonderful life binti kiziwi Ila wewe ndio movie za kizamani hupendi..ya mwaka 1946...
Black and whiteSio black and white kweli?
Inasikitisha sana, inahusu this albino kid alipitia magumu mengi.
Thanks nimeiona,..inafanana na when they say us title yake..nayo ya watoto blacks (true story) wanasingiziwa wamembaka mtoto mwenzao(white) wanafungwa..tho ni seriesInasikitisha sana, inahusu this albino kid alipitia magumu mengi.
Mtoto wake alifanyiwa hijacking wakati akihangaika apate mahali atibiwe, sasa katika juhudi za kumtafta mwanae kosa alimpeleka mtoto niseme kama dispensary ambapo hakujua kama huwa wanafanya biashara ya kuuza viungo vya binadamu. Fanya kuiangalia then utaleta mwenyewe mrejesho hapa.Hii km sijaielewa. Mhusika anakuwa na tatizo gani?
Nimeshaiangalia. Ni nzuri mnoooEnjoy boss
Hujalia...Nimeshaiangalia. Ni nzuri mnooo
Ina sad na happy ending kwa pamoja
Thanks
Thanks. Niliangalia lkn story sijaielewa. Si kuna mtt anaanguka sijui. Then its like baba mtu vitu anavoviona inakuwa sio uhalisia..its like anakuwa na mental disorder. Inakuwa kama alimpush mtt bila kujua...Ndio hapo nilitoka kapa yaani sijaelewa niadmitAngalia post ya 93 utaona cover lake Angel Nylon
Pole ungefanya tu ku rewind hata mara moja taratibu ungeelewa vizuri tu 😁Thanks. Niliangalia lkn story sijaielewa. Si kuna mtt anaanguka sijui. Then its like baba mtu vitu anavoviona inakuwa sio uhalisia..its like anakuwa na mental disorder. Inakuwa kama alimpush mtt bila kujua...Ndio hapo nilitoka kapa yaani sijaelewa niadmit
Of course I criedHujalia...
Ntaangalia tenaPole ungefanya tu ku rewind hata mara moja taratibu ungeelewa vizuri tu 😁
Wazo zuri!Ntaangalia tena
Hii inahizunisha sana.The Stonning of Soraya ......daah
This oneY
Movie gani??