My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

Hapo hapatakiwi kumilikiwa na mtu kila muislam anatakiwa aende kama anahela zake matokeo yake vikundi vinajimilikisha kulipisha watu hela mamilioni kwenda hija imekua kama utalii sasa
Hahaha wakiweka free hapashikika hapo , pesa unalipia ndo inatumikw kupatunza na kuonekana pamependeza na mji kuboreshwa ili mnapenda mpate huduma zote , Kodi za wasaudia isiwe ndo inawawekea huduma zote , nany mchangie
 
Kuna vifo vingine ni kheri kuliko kuishi na binadamu wanao amini binadamu ni Mungu.
Mbona Allah kawabariki kuwa na Akili nyingi ni Wamewazidi Waisilamu kwa ugunduzi.

Mbona Waisilamu Allah kawatenga wamebakia tu na Chuki dhidi ya Wakristo na Wayahudi lakini ukiangalia kwenye Nobel Prize ya Ugunduzi na ubunifu Waisilamu hawamo.

Sasa hivi hata Mashoga wako mbele kwa ubunifu wakati ninyi mnasema Allah anawachukia Mashoga?!
 
Mbona Allah kawabariki kuwa na Akili nyingi ni Wamewazidi Waisilamu kwa ugunduzi.

Mbona Waisilamu Allah kawatenga wamebakia tu na Chuki dhidi ya Wakristo na Wayahudi lakini ukiangalia kwenye Nobel Prize ya Ugunduzi na ubunifu Waisilamu hawamo.

Sasa hivi hata Mashoga wako mbele kwa ubunifu wakati ninyi mnasema Allah anawachukia Mashoga?!
Unamfahamu Abdul Kalam alikuwa Indian aerospace scientist afu akawa president of India mwaka 2002 huyo sio Muislam?

Wapi Mungu kawatenga Waislam hizo ni akili za Mirembe hakuna watu wamestarehe kama warabu nenda nchi za kiarabu afu ujifananishe nao 😄

Lazima utawasifia mashoga sababu ukristo ndio dini peke inayo ruhusu ushoga kufunga ndoa.
 
Unamfahamu Abdul Kalam alikuwa Indian aerospace scientist afu akawa president of India mwaka 2002 huyo sio Muislam?
Kasoma Ilmu Dunia ndio maana kafikia hapo alipo angesoma Madrasa sana sana angeishia kuwa Shehe mwenye kueneza chuki dhidi ya "Makafiri"
 
Unasema tu humu Jf hebu nenda Makka ukaseme ukione cha Moto😆

MBS kajiapiza kuwanyoosha Magaidi dizaini yako mpaka mnyooke.

Kasema hataki tena Siasa Kali za kuweka Mabomu na kuua Binadamu wasioamini katika Allah Suna zake nk.
Tatizo hata Firauni si alikuwa hakubali ukweli kila Firauni ana wakati wake. Siwezi kuongea kama kichaa kushindana na kiongozi asiye ogopa kudhulumu. Nitaongea kama nina nguvu tuko wengi hata Mwenyezi Mungu alitukataza kupoteza wakati wetu kuongelea vitu na mtu asiye kubali ukweli.


View: https://youtube.com/shorts/QHew-Uz9s8k?si=CyzMGkxJTaQhAHbB
 
Kama wao wanaona maisha duniani ni bora sana kuliko yajayo na wafutike tuu wamelewa mambo ya kidunia lile ni eneo takatifu hata wakitolewa pale si dhamana yao lile ni eneo la waislam wote dunian wasaudi ni wanafiki sana Uislam hauna sunni wala shia ni mbwembwe tu wanafanya hao wasaudi na ni verry arrogant kama mazayuni tu
Kuna mataifa ni maovu.

Namba moja ni Iran.

Sasa, wanajaribu kutengeneza umoja wa uovu, na waovu wenzie Urusi, China na North Korea.

Haya mataifa yakifanikiwa kuungana, kuyazidi nguvu mataifa mema, (ya magharibi), dunia haitakuwa sehemu salama ya kuishi.

Labda kwa kifupi sana nikupe tafasri ya UOVU.

Uovu ni udikteta.

Udikteta ni hali ya kutaka watu wote waishi kama unavyotaka wewe.

Mfano mzuri ni Iran, inalazimisha watu wote wawe waislamu, kitu ambacho ni kinyume hata na maagizo ya Mungu, Mungu hajalazimisha watu wote kufuata maagizo yake.

Ndiyo maana akatengeneza destinations mbili, wanaofuata maagizo waende destination moja, wasiofuata waende nyingine.

Iran, anadanganya dunia kuwa ni taifa la kidini, anaungana na wakomunisti, Urusi China na Korea wasiotambua Mungu, ndio marafiki zake.

Huyu ni muovu, aliyejivika udini ili kutimiza uovu wake.

Sasa waovu wameamua kuungana ili kutengeneza Axis of evil, (mhimili wa uovu).

Yetu ni macho na masikio, tuone kama watafanikiwa.
 
Kichaa upagani mpaa leo upo huyo mtoto wa mfalme wa Saud Arabia ananua picture la kuchorwa kwa bei ya mabillion huo ni upagani, wewe ni mpagani unaye abudu binadamu.

Makkah walikuwepo hata Tanzania walikuwepo sa ajabu ipo wapi.

Bibilia yenu inawambia Jiwe takatifu lipo kwenye nchi takatifu nyie bakini na ujinga wenu.
Nipe hiyo aya ya kwenye biblia inayosema jiwe takatifu lipo kwenye nchi takatifu
 
Israel ikiaamua inaweza kuwafukuza Waarabu kutoka Syria hadi Iraq wakutanie Iraq au Syria kusini.

Iran ni adui wa Wasunni kuliko alivo kwa Israel, siku ambayo Watu Wasyria na Saudi Arabia walivosikia Nasrallah amelamba mchanga waliacha kupigana wakaanza kushangilia, sababu ya mauwaji yaliyofanywa na Iran pamoja na Hezbollah
 
uislam ni uongo na utapeli wa kiimani tu
Sisi kazi yetu kukumbusha na kuwaambia ukweli kama kuabudia masanamu na kuna wajinga huko India niliona wanaabudia mbwa kua sio njia sahihi ili baadae tusije kulamiana kwahaqika kabisa dini ya kweli mbele ya Allah ni Uislam
 
Israel ikiaamua inaweza kuwafukuza Waarabu kutoka Syria hadi Iraq wakutanie Iraq au Syria kusini.

Iran ni adui wa Wasunni kuliko alivo kwa Israel, siku ambayo Watu Wasyria na Saudi Arabia walivosikia Nasrallah amelamba mchanga waliacha kupigana wakaanza kushangilia, sababu ya mauwaji yaliyofanywa na Iran pamoja na Hezbollah
Kwa moto anaopelelekewa zayuni angeweza hilo unalo liwaza unadhani angeliacha kufanya mnadhani tupo kwenye ule uongo wenu wa six day waaa
 
Back
Top Bottom