My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

Kama wao wanaona maisha duniani ni bora sana kuliko yajayo na wafutike tuu wamelewa mambo ya kidunia lile ni eneo takatifu hata wakitolewa pale si dhamana yao lile ni eneo la waislam wote dunian wasaudi ni wanafiki sana Uislam hauna sunni wala shia ni mbwembwe tu wanafanya hao wasaudi na ni verry arrogant kama mazayuni tu
Wee acha hizo habari, pambana na ardhi yako, duniani hamna cha wote
 
Nani kakuambia pesa zake, hizo mi pesa za wananchi wake we unadhani kwenye mshahara wake atatoa hata dollar moja.
The House of Saud Ruling Familiy ni absolute Monarch kuanzia Watu ni Subject wao na Ardhi ya Kingdom na vilivyomo ni mali yao.

We jamaa Mweupe kama kanzu upstairs.
 
Wamembadili wanamwita Jesus.

"Translation" ya jina?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kama unalazimisha kwamba wamembadili, sawa, ngoja nikuanze na ujinga wako.

Kwaio na waswahili nao wamembadili na kumwita "Yesu"? Huko madrassa ndo mnafundishana hivo?

PATHETIC!
 
Kama unalazimisha kwamba wamembadili, sawa, ngoja nikuanze na ujinga wako.

Kwaio na waswahili nao wamembadili na kumwita "Yesu"? Huko madrassa ndo mnafundishana hivo?

PATHETIC!
Huwa sikisii.

Wamebadili. Mwenye nia ovu tu ndiye mwenye kubadili jina la mtu.

Kama ni "tafsiri" mbona Bush hatumwiti kichaka kwa kiswahili?

Tuanze kumwita Trump "Tarumbeta", si ndiyo Kiswahili chake?

Kwanini ubadili jina la mtu?

Unajuwa maana kamili ya jina la Isha Kiamhari, lugha ya Yesu? Tafsiri sahihi ya jina lake kwa Kiswahili tungewita Aishi, tunao wengi hao Kiarabu. La kike lake ni Aisha.

Yesu ingekuwa ni tafsiri kama utakavyo kwa Kingereza inabidi aitwe Living.
 
The House of Saud Ruling Familiy ni absolute Monarch kuanzia Watu ni Subject wao na Ardhi ya Kingdom na vilivyomo ni mali yao.

We jamaa Mweupe kama kanzu upstairs.
For your infomation
the king must comply with Sharia law and the Qur'an. We hapo huoni hafati hata moja na huyo bado hajawa King anatumia kimvuli cha baba yake.
Huyo kutokana na sheria ya Saud Arabia haruhusiwi kununua hilo picture la Monalissa wako.

Pia Qur'an na Sheria zinasema kila mtu apate haki yake, kiongozi na wanao hukumiwa hapo inakusudia wananchi zake.

Ujinga wa kikristo peleka Kanisani.
 
For your infomation
the king must comply with Sharia law and the Qur'an. We hapo huoni hafati hata moja na huyo bado hajawa King anatumia kimvuli cha baba yake.
Unajua tofauti ya "Republic" na "Absolute Monarchy" ?! Au naongea na Mtoto wa Madrasa?!

Utajiri wa Saudi Arabia ni wa Rulling Family sio wa Wananchi Saudi Arabia sio Republic.

Republic Kiarabu ni "Jamahiriyah" rudi Madrasa kamuulize Ustazi wako akufafanulie.
 
Huwa sikisii.

Wamebadili. Mwenye nia ovu tu ndiye mwenye kubadili jina la mtu.

Kama ni "tafsiri" mbona Bush hatumwiti kichaka kwa kiswahili?

Tuanze kumwita Trump "Tarumbeta", si ndiyo Kiswahili chake?

Kwanini ubadili jina la mtu?

Unajuwa maana kamili ya jina la Isha Kiamhari, lugha ya Yesu? Tafsiri sahihi ya jina lake kwa Kiswahili tungewita Aishi, tunao wengi hao Kiarabu. La kike lake ni Aisha.

Yesu ingekuwa ni tafsiri kama utakavyo kwa Kingereza inabidi aitwe Living.
Sijui unaongea ujinga gani ila Jina halisi la Yesu linajulikana, na lugha aliyokuwa anaongea inajulikana.
 
R na L?

Never, iyo kondoo mimi, madrassa matamshi yanatiliwa mkazo kuliko chochote kile.
You have serious mental issues, hizo R na L zimetokea wapi, ulipo rekebishwa hapahusiani na hizo R na L zako.

Vipi bibi?
 
Unajua tofauti ya "Republic" na "Absolute Monarchy" ?! Au naongea na Mtoto wa Madrasa?!
Absolute Monarchy ni huko kwa wazungu wenu kwenye nchi za kislamu nenda katazame Saud Arabia au nchi za Kislam wanatakiwa wafate Qur'an na Sheria kama hafati huyo ni Jambazi.

Kwenye Qur'an na Sheria hakuna ujinga wa Absolute Monarchy au Republic huo ujinga pelekeni kwa watu walio fata mafunzo ya Paulo.
 
As they say, "Power dreams of more Power"

Ayatollah na Islamic regime yake ikifanikiwa kumpiga Israel sio tuu kwamba itaji-establish kama moja kati ya nchi za kuogopeka Middle East na duniani, bali itakuwa ni nchi yenye ushawishi mkubwa and the Shiah Islamic regime will be unstoppable.

Next stop after Israel will be Mecca, kwa hutuba chache(za zamani) nilizosilikiza za Ayatollah haipingiki kwamba huyu jamaa anapatamani, na hakuna njia nyingine efficient ya ku-establish Shiah Islamic rule in the Middle east zaidi ya ku-control the biggest and most popular holy site, Mecca.

Crown prince mwenyew alisema, Kama Iran itafanikiwa kuwa Nuclear power House watawa push Marekani iwasaidie na wao nuclear, kwann? Kwan Saudi ina ugomvi mkubwa sana na Iran hadi itishike Iran kumiliki nuclear?

I think that's their driving ambition.

View attachment 3143168

Unajua tofauti ya "Republic" na "Absolute Monarchy" ?! Au naongea na Mtoto wa Madrasa?!

Utajiri wa Saudi Arabia ni wa Rulling Family sio wa Wananchi Saudi Arabia sio Republic.

Republic Kiarabu ni "Jamahiriyah" rudi Madrasa kamuulize Ustazi wako akufafanulie.
Hawezi kufanikiwa kwa sababu nchi za magharibi wanajua hivi hana anasumbua je chizi akiwa na rungu?
 
Back
Top Bottom