Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kitu kinapikwa ngoja tuone mbeleni huko mwendelezo utakuaje.. maana hata mm sikufurahishwa ilivyoishaYou a dragon be a dragon;
"white winds blow, the lone wolf dies but the pack survives."
Sijui tutapata series nzur yenye kufikirisha kama hii karbu?
Ila mwisho wa series haukuwapendeza watu wengi maana directors hawakujua George Martin anamalizaje novel yake kaweka kama fumbo hv.
Tusubiri tuone ata toaje story ya mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wazungu nao ni vilaza hivi, nilidhani inatokea Bongo tu DuhHalafu the red woman baada ya kumuua princess shreeen alikua anapewa vitisho vya kuuawa na mashabiki. Yaani utadhani ni kweli kumbe ni kuigiza tu
J R R Tolkien, Lord of the Rings (1-3)
na G R R Martin, A Song of Ice and Fire(1-7).
Zote ni epic novels zinazosimulia vita ya wema dhidi ya uovu.
Tofauti moja ni kuwa ndani ya Lord of the Rings ni rahisi kuwajua wema mapema( ukimwacha Saruman the White).
Kwenye A Song of Ice and Fire ambako kuna wahusika lukuki sio rahisi kuwabaini wema na wabaya kati ya wahusika wakuu ingawa kuna utakaowachukia mwanzoni na kutamani washindwe.
Setting ya nyakati pia ni tofauti, ya Lords of the Rings ikiwa ya kubuni moja kwa moja huku ile A Song... ikishabihiana na zile vita zilizoibua mataifa ya Ulaya ya zama hizi( e.g UK etc)
Pia characters wa Tolkien (mf. Hobbits na elves) na events zao ni supernatural zaidi wakati kwenye A Song of Ice and Fire kuna mchanganyiko wa matukio na wahusika katika pande zote mbili.
Katika A Song of Ice and Fire kumejaa ukatili usiomithilika. Ni kama vile G R R Martin ana explore kiwango cha uovu ndani ya binadamu wakati J R R Tolkien aki- potray watu wema waliolazimika kuingia vitani ili kupinga uovu.
Ni yupi bora kati ya Tolkien na Martin? Nadhani hii itategemea uonjo(taste) ya msomaji. Wote wawili wameandika riwaya zinazovutia sana.
Kwa mtazamo wa kiutu, Tolkien ni mtunzi bora sana ukimlinganisha na Martin.
Mkuu comment yako nimeileta huku ili utoe mchango wako..
Ni moja ya series nimeziangalia sana sana.. nikiwa bored naangalia episode kadhaa hafu kila siku naona bado mpyaGOT Series ambayo huwa siichok kuiangalia hata kama imeisha stil siwezi ifuta
If people asking you what happen here,Tell them winter came for house frey-Arya stark
A lannister always pay his debt-Tyrion lannister
Sent using Jamii Forums mobile app
The Wind of winter anamalizia na itaendelea seriesYou a dragon be a dragon;
"white winds blow, the lone wolf dies but the pack survives."
Sijui tutapata series nzur yenye kufikirisha kama hii karbu?
Ila mwisho wa series haukuwapendeza watu wengi maana directors hawakujua George Martin anamalizaje novel yake kaweka kama fumbo hv.
Tusubiri tuone ata toaje story ya mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu Tyrion na Bronn walimwita awape somo kafanyaje..hahaNingeshangaa sana usingemtaja ser devos, huyu jamaa hakusoma hapo mwanzo lakini alikua na akili sana. Kuna wakati alishauriwa kua wamuambie melisandre ukweli lakini ser devos alijibu not a time. Pia vary alimshauri tyrion kua asilipize kisasi mpaka apate muda sahihi wakati anamueleza jinsi alivokatwa.
Da'Vinci usisahau stori ya Poldric ambae anaonekana ni mtu asiyejua mapenzi lakini amewaridhisha malaya 3 na wakaamua hata kumuongeza fedha
Denvers is a JamiiForum bumpkin!You're boring Cunt!
Niliona hii tag muda, ila nikasema nikupe muda yawezekana umenitag bahati mbaya na pengine utarudi kufuta kama ile siku.
Siku ile nilihisi hutapenda nilichoandika ndio nikawa naogopa usione. Maana wote walikua wananibonda mawe mimi..wakati nilifanya kwa huruma tuNiliona hii tag muda, ila nikasema nikupe muda yawezekana umenitag bahati mbaya na pengine utarudi kufuta kama ile siku.