EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
- Mkuu hakuna baba yako hapa kuna siasa za Taifa, Warioba anamsaliti Mwalimu Baba wa Taifa hili aliyekuwa akimuamini sana mpaka kumpa Uwaziri kila wakati, mimi Warioba angesema Mwalimu akiwa hai kwamba hataki Muungano nisingekuwa na tatizo na hoja zake leo, kama ninavyomuheshimu Kasaka Njelu, yule alisimama mbele ya Mwalimu akasema hataki Muungano, wengine wote ambao hawakusema ni WASALITI!! - Warioba aliteuliwa kukusanya maoni sio kutengeneza maoni kama alivyofanya, huwezi kupanda mahindi ukavuna mihogo leo Warioba amevuna alichopanda!! Le Mutuz
Naomba uniambie faida tatu tu za huu muungano wa tembo na huyu sisimizi mnyonyaji.
Sina kawaida ya ku-quote taarifa ndefu kama hii yako lakini imenibidi. Naona kabisa udhaifu wako. Kwa nini unalazimisha mawazo yako yawe ndo wazomeaji? Umewaona wanaozomeya au ni kitu gani kichwani?
Sababu uliyotaja haikuwa bungeni leo kabisa. Naamini una rafiki au marafiki wanaoweza kukusimulia mara ya pili. Tatizo ni kukiuka kanuni, kutengua kanuni ambayo imemruhusu Warioba kusoma rasimu kabla ya hotuba ya Rais. Sasa hapo uzalendo umeanzia wapi? Udhaifu unaweza kuwa ni wa Mwenyekiti, anaonyesha umwamba usiokuwa na sababu, madaraka na kujinadi busara bila mipaka.
Hili Bunge linahitaji mwenye uwezo wa kufikiri siyo mzoefu tu ambaye ana sifa ya kukumbuka aliyokuwa akifanya miaka yote.
Tusiendelee kuambiwa mambo ya baba wa Taifa, baba mpaka lini? Mbona hutamani Azimio la Arusha kiasi hicho? au ktk mambo ya maana ni muungano tu! Nilitamani sana kuona CV yako maana kumbe sasa tuko hatarini, kila tunachotaka kufanya mtu anaibuka na kusema 'baba wa Taifa', so what? Ni simba kwamba atatung'ata kama lugha ya kitoto inayotumika? Tangu alipokufa sisi tuache kufikiri utadhani alifariki na ubongo wetu!
Mwalimu alikuwa binadamu. Sifa kubwa ya binadamu ni kujua umekosea wapi na kurekebisha kwa manufaa ya wengi. Ili mwalimu hakuliona na sasa tunatumia pesa nyingi kurekebisha makosa ya mwalimu- Leo nimejionea kwa macho na masikio yangu Wabunge wanaomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, sikutegemea kua bado tuna Wabunge wenye Uzalendo wa kukumbuka tulikotoka hili Taifa. Kumbe bado tunao Wabunge wenye uchungu na Taifa letu, kumbe bado tunao Wabunge wenye kuelewa kwamba Duniani hakuna Serikali ya Jamhuri yenye Marais 3. - Warioba alipoteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu aliapa kwa kiapo kile kile cha Jamhuri, kwamba ataulinda Muungano kwa akili zake zote na nguvu zake zote, aliapa viapo hivi maisha yake yote mbele ya Mwalimu muasisi wa Muungano, sasa leo Mwalimu hayupo Warioba amebadilika hataki tena Muungano, halafu kibaya hajawahi kusema hadharani kuwa Mwalimu was wrong na Muungano, halafuhajawahi kutuambia hili Taifa kwamba huko nyuma alikuwa anaunga mkono Muungano na sasa hautaki, ila aemjificha ficha nyuma ya Rasimu na kutaka kupenyeza agenda yake ya kisaliti, bravo wabunge wangu leo nimejisikia vizuri sana na hasa imenikumbusha zile enzi za JKT nilipokuwa Oljoro Arusha kwenye "OPERATION TEKELEZA", - JAMANI WALE WOTE KAMA WARIOBA MNAOTAKA KUVUNJA MUUNGANO SUBIRI SISI WOTE TULIOPITIA JKT TUSIWEPO, NDIO MTAPITISHA UPUUZI WENU WA KUVUNJA KILA KITU: WARIOBA ALIKUW WAZIRI MKUU NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ASIYETAKA MUUNGANO LAKINI HAKUSEMA HATA SIKU MOJA, ANAKUJA KUSEMA LEO TENA KWA KUJIFICHA NYUMA YA PAZIA LA RASIMU YA KATIBA, LEO AMEJIONEA MWENYEWE KWAMBA SIO WABUNGE WOTE NI SAWA WALE WANANCHI ALIOKUWA ANAWABURUZA KWENYE VIKAO VYAKE KULE MIKOANI. - KUTAKA SERIKALI 3 NI KUVUNJA MUUNGANO KWA KIONGOZI YOYOTE WA TAIFA ALIYEAPISHWA NA RAIS KUDAI HAYA NI USALITI, HENGERENI SANA WABUNGE WOTE MLIOSIMAMA KIDETE LEO, MTALIPWA NA MUNGU WA MBINGUNI TU WARIOBA NA KUNDI LAKE MTALIPWA HAPA HAPA DUNIANI KWA KUTAKA KUTUVURUGA SISI WANANCHI WA TANZANIA, MSHINDWE NA MLEEEGEEEE WOTE WASALITI WAKUBWA WA MWALIMU BABA WA TAIFA!! Le Mutuz
Kweli kabisa mkuu,jamaa anaona nyeusi kama njano,hajui ni nini kilikuwa kinaendelea,amekurupuka tu.You are less informed, kumbe hata kinachoendelea hujui.
Kulikuwa na wajumbe 15 kutoka bara na visiwani. Warioba alindika rasimu mwenyewe? Asichokijua huyu jamaa ni kuwa zomea zomea ilikuwa ni kutokana na kukiuka kwa kanuni si Warioba.Hivi mku maana ya rasimu unaifahamu? Amejifichaje nyuma ya rasimu huyo ndugu Warioba? Ama una maana amejificha nyuma ya wananchi?
- Leo nimejionea kwa macho na masikio yangu Wabunge wanaomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, sikutegemea kua bado tuna Wabunge wenye Uzalendo wa kukumbuka tulikotoka hili Taifa. Kumbe bado tunao Wabunge wenye uchungu na Taifa letu, kumbe bado tunao Wabunge wenye kuelewa kwamba Duniani hakuna Serikali ya Jamhuri yenye Marais 3. - Warioba alipoteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu aliapa kwa kiapo kile kile cha Jamhuri, kwamba ataulinda Muungano kwa akili zake zote na nguvu zake zote, aliapa viapo hivi maisha yake yote mbele ya Mwalimu muasisi wa Muungano, sasa leo Mwalimu hayupo Warioba amebadilika hataki tena Muungano, halafu kibaya hajawahi kusema hadharani kuwa Mwalimu was wrong na Muungano, halafuhajawahi kutuambia hili Taifa kwamba huko nyuma alikuwa anaunga mkono Muungano na sasa hautaki, ila aemjificha ficha nyuma ya Rasimu na kutaka kupenyeza agenda yake ya kisaliti, bravo wabunge wangu leo nimejisikia vizuri sana na hasa imenikumbusha zile enzi za JKT nilipokuwa Oljoro Arusha kwenye "OPERATION TEKELEZA", - JAMANI WALE WOTE KAMA WARIOBA MNAOTAKA KUVUNJA MUUNGANO SUBIRI SISI WOTE TULIOPITIA JKT TUSIWEPO, NDIO MTAPITISHA UPUUZI WENU WA KUVUNJA KILA KITU: WARIOBA ALIKUW WAZIRI MKUU NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ASIYETAKA MUUNGANO LAKINI HAKUSEMA HATA SIKU MOJA, ANAKUJA KUSEMA LEO TENA KWA KUJIFICHA NYUMA YA PAZIA LA RASIMU YA KATIBA, LEO AMEJIONEA MWENYEWE KWAMBA SIO WABUNGE WOTE NI SAWA WALE WANANCHI ALIOKUWA ANAWABURUZA KWENYE VIKAO VYAKE KULE MIKOANI. - KUTAKA SERIKALI 3 NI KUVUNJA MUUNGANO KWA KIONGOZI YOYOTE WA TAIFA ALIYEAPISHWA NA RAIS KUDAI HAYA NI USALITI, HENGERENI SANA WABUNGE WOTE MLIOSIMAMA KIDETE LEO, MTALIPWA NA MUNGU WA MBINGUNI TU WARIOBA NA KUNDI LAKE MTALIPWA HAPA HAPA DUNIANI KWA KUTAKA KUTUVURUGA SISI WANANCHI WA TANZANIA, MSHINDWE NA MLEEEGEEEE WOTE WASALITI WAKUBWA WA MWALIMU BABA WA TAIFA!! Le Mutuz
- Mkuu sana fungua thread ya Faida za Muungano hii unahusu yaliyojiri leo!1 Le Mutuz
Hivi kuna VITI MAALUM kwa ajili wa "wa kiume"? Kama vipo no doubt huyu jamaa atapata!!!!!
Rubbish- Wale wanaotaka Serikali 3 nia na madhumuni yao ni kuvunja Muungano, alianza Jumbe, akaja Sefu, sasa wao wasaliti I mean ni TRAITORS hawana jipya badala ya kutuletea mawazo mapya wanatuletea habari za kuvunja kila kitu, hapana sasa leo ndio wamejionea kwamba sio wananchi wote wa Tanzania ni wajinga wa kuyumbishwa yumbishwa na watu wachache wenye tamaa ya madaraka!! Le Mutuz
- Sawa sawa ndio maana ninasema subirini kwanza mpaka wale wote tuliowahi kuishi under utwala wa Mwalimu tukiondoka ndio mtavunja kila kitu, not now!! Le Mutuz
teh teh, take like mkuu!Naomba uniambie faida tatu tu za huu muungano wa tembo na huyu sisimizi mnyonyaji.