My Salute Kwa Wabunge:- That is How We Treat Traitors!!

My Salute Kwa Wabunge:- That is How We Treat Traitors!!

Hivi mbona hawa Maccm hawamhusishi mwl kuhusu ufisadi,nyara za serikali na mengineyo?Wao wamekalia kumuenzi kwa muungano tu.Kama hayo mengine aliyosimamia wameyavunja hata huu muungano ukivunjika siyo dhambi.
 
- Mkuu hakuna baba yako hapa kuna siasa za Taifa, Warioba anamsaliti Mwalimu Baba wa Taifa hili aliyekuwa akimuamini sana mpaka kumpa Uwaziri kila wakati, mimi Warioba angesema Mwalimu akiwa hai kwamba hataki Muungano nisingekuwa na tatizo na hoja zake leo, kama ninavyomuheshimu Kasaka Njelu, yule alisimama mbele ya Mwalimu akasema hataki Muungano, wengine wote ambao hawakusema ni WASALITI!! - Warioba aliteuliwa kukusanya maoni sio kutengeneza maoni kama alivyofanya, huwezi kupanda mahindi ukavuna mihogo leo Warioba amevuna alichopanda!! Le Mutuz

Nakushauri acha kumshambulia warioba kama yeye, shambulia Tume... nakingine warioba ni sawa na baba yako mpe heshima yake

Kingine usikalili wenzako ndani ya chama, kwani utajitengenezea uadui na warioba ambaye uji baadaye anaweza hakawa nani na kukwamisha mambo yako

Katika siasa acha kushambulia wazee kabisa ni rahana kubwa.

Me ni hayo tu.
 
W. J. Malecela

Usikasirike ni ukweli kwani mtu akisema baba yako aliwahi kuwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais just like warioba, ni uongo???? mbona baba yako alitaka serikali 3 hujawahi kumuandika kuwa ni msaliti na majungu mengine ambbayo umempa mzee warioba??? narudia ukitaka kujadili kwa kina suala hili ni lazima kwanza ujadili suala la john malecela na serikali 3, harafu uoanishe ni warioba kwa suala hilo hilo, hii ni ukweli kuwa ukijadili warioba pekee na wewe ni motto wa malecela unaonekana umeegemea upande mmoja. Kwanini Nyerere alitoa jina la malecela kwa kugombea kiti cha urais??? sema yote hayo kwa undani kabisa harafu tuambie usaliti wa warioba; kukasirika hakusaidii



W. J. Malecela
 
Sina kawaida ya ku-quote taarifa ndefu kama hii yako lakini imenibidi. Naona kabisa udhaifu wako. Kwa nini unalazimisha mawazo yako yawe ndo wazomeaji? Umewaona wanaozomeya au ni kitu gani kichwani?

Sababu uliyotaja haikuwa bungeni leo kabisa. Naamini una rafiki au marafiki wanaoweza kukusimulia mara ya pili. Tatizo ni kukiuka kanuni, kutengua kanuni ambayo imemruhusu Warioba kusoma rasimu kabla ya hotuba ya Rais. Sasa hapo uzalendo umeanzia wapi? Udhaifu unaweza kuwa ni wa Mwenyekiti, anaonyesha umwamba usiokuwa na sababu, madaraka na kujinadi busara bila mipaka.

Hili Bunge linahitaji mwenye uwezo wa kufikiri siyo mzoefu tu ambaye ana sifa ya kukumbuka aliyokuwa akifanya miaka yote.

Tusiendelee kuambiwa mambo ya baba wa Taifa, baba mpaka lini? Mbona hutamani Azimio la Arusha kiasi hicho? au ktk mambo ya maana ni muungano tu! Nilitamani sana kuona CV yako maana kumbe sasa tuko hatarini, kila tunachotaka kufanya mtu anaibuka na kusema 'baba wa Taifa', so what? Ni simba kwamba atatung'ata kama lugha ya kitoto inayotumika? Tangu alipokufa sisi tuache kufikiri utadhani alifariki na ubongo wetu!

Ungemwambia asome hapa akawadanganye kwenye Brog yake huko si huku...https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...chanzo-cha-bunge-kuahirishwa.html#post8981342
 
Wacha ujinamizi ,hivi kwa akili zako haya au hyo rasimu ni mawazo ya Warioba ? zimepita tumengapi kuhusiana na Muungano na zote zimekuja na serikali tatu ,kwa aliyoyakusanya Warioba si mageni kwa Watanzania ,wewe kama unafaidika na urithi ambao hutokana na jasho la walala hoi ,one day yes itawatoea puani jasho lao ,baba kadhulumu na watoto nao pia wadhulumu ,kwa taarifa yako Tanganyika ya leo ni tofauti na ile waliyoiacha wazee wenu ,kama Uccm karibu WaTz wote walikuwa CCM.

Msiwe malimbukeni na hapo bungeni kilichopingwa ni hujuma za CCM na ndio hivyo zimepingwa na mliyoyapanga hayakuwa ,pole sana unasifu usichokifahamu.

Sasa jipimeni vizuri sana ikiwa hapo mmetulizwa je huko kunakoelekewa ? Na huo ujeshi unaojilabu nao ,sidhani kama utamtisha mtu kwani zama za kutishana zimepitwa na wakati UJKT!!! watu wana UJWTZ wametulia tuli . Heshima mliokuwa mkipewa mmeipoteza na haitorudi tena ,Muungano utajadiliwa na serikali tatu ndio hitimisho vyenginevyo mtakufa na donge la roho.
 
- Leo nimejionea kwa macho na masikio yangu Wabunge wanaomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, sikutegemea kua bado tuna Wabunge wenye Uzalendo wa kukumbuka tulikotoka hili Taifa. Kumbe bado tunao Wabunge wenye uchungu na Taifa letu, kumbe bado tunao Wabunge wenye kuelewa kwamba Duniani hakuna Serikali ya Jamhuri yenye Marais 3. - Warioba alipoteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu aliapa kwa kiapo kile kile cha Jamhuri, kwamba ataulinda Muungano kwa akili zake zote na nguvu zake zote, aliapa viapo hivi maisha yake yote mbele ya Mwalimu muasisi wa Muungano, sasa leo Mwalimu hayupo Warioba amebadilika hataki tena Muungano, halafu kibaya hajawahi kusema hadharani kuwa Mwalimu was wrong na Muungano, halafuhajawahi kutuambia hili Taifa kwamba huko nyuma alikuwa anaunga mkono Muungano na sasa hautaki, ila aemjificha ficha nyuma ya Rasimu na kutaka kupenyeza agenda yake ya kisaliti, bravo wabunge wangu leo nimejisikia vizuri sana na hasa imenikumbusha zile enzi za JKT nilipokuwa Oljoro Arusha kwenye "OPERATION TEKELEZA", - JAMANI WALE WOTE KAMA WARIOBA MNAOTAKA KUVUNJA MUUNGANO SUBIRI SISI WOTE TULIOPITIA JKT TUSIWEPO, NDIO MTAPITISHA UPUUZI WENU WA KUVUNJA KILA KITU: WARIOBA ALIKUW WAZIRI MKUU NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ASIYETAKA MUUNGANO LAKINI HAKUSEMA HATA SIKU MOJA, ANAKUJA KUSEMA LEO TENA KWA KUJIFICHA NYUMA YA PAZIA LA RASIMU YA KATIBA, LEO AMEJIONEA MWENYEWE KWAMBA SIO WABUNGE WOTE NI SAWA WALE WANANCHI ALIOKUWA ANAWABURUZA KWENYE VIKAO VYAKE KULE MIKOANI. - KUTAKA SERIKALI 3 NI KUVUNJA MUUNGANO KWA KIONGOZI YOYOTE WA TAIFA ALIYEAPISHWA NA RAIS KUDAI HAYA NI USALITI, HENGERENI SANA WABUNGE WOTE MLIOSIMAMA KIDETE LEO, MTALIPWA NA MUNGU WA MBINGUNI TU WARIOBA NA KUNDI LAKE MTALIPWA HAPA HAPA DUNIANI KWA KUTAKA KUTUVURUGA SISI WANANCHI WA TANZANIA, MSHINDWE NA MLEEEGEEEE WOTE WASALITI WAKUBWA WA MWALIMU BABA WA TAIFA!! Le Mutuz
Mwalimu alikuwa binadamu. Sifa kubwa ya binadamu ni kujua umekosea wapi na kurekebisha kwa manufaa ya wengi. Ili mwalimu hakuliona na sasa tunatumia pesa nyingi kurekebisha makosa ya mwalimu
 
Hivi mku maana ya rasimu unaifahamu? Amejifichaje nyuma ya rasimu huyo ndugu Warioba? Ama una maana amejificha nyuma ya wananchi?
Kulikuwa na wajumbe 15 kutoka bara na visiwani. Warioba alindika rasimu mwenyewe? Asichokijua huyu jamaa ni kuwa zomea zomea ilikuwa ni kutokana na kukiuka kwa kanuni si Warioba.

Yes wanaweza kulinda muungano wa serikali 2 kwa mabomu ya machozi, mabomu hayo hayakuzuia Russia au Yugoslavia kuparaganyika. Muafaka ni bora kuliko ubabe maana hata Gobachev hakuweza.
Kulazimisha kutavunjilia mbali muungano, wananchi watachukua agenda yao na hapo hakuna control. Itakayotumika ni 'sheria za mwituni' subiri uone muungano unavyosambaratika mikononi mwa JK. Just matter of time.

Muulize Le Mutuz, kwani baba yake Mzee Malecela alitaka serikali ngapi? Je na yeye ni mpuuzi kama hawa anaowaita wapuuzi akina Warioba. Labda aanze kutuambia kuwa mzee wake alikuwa juha kwanza halafu atuambie ya Warioba.
Mzee J.S Malecela alikuwa PM na makamu wa kwanza wa rais kama Warioba, vipi leo Warioba aonekane mbaya wakati ubaya ulianza na John?
 
Nafikiri kilichotokea bungeni jioni hii HUKUKIELEWA waliosimama bungeni ni wabunge wa upinzani na wengine wanaosimamia kanuni walizopitisha.Sita alijaribu kuvunja kanuni kwa kumlazimisha Warioba akabidhi rasimu kabla raisi hajafungua bunge.Raisi anatakiwa na kanuni ahutubie bunge kabla ya Warioba.CCM hawataki sijui kwa nini walipitisha kanuni.

Sasa wewe ufanye uchunguzi na utafiti kabla ya kuja kuropoka hapa

Ushauri tuu,sio poa sana mtu mzima kuropoka.
 
W. J. Malecela

Kama ni kusikika umesikia subiri JK akupe hata uDC, naona unataka recognition ndani ya CCM na Serikali hii, lakni akili yako inakusaliti sana, JF itakusaidiaje???
 
- Leo nimejionea kwa macho na masikio yangu Wabunge wanaomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, sikutegemea kua bado tuna Wabunge wenye Uzalendo wa kukumbuka tulikotoka hili Taifa. Kumbe bado tunao Wabunge wenye uchungu na Taifa letu, kumbe bado tunao Wabunge wenye kuelewa kwamba Duniani hakuna Serikali ya Jamhuri yenye Marais 3. - Warioba alipoteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Rasimu aliapa kwa kiapo kile kile cha Jamhuri, kwamba ataulinda Muungano kwa akili zake zote na nguvu zake zote, aliapa viapo hivi maisha yake yote mbele ya Mwalimu muasisi wa Muungano, sasa leo Mwalimu hayupo Warioba amebadilika hataki tena Muungano, halafu kibaya hajawahi kusema hadharani kuwa Mwalimu was wrong na Muungano, halafuhajawahi kutuambia hili Taifa kwamba huko nyuma alikuwa anaunga mkono Muungano na sasa hautaki, ila aemjificha ficha nyuma ya Rasimu na kutaka kupenyeza agenda yake ya kisaliti, bravo wabunge wangu leo nimejisikia vizuri sana na hasa imenikumbusha zile enzi za JKT nilipokuwa Oljoro Arusha kwenye "OPERATION TEKELEZA", - JAMANI WALE WOTE KAMA WARIOBA MNAOTAKA KUVUNJA MUUNGANO SUBIRI SISI WOTE TULIOPITIA JKT TUSIWEPO, NDIO MTAPITISHA UPUUZI WENU WA KUVUNJA KILA KITU: WARIOBA ALIKUW WAZIRI MKUU NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ASIYETAKA MUUNGANO LAKINI HAKUSEMA HATA SIKU MOJA, ANAKUJA KUSEMA LEO TENA KWA KUJIFICHA NYUMA YA PAZIA LA RASIMU YA KATIBA, LEO AMEJIONEA MWENYEWE KWAMBA SIO WABUNGE WOTE NI SAWA WALE WANANCHI ALIOKUWA ANAWABURUZA KWENYE VIKAO VYAKE KULE MIKOANI. - KUTAKA SERIKALI 3 NI KUVUNJA MUUNGANO KWA KIONGOZI YOYOTE WA TAIFA ALIYEAPISHWA NA RAIS KUDAI HAYA NI USALITI, HENGERENI SANA WABUNGE WOTE MLIOSIMAMA KIDETE LEO, MTALIPWA NA MUNGU WA MBINGUNI TU WARIOBA NA KUNDI LAKE MTALIPWA HAPA HAPA DUNIANI KWA KUTAKA KUTUVURUGA SISI WANANCHI WA TANZANIA, MSHINDWE NA MLEEEGEEEE WOTE WASALITI WAKUBWA WA MWALIMU BABA WA TAIFA!! Le Mutuz

Rubish....
 
Aliyegomewa ni Samwel Sitta sio warioba na wanaogoma wanamtaka JK afike kwanza kufungua Bunge halafu aje Warioba.
 
Hiv ccm wamebemenda akili zetu kiasi gani? tume ya jaji kisanga.....tume ya nyalali na Leo tume ya warioba zote kwa pamoja wananchi wanapendekeza serikali Tatu......hivi Hii haiimanishi chchote jamani? hivi katiba niya ccm au ya watanzania?
 
- Wale wanaotaka Serikali 3 nia na madhumuni yao ni kuvunja Muungano, alianza Jumbe, akaja Sefu, sasa wao wasaliti I mean ni TRAITORS hawana jipya badala ya kutuletea mawazo mapya wanatuletea habari za kuvunja kila kitu, hapana sasa leo ndio wamejionea kwamba sio wananchi wote wa Tanzania ni wajinga wa kuyumbishwa yumbishwa na watu wachache wenye tamaa ya madaraka!! Le Mutuz
Rubbish
 
- Sawa sawa ndio maana ninasema subirini kwanza mpaka wale wote tuliowahi kuishi under utwala wa Mwalimu tukiondoka ndio mtavunja kila kitu, not now!! Le Mutuz

Wewe unafikiri kwa ubongo au uti wa mgongo?
sasa nayakumbuka baadhi ya mkapa kuwa kuna baadhi ya watu walipaswa wapewe uti wa mgongo bila ubongo.
miongoni mwao ni wewe unaesema zidumu fikira za nyerere.
 
Back
Top Bottom