my special dedication to my Wife to be

my special dedication to my Wife to be

Na mie ukitaja Msoga napata picha ya Ridhwan na "ujanja wake wa mjini"...........yaaaakkk :A S embarassed:
Hahahaha!!! Sisi tulikuwa tunaenda vizuri Mbu amekuja amefukunyua mawebusaiti ya madedikesheni mwishowe sasa aje anipeperushie ndege wangu Gaijin...lol huyu Mbu hana hata dogo lohh....:lol:
 
Hahahaha!!! Sisi tulikuwa tunaenda vizuri Mbu amekuja amefukunyua mawebusaiti ya madedikesheni mwishowe sasa aje anipeperushie ndege wangu Gaijin...lol huyu Mbu hana hata dogo lohh....:lol:

Mbu kafuja ....itabidi tusubiri opportunity nyengine. Maana hii ishaenda arijojo lol

Watu wa looongiii utawajua tu!
 
Mnamuonea tu.

Watu kila asubuhi wanatubandikia nyimbo wakisema ni ujumbe kwa wake/wapenzi wao. Kosa lake hajaweka source tu labda


HAHAHAHAHAHAH!....yaaani nimuwekee lyrics soulmate hapa halafu chini niweke source Ali Kiba?
hapana bana, uanaume ni pamoja na kutunisha misuli hata kama kakifua kenyewe ni kama kidali cha kuku!
 

HAHAHAHAHAHAH!....yaaani nimuwekee lyrics soulmate hapa halafu chini niweke source Ali Kiba?
hapana bana, uanaume ni pamoja na kutunisha misuli hata kama kakifua kenyewe ni kama kidali cha kuku!


Ha ha ha .....Mbu.... ha ha ha

Kama lazima kuweka source (Ali Kiba) bora hata usiweke hizo lyrics kabisa au! lolz

Umenichekesha sana hapa Mbu....... ha ha ha
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahaha!!! Sisi tulikuwa tunaenda vizuri Mbu amekuja amefukunyua mawebusaiti ya madedikesheni mwishowe sasa aje anipeperushie ndege wangu Gaijin...lol huyu Mbu hana hata dogo lohh....:lol:

Mbu kafuja ....itabidi tusubiri opportunity nyengine. Maana hii ishaenda arijojo lol

Watu wa looongiii utawajua tu!

...hahahhahah.....
456
......Forget the bite I sing for you...!
 

HAHAHAHAHAHAH!....yaaani nimuwekee lyrics soulmate hapa halafu chini niweke source Ali Kiba?
hapana bana, uanaume ni pamoja na kutunisha misuli hata kama kakifua kenyewe ni kama kidali cha kuku!
Mbu ushaniharibia kwa Gaijin kamanda maana sasa hivi Gee nikimtumia dedikesheni atadai source bora dedikesheni angekuwa anataka ya kiswahili hata niki kopi pesti aki-search google kuipata itakuwa mbinde...sasa yeye anataka dedikesheni za Kiingereza sasa chimbo langu Mbu umeliweka hadharani mambo yameishaharibika....Gaijin akijaribu ku-google dedikesheni niliyomtumia anapata chimbo langu kinachofuata ni kibuti.....:lol:
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ha ha ha nimecheka sana copy and paste without editing

Tatizo umeshindwa kuelewa nilichomaanisha au kwakuwa sikuweka source?Watu wanakuwa wagumu sana!sikumtaja mtu ila niliweka kwa yeyote anayependa ajisevie na wala si vinginevyo!
 
lol,....hebu cheki hii website;

Love Letter Sample

au,

I Miss You :: Love Letters Dating Email Relationships

au,

nk nk nk....

sasa mtu kama huyu akikutana na binti anayechipukia, asiyejua
maneno na vitendo ni vitu viwili tofauti....si atanasa?

jamani wazazi wenzangu, Actions Speak Louder than Words!
tuwaongoze binti zetu wasirubuniwe jamani eee!
Unashindwa kuelewa,sikumtumia mtu yoyote ila niliweka kwa anayetaka ajisevie na wala si vinginevyo sema tu sikuweka source ndio tatizo langu!
 
Unashindwa kuelewa,sikumtumia mtu yoyote ila niliweka kwa anayetaka ajisevie na wala si vinginevyo sema tu sikuweka source ndio tatizo langu!

...sawa mkuu, umesomeka...


[SIZE=-1]To My Beloved ...............
space.gif
[/SIZE][SIZE=-1]

. I miss you so much.

[/SIZE]

[TABLE="width: 215, align: right"]
[TR]
[TD][SIZE=-1]Love always,
Jpinduzi[/SIZE]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Tatizo umeshindwa kuelewa nilichomaanisha au kwakuwa sikuweka source?Watu wanakuwa wagumu sana!sikumtaja mtu ila niliweka kwa yeyote anayependa ajisevie na wala si vinginevyo!

Jpinduzi

Usikonde wala nini. Upo juu. Mimi mmoja nimekuelewa sana tu wala sijaona ubaya katika ulolitenda.
 

...lol...hiyo 'saini' aliyomwaga hapo juu tayari kajikubalisha kuubeba msalaba huu,
acha asulubiwe kwanza...

jama jama jama......mmemfanya mpaka kafuta alichokiandika!

Kajuta kumfahamu Mbu ....lol
 
Hii Poster imefutwa au ni mimi tu ..?
sioni kitu zaidi ya exclamation mark "!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"

Imefutwa lakini imo katika links alizozileta Mbu.

Wamemwambia madedikesheni yake ni copy and paste jamaa kakasirika kafuta, wakati karibu na wote huleta madedikesheni ya kuchukua pahala (@-@)
 
Imefutwa lakini imo katika links alizozileta Mbu.

Wamemwambia madedikesheni yake ni copy and paste jamaa kakasirika kafuta, wakati karibu na wote huleta madedikesheni ya kuchukua pahala (@-@)

Natabia ya kuruka page looooohh
umenifanya nrudi nyuma kusoma nimecheka kweli..

Gaijini we mchochezi kweli
nimeona jinsi ulivyokuwa unampamp Mbu naye
hachoki kumwaga mambo ..... JF kuna raha kwa kweli..

hahaahah
Jamaa kajitahidi lakini
Hopeful alielewa tu alicho copy basi....
 
Natabia ya kuruka page looooohh
umenifanya nrudi nyuma kusoma nimecheka kweli..

Gaijini we mchochezi kweli
nimeona jinsi ulivyokuwa unampamp Mbu naye
hachoki kumwaga mambo ..... JF kuna raha kwa kweli..

hahaahah
Jamaa kajitahidi lakini
Hopeful alielewa tu alicho copy basi....


He he he we acha tu. Maana Mbu hapigiwi anacheza, jee umpe mdundo?

Lakini kusema kweli mie nimeona poa tu, copy paste coz poem langu la kufoka foka ndo linazidi kupanda chati! 😛
 
He he he we acha tu. Maana Mbu hapigiwi anacheza, jee umpe mdundo?

Lakini kusema kweli mie nimeona poa tu, copy paste coz poem langu la kufoka foka ndo linazidi kupanda chati! 😛

Mbu
ngoma zote kafunga kibebwe na mduara alikuwa kati ..
kanichekesha kweli na link zote kakupatia ...

Hata mi sjaona tatizo kwa kweli , yote kumi mradi
ujumbe umefika kwa mwali . Wasikutane to ana kwa ana basi..
mtu anaweza apate magonjwa ya moyo bure. .........
Raha ya kutongoza.
 
Hii Poster imefutwa au ni mimi tu ..?
sioni kitu zaidi ya exclamation mark "!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"

Imefutwa lakini imo katika links alizozileta Mbu.

Wamemwambia madedikesheni yake ni copy and paste jamaa kakasirika kafuta, wakati karibu na wote huleta madedikesheni ya kuchukua pahala (@-@)

Natabia ya kuruka page looooohh
umenifanya nrudi nyuma kusoma nimecheka kweli..

Gaijini we mchochezi kweli
nimeona jinsi ulivyokuwa unampamp Mbu naye
hachoki kumwaga mambo ..... JF kuna raha kwa kweli..

hahaahah
Jamaa kajitahidi lakini
Hopeful alielewa tu alicho copy basi....

He he he we acha tu. Maana Mbu hapigiwi anacheza, jee umpe mdundo?

Lakini kusema kweli mie nimeona poa tu, copy paste coz poem langu la kufoka foka ndo linazidi kupanda chati! 😛

Mbu
ngoma zote kafunga kibebwe na mduara alikuwa kati ..
kanichekesha kweli na link zote kakupatia ...

Hata mi sjaona tatizo kwa kweli , yote kumi mradi
ujumbe umefika kwa mwali . Wasikutane to ana kwa ana basi..
mtu anaweza apate magonjwa ya moyo bure. .........
Raha ya kutongoza.
:lol::lol::lol::lol: Jpinduzi kafuta dedication khaaaaa...hahahaha Mbu usije tena MMU....
 
Back
Top Bottom