Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Anatupia sana shots tuu, hili bapa litaisha kweli?😂Duu endelea iwe ndefu ndefu bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatupia sana shots tuu, hili bapa litaisha kweli?😂Duu endelea iwe ndefu ndefu bana
Tulia mkuu, Kwa hiyo Mimi Sasa hivi nikianzisha Uzi Kwa ID nyingine mpya utasema ni mgeni!?joined Jan4 2024 na ushaandka uzi[emoji23][emoji119]
Litaisha kimtindoAnatupia sana shots tuu, hili bapa litaisha kweli?😂
Nomechanganya mazingira tuu ingawa panahusikaKanda ya ziwa na uchawi ni kopo na mfuniko.
Hakuna story toka pande hizo isiyohusisha uchawi na ushirikina
Sidhani aisee... 😀Anatupia sana shots tuu, hili bapa litaisha kweli?😂
Unavusha... 😀😋😋😋
Halafu anaweka vipande vifupi, ila sio kila mtu amejaaliwa kipaji cha uandishi.Yani ungekua unasimulia vzr ni bonge la story kwa sbb naona uhalisia ndani yake..ila sasa usimuliaji wako ni tabu...
Mniwie radhii siwezi andika masimuliziiHalafu anaweka vipande vifupi, ila sio kila mtu amejaaliwa kipaji cha uandishi.
Nakuelewa, haina shida kabisa.Mniwie radhii siwezi andika masimulizii