Jizazi! Bado upo JF we binti? Nina karibu mwaka sijakutia jichoni. I hope you are OK [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Fukc mate [emoji57][emoji57]
Mi nadhani ndio naongoza kuwa na roho ngumu.,,,,ila na nyie wanaume mna roho ngumu hivi unawezaje kuwa na mtu ambae unajua kabisa anapitiwa na kila aina ya kitu.
Anayekupenda hawezi kugawa uchi wake.Wenzako wananunua, we unapewa bure.
Halaf unasema hupendwi.
Ushahidi kwamba wengine walikula na condo au kavu sina.Wenzako wanakula na maganda, we unaila kama ilivyo.
Halaf unasema mtoto sio wako.
Baba wa mtoto ni yule aliyempa mimba ambae sio mimi.Pole sana, tumia busara tu ikiwezekana waambie mpaka upime DNA ndio utamtunza mtoto
Kuhusu elimu ya UKIMWI ninayo ila tatizo wengine tuna mioyo migumu.Hapo ili kuondoa utata inabidi mpime DNA kwa sababu kavu ulipiga kweli so usikatae sana huenda sperms zako ndiyo zilikua na nguvu na kiherehere cha kurutubisha yai siku hiyo.ungetumia ndomu hizo doubts zisingekuwepo. Hivi inakuaje unajua kabisa mtu ametoka kuliwa tena ukihisi peku bado na wewe tena unapiga peku muda huo huo duh, kweli hainaga makombo hii😉🤔
Ushauri wangu hiyo kupima asubuhi na kwenda peku jioni eti sababu tu majibu ni negative, aisee you must be careful kuna kipindi kinaitwa "window period" kabla kipimo hakijaanza kuonesha kama mtu yuko +ve na ndiyo maana hospital tunaambiwa urudi tena baada ya 3 months, lisije likakupata jambo mkuu.
Kwakua mtoto ni mdogo mama lazima atajua. Swali, kuna mahali mama mtoto aliambiwa na baba mtoto kuwa waende wapime DNA ya huyo mtoto mama akaruka na kumbuka jamaa kahudumia mwanzomwisho toka mimba kutunga hadi mwaka umetimia, jamaa aliamua kumoveon na kumuacha je alikua sawa or? Natamani kujua mawazo yako kwenye hilikama story yako ina ukweli kwanini usimkubal mtoto na baada ya hapo ukafanye DNA test bila mama kujua na hapo utapata majibu juu ya huyo mtoto kuliko kumkataa moja kwa moja,,,,ila na nyie wanaume mna roho ngumu hivi unawezaje kuwa na mtu ambae unajua kabisa anapitiwa na kila aina ya kitu.
Jamaa alikua sawa.inawezekana pia mwanamke alijisikia vibaya kwanini mtoto akapimwe DNA kwamba huyu mwanaume haniamini kiasi hiki lakini nadhani ni bora zaidi kupata uhakika.Japokuwa mara nyingi Mungu huweka mkono wake kwenye mambo kama haya unakuta toto linatoka copy ya baba sasa ikiwa tofauti ni mhim kupata uhakika.Lakini suala la kumkataa mtoto moja kwa moja sio zuri.Kwakua mtoto ni mdogo mama lazima atajua. Swali, kuna mahali mama mtoto aliambiwa na baba mtoto kuwa waende wapime DNA ya huyo mtoto mama akaruka na kumbuka jamaa kahudumia mwanzomwisho toka mimba kutunga hadi mwaka umetimia, jamaa aliamua kumoveon na kumuacha je alikua sawa or? Natamani kujua mawazo yako kwenye hili
Nauhakika wewe unahitaji elimu ya UKIMWI hiyo uliyonayo ni kanyaboya.Anaejielewa kwenye UKIMWI na ndio maana siku ya kwanza niliomba kavu na akasema LAZIMA TUPIME.
Anajua umuhimu wa kupima.
#YNWA
More than ok.Jizazi! Bado upo JF we binti? Nina karibu mwaka sijakutia jichoni. I hope you are OK [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Nilisoma Science O'Level nikaenda PCB advance na Chuo Nilisoma Clinical officer mwaka mmoja then nikaona Chuoni sielewi (moyo unaongea huku sio kwako) nikaamua kusepa kwenda kusoma biashara. ( Si unajua familia zetu za kitanzania, baba na mama ndio wanakipangia cha kusoma bila kusikiliza moyo wako), THE REST IS HISTORY.Nauhakika wewe unahitaji elimu ya UKIMWI hiyo uliyonayo ni kanyaboya.
.....with no string attached.Mkiwa na ugwadu mnatafutana mkimalizana kila mtu na hamsini zake. 😜😜
Fuc* mate ni staili tu ya mapenzi ambayo unapenda game ya mtu ila huwezi kuwa nae.Ungempa tu elimu ya UKIMWI.
Imsaidie huyo fukc mate