My True Love Story: Dear Single Mother, huyo mtoto siyo wangu

My True Love Story: Dear Single Mother, huyo mtoto siyo wangu

Mtoto ni wako
Yaani Kati ya wotee waliopiga wakikutana njiani

Yaani Kati ya wotee waliopiga wakikutana Whatsapp, FB, BADOO ila mimi ndio jumba bovu limeniangukia..

Dah kweli DUNIA haina haki.....

#YNWA
 
Nyie wote mnafanana tabia.sasa wewe unaingia kwenye matatizo huku unajiona.unajifariji kwamba unapima ukimwi ukipata majibu negative asubuhi jioni anakuja kulala kwako.sijui kama ulikuwa unapima kila siku au ni siku hiyo hiyo tu.,na sijui kama unataarifa sahihi hata kidogo juu ya VVU.Tunaangamia kwa kukosa maarifa. Mungu mwenyewe atusaidie
Dear Sir/Madam;
YAH:- ACHA KUJIDANGANYA.
Dunia ya sasa haitamki nakupenda ikimaanisha uko pekee yako.
Jifanye wewe kuch kuch hotae uone dunia ikufundishe.
Men are after pussy.
Women are after money.

Huyo uliyenae mmoja na kujifariji na hupimi nae kila mara kuna sehemu huko anakula/analiwa vizuri tuu.

No TRUE LOVE, We hit and run.

Waliojifanya wanapenda fungua NYUZI zao humu uone wanavyolia.

Mr. Liverpool.

#YNWA
 
2018 Siku moja nilikua bored home, nikajiunga BADOO nikakutana nae.

Tukawa friends then Fuc* mates.

Maisha yakasonga, nilichompenda yeye alikua hapendi hela na ni mrembo kweliii.

Kwenye hela na matumizi yake yaani unajiongeza wewe, unapiga show siku kadhaa unalipia siku kadhaa na outing na vitu vyengine.

Akasema ananipenda ndio maana hawezi kuniomba hela "ila niki hack simu yake nakutana na wanaume kibaoo wanalilia punguzo la papuchi BADOO, WHATSAPP, FB MESSANGER na SMS ZA KAWAIDA"" na the worst thing Wengine WANAMLA.

Alivyokua analalamika ananipenda niliona kama ananichora tuu.

2020 mara kapata mimba, anasema mimba yangu.

Tukapiga hesabu (mtoto kazaliwa December/2020) ina maana mimba iliingia March/2020.

Ila mwezi huo March/2020, kuna siku alikuja ghetto asubuhi amechoka kumbe katoka kugawa usiku kucha, kaja kwangu kalala/kapumzika mpaka jioni na tukapiga show, usiku huo akaenda kulala na mwengine, alinidanganya hawezi kulala kwangu kwakua mama ake anaumwa (nilijua yotee baada ya ku hack siku yake - nilikua napenda sanaa ku hack simu yake, then was my fuc* mate no string attached..!!!)

Tuna desturi kila wiki kupima ukimwi (Nina vipimo ghetto napewaga na Mshkaji wangu Dk wa zahanati fulani hivi - sipendi Condom kwahiyo kila nikitaka kupiga mzigo lazima nipime ili niende peku, hii ni staili yangu kwa mademu woteee).

Nimeitwa kwao, kumbe ndugu zake wananijua (Mama + Dada zake wawili).
Ila sidhani kama wanajua kuwa ndugu yao anajiuza.

Nikaenda kuwasikiliza kipindi cha X-Mass Dec/2020.
Niliwasikiliza tuu nikaacha yotee hapohapo.
Sikutaka kuwahadithia alivyo ndugu yao maana sina mpango nae na huyo mtoto sio wangu.

Wanataka niende nikamkomboe mtoto, mdada kakomaa mtoto ni wangu ila SI WANGU MAANA TUMEPIGA WENGII MNOO.

BABA WA MTOTO NI MWANAUME YEYOTEE HII TANZANIA, Maana list la wanaume waliomla ni wengi sanaa na mimi nilikua namfanya Fuc* mate.

Sijui yeye kama alinipenda, ila "utampendaje mtu huku unagawa Mashine kwa wengine?"""

Nikiongea nae anasema..

1. Ananipenda kweli, na ndio maana hata kipindi tulivyokutana nilimpa hela siku ya kwanza tu ya biashara then ikawa buree siku zilizofata.

Anasema alinipenda tokea siku ya kwanza kuniona.

Siku ya kwanza kuonana, baada ya kuchat na kukubaliana bei tulikutaniana Zahanati tukapima UKIMWI (-ve) (ilikua asubuhi), na usiku akaja ghetto kulala mpaka asubuhi nikampa hela zake na kusepa.

2. Nikimkumbusha kuhusu wanaume waliomla anasema, ule ulikuwa utoto na sasa amekua then yupo tayari kuwa na mimi tu na kuwa mke wangu. Anasahau kuwa shetani ni shetani, yaani Nikuoe ukiwa mgawaji nikiamini UTABADILIKA..!!

3. Anasema mimba ilimtesa na kupoteza Kazi, anaomba kuja kwangu akae amlee mtoto kwakuwa mimi nina Kazi nimsaidie kulea, Yaani nilee mtoto wa mwanaume nisiye mjua.

Kwamba aje na mwanae then tuishi wote na mwanangu na familia ianze na watoto wawili.

4. Ndugu zake wananikomalia na kutangaza kuwa mimi sio mwanaume (nimetupa mtoto), nataka siku niwachane kuhusu umalaya wa mtoto wao ili waache kutangaza ujinga.

Mimi sina hiyana na kulea mtoto....

Mpaka sasa nina mtoto mmoja nalea.
Anasoma boarding darasa la kwanza.
Hivyo umefika wakati wa kutafuta mtoto wa pili.
Likizo tunakua wotee na huwa sitaki mwanamke yoyote atusogelee (maswala ya aunt sitaki nikiwa na mwanangu)..

NAMUHESHIMU SANAA MWANANGU na ndio MY BEST FRIEND.

Na nahitaji watoto wa nne, maana sina mpango wa kuoa kabisa, ila wa huyu siwezi kumkubali.
Awe tu single maza.

Mtoto wake ni wa mwanaume yeyote duniani huko.

Juzi kaniomba aniandike jina langu kwenye Cheti cha kuzaliwa cha mwanae (baba), nilichomwambia aende kwa baba ake ila sio mimi...

Huu ndio ukweli na NIMEAMUA KUTOONGEA YOTE ILI KULINDA HESHIMA YAKE.

Nina mengi moja lililonishangaza, nilikuta sms diwani anambembeleza akamle TIGO ili ampe pesa kubwaa akawa anakataa kwa machejo...
Kumuuliza "Unaliwa mpaka Tigo?"" Alinijibu ""Sio bana, huwa wananitongoza tu ila siwakubali""

Anataka nimuoe na kuahidi eti amebadilika, mmmh SIWEZI KABISAA na MTOTO SIO WANGU.

Dear Single Maza V Kama upo humu, Ni kweli nahitaji mtoto mpya ila HUYO MTOTO SIO WANGU...

Mpelekee baba ake and I bet is Mr. K, yule mliyekutana Club mkawa mnakulana. Hata kama ni mume wa mtu ila mwambie tu Una mtoto wake ila SIO WANGU.

#YNWA
Umepima dna?
 
Hapo ili kuondoa utata inabidi mpime DNA kwa sababu kavu ulipiga kweli so usikatae sana huenda sperms zako ndiyo zilikua na nguvu na kiherehere cha kurutubisha yai siku hiyo.ungetumia ndomu hizo doubts zisingekuwepo. Hivi inakuaje unajua kabisa mtu ametoka kuliwa tena ukihisi peku bado na wewe tena unapiga peku muda huo huo duh, kweli hainaga makombo hii[emoji6][emoji848]

Ushauri wangu hiyo kupima asubuhi na kwenda peku jioni eti sababu tu majibu ni negative, aisee you must be careful kuna kipindi kinaitwa "window period" kabla kipimo hakijaanza kuonesha kama mtu yuko +ve na ndiyo maana hospital tunaambiwa urudi tena baada ya 3 months, lisije likakupata jambo mkuu.
Sperm ili ziwe na kiherehere unatakiwa ufanyeje???
 
2018 Siku moja nilikua bored home, nikajiunga BADOO nikakutana nae.

Tukawa friends then Fuc* mates.

Maisha yakasonga, nilichompenda yeye alikua hapendi hela na ni mrembo kweliii.

Kwenye hela na matumizi yake yaani unajiongeza wewe, unapiga show siku kadhaa unalipia siku kadhaa na outing na vitu vyengine.

Akasema ananipenda ndio maana hawezi kuniomba hela "ila niki hack simu yake nakutana na wanaume kibaoo wanalilia punguzo la papuchi BADOO, WHATSAPP, FB MESSANGER na SMS ZA KAWAIDA"" na the worst thing Wengine WANAMLA.

Alivyokua analalamika ananipenda niliona kama ananichora tuu.

2020 mara kapata mimba, anasema mimba yangu.

Tukapiga hesabu (mtoto kazaliwa December/2020) ina maana mimba iliingia March/2020.

Ila mwezi huo March/2020, kuna siku alikuja ghetto asubuhi amechoka kumbe katoka kugawa usiku kucha, kaja kwangu kalala/kapumzika mpaka jioni na tukapiga show, usiku huo akaenda kulala na mwengine, alinidanganya hawezi kulala kwangu kwakua mama ake anaumwa (nilijua yotee baada ya ku hack siku yake - nilikua napenda sanaa ku hack simu yake, then was my fuc* mate no string attached..!!!)

Tuna desturi kila wiki kupima ukimwi (Nina vipimo ghetto napewaga na Mshkaji wangu Dk wa zahanati fulani hivi - sipendi Condom kwahiyo kila nikitaka kupiga mzigo lazima nipime ili niende peku, hii ni staili yangu kwa mademu woteee).

Nimeitwa kwao, kumbe ndugu zake wananijua (Mama + Dada zake wawili).
Ila sidhani kama wanajua kuwa ndugu yao anajiuza.

Nikaenda kuwasikiliza kipindi cha X-Mass Dec/2020.
Niliwasikiliza tuu nikaacha yotee hapohapo.
Sikutaka kuwahadithia alivyo ndugu yao maana sina mpango nae na huyo mtoto sio wangu.

Wanataka niende nikamkomboe mtoto, mdada kakomaa mtoto ni wangu ila SI WANGU MAANA TUMEPIGA WENGII MNOO.

BABA WA MTOTO NI MWANAUME YEYOTEE HII TANZANIA, Maana list la wanaume waliomla ni wengi sanaa na mimi nilikua namfanya Fuc* mate.

Sijui yeye kama alinipenda, ila "utampendaje mtu huku unagawa Mashine kwa wengine?"""

Nikiongea nae anasema..

1. Ananipenda kweli, na ndio maana hata kipindi tulivyokutana nilimpa hela siku ya kwanza tu ya biashara then ikawa buree siku zilizofata.

Anasema alinipenda tokea siku ya kwanza kuniona.

Siku ya kwanza kuonana, baada ya kuchat na kukubaliana bei tulikutaniana Zahanati tukapima UKIMWI (-ve) (ilikua asubuhi), na usiku akaja ghetto kulala mpaka asubuhi nikampa hela zake na kusepa.

2. Nikimkumbusha kuhusu wanaume waliomla anasema, ule ulikuwa utoto na sasa amekua then yupo tayari kuwa na mimi tu na kuwa mke wangu. Anasahau kuwa shetani ni shetani, yaani Nikuoe ukiwa mgawaji nikiamini UTABADILIKA..!!

3. Anasema mimba ilimtesa na kupoteza Kazi, anaomba kuja kwangu akae amlee mtoto kwakuwa mimi nina Kazi nimsaidie kulea, Yaani nilee mtoto wa mwanaume nisiye mjua.

Kwamba aje na mwanae then tuishi wote na mwanangu na familia ianze na watoto wawili.

4. Ndugu zake wananikomalia na kutangaza kuwa mimi sio mwanaume (nimetupa mtoto), nataka siku niwachane kuhusu umalaya wa mtoto wao ili waache kutangaza ujinga.

Mimi sina hiyana na kulea mtoto....

Mpaka sasa nina mtoto mmoja nalea.
Anasoma boarding darasa la kwanza.
Hivyo umefika wakati wa kutafuta mtoto wa pili.
Likizo tunakua wotee na huwa sitaki mwanamke yoyote atusogelee (maswala ya aunt sitaki nikiwa na mwanangu)..

NAMUHESHIMU SANAA MWANANGU na ndio MY BEST FRIEND.

Na nahitaji watoto wa nne, maana sina mpango wa kuoa kabisa, ila wa huyu siwezi kumkubali.
Awe tu single maza.

Mtoto wake ni wa mwanaume yeyote duniani huko.

Juzi kaniomba aniandike jina langu kwenye Cheti cha kuzaliwa cha mwanae (baba), nilichomwambia aende kwa baba ake ila sio mimi...

Huu ndio ukweli na NIMEAMUA KUTOONGEA YOTE ILI KULINDA HESHIMA YAKE.

Nina mengi moja lililonishangaza, nilikuta sms diwani anambembeleza akamle TIGO ili ampe pesa kubwaa akawa anakataa kwa machejo...
Kumuuliza "Unaliwa mpaka Tigo?"" Alinijibu ""Sio bana, huwa wananitongoza tu ila siwakubali""

Anataka nimuoe na kuahidi eti amebadilika, mmmh SIWEZI KABISAA na MTOTO SIO WANGU.

Dear Single Maza V Kama upo humu, Ni kweli nahitaji mtoto mpya ila HUYO MTOTO SIO WANGU...

Mpelekee baba ake and I bet is Mr. K, yule mliyekutana Club mkawa mnakulana. Hata kama ni mume wa mtu ila mwambie tu Una mtoto wake ila SIO WANGU.

#YNWA
Kitanda hakizai haramu
 
Mimi nina asilimia 98 % kuwa huyo mtoto ni wako Kwa sababu wewe ulikuwa unaenda peku Ila wenzio walikuwa wanatumia kondom.

Chakufanya nenda kapime DNA unaweza ukakataa damu yako hivi hivi yaani..
 
2018 Siku moja nilikua bored home, nikajiunga BADOO nikakutana nae.

Tukawa friends then Fuc* mates.

Maisha yakasonga, nilichompenda yeye alikua hapendi hela na ni mrembo kweliii.

Kwenye hela na matumizi yake yaani unajiongeza wewe, unapiga show siku kadhaa unalipia siku kadhaa na outing na vitu vyengine.

Akasema ananipenda ndio maana hawezi kuniomba hela "ila niki hack simu yake nakutana na wanaume kibaoo wanalilia punguzo la papuchi BADOO, WHATSAPP, FB MESSANGER na SMS ZA KAWAIDA"" na the worst thing Wengine WANAMLA.

Alivyokua analalamika ananipenda niliona kama ananichora tuu.

2020 mara kapata mimba, anasema mimba yangu.

Tukapiga hesabu (mtoto kazaliwa December/2020) ina maana mimba iliingia March/2020.

Ila mwezi huo March/2020, kuna siku alikuja ghetto asubuhi amechoka kumbe katoka kugawa usiku kucha, kaja kwangu kalala/kapumzika mpaka jioni na tukapiga show, usiku huo akaenda kulala na mwengine, alinidanganya hawezi kulala kwangu kwakua mama ake anaumwa (nilijua yotee baada ya ku hack siku yake - nilikua napenda sanaa ku hack simu yake, then was my fuc* mate no string attached..!!!)

Tuna desturi kila wiki kupima ukimwi (Nina vipimo ghetto napewaga na Mshkaji wangu Dk wa zahanati fulani hivi - sipendi Condom kwahiyo kila nikitaka kupiga mzigo lazima nipime ili niende peku, hii ni staili yangu kwa mademu woteee).

Nimeitwa kwao, kumbe ndugu zake wananijua (Mama + Dada zake wawili).
Ila sidhani kama wanajua kuwa ndugu yao anajiuza.

Nikaenda kuwasikiliza kipindi cha X-Mass Dec/2020.
Niliwasikiliza tuu nikaacha yotee hapohapo.
Sikutaka kuwahadithia alivyo ndugu yao maana sina mpango nae na huyo mtoto sio wangu.

Wanataka niende nikamkomboe mtoto, mdada kakomaa mtoto ni wangu ila SI WANGU MAANA TUMEPIGA WENGII MNOO.

BABA WA MTOTO NI MWANAUME YEYOTEE HII TANZANIA, Maana list la wanaume waliomla ni wengi sanaa na mimi nilikua namfanya Fuc* mate.

Sijui yeye kama alinipenda, ila "utampendaje mtu huku unagawa Mashine kwa wengine?"""

Nikiongea nae anasema..

1. Ananipenda kweli, na ndio maana hata kipindi tulivyokutana nilimpa hela siku ya kwanza tu ya biashara then ikawa buree siku zilizofata.

Anasema alinipenda tokea siku ya kwanza kuniona.

Siku ya kwanza kuonana, baada ya kuchat na kukubaliana bei tulikutaniana Zahanati tukapima UKIMWI (-ve) (ilikua asubuhi), na usiku akaja ghetto kulala mpaka asubuhi nikampa hela zake na kusepa.

2. Nikimkumbusha kuhusu wanaume waliomla anasema, ule ulikuwa utoto na sasa amekua then yupo tayari kuwa na mimi tu na kuwa mke wangu. Anasahau kuwa shetani ni shetani, yaani Nikuoe ukiwa mgawaji nikiamini UTABADILIKA..!!

3. Anasema mimba ilimtesa na kupoteza Kazi, anaomba kuja kwangu akae amlee mtoto kwakuwa mimi nina Kazi nimsaidie kulea, Yaani nilee mtoto wa mwanaume nisiye mjua.

Kwamba aje na mwanae then tuishi wote na mwanangu na familia ianze na watoto wawili.

4. Ndugu zake wananikomalia na kutangaza kuwa mimi sio mwanaume (nimetupa mtoto), nataka siku niwachane kuhusu umalaya wa mtoto wao ili waache kutangaza ujinga.

Mimi sina hiyana na kulea mtoto....

Mpaka sasa nina mtoto mmoja nalea.
Anasoma boarding darasa la kwanza.
Hivyo umefika wakati wa kutafuta mtoto wa pili.
Likizo tunakua wotee na huwa sitaki mwanamke yoyote atusogelee (maswala ya aunt sitaki nikiwa na mwanangu)..

NAMUHESHIMU SANAA MWANANGU na ndio MY BEST FRIEND.

Na nahitaji watoto wa nne, maana sina mpango wa kuoa kabisa, ila wa huyu siwezi kumkubali.
Awe tu single maza.

Mtoto wake ni wa mwanaume yeyote duniani huko.

Juzi kaniomba aniandike jina langu kwenye Cheti cha kuzaliwa cha mwanae (baba), nilichomwambia aende kwa baba ake ila sio mimi...

Huu ndio ukweli na NIMEAMUA KUTOONGEA YOTE ILI KULINDA HESHIMA YAKE.

Nina mengi moja lililonishangaza, nilikuta sms diwani anambembeleza akamle TIGO ili ampe pesa kubwaa akawa anakataa kwa machejo...
Kumuuliza "Unaliwa mpaka Tigo?"" Alinijibu ""Sio bana, huwa wananitongoza tu ila siwakubali""

Anataka nimuoe na kuahidi eti amebadilika, mmmh SIWEZI KABISAA na MTOTO SIO WANGU.

Dear Single Maza V Kama upo humu, Ni kweli nahitaji mtoto mpya ila HUYO MTOTO SIO WANGU...

Mpelekee baba ake and I bet is Mr. K, yule mliyekutana Club mkawa mnakulana. Hata kama ni mume wa mtu ila mwambie tu Una mtoto wake ila SIO WANGU.

#YNWA
Baada ya hii timu ya wakorofi wa England kuyumba na mashabiki wake wameyumba hivi?
 
Nauhakika wewe unahitaji elimu ya UKIMWI hiyo uliyonayo ni kanyaboya.

Demu wa badoo anamla kavu kavu kisa kapima na vipimo vya nyumbani?

Vipi kuhusu hepatitis b ama homa ya ini nayo anampima nyumbani?

Vipi kuhusu herpes na hepatitic C.

Elimu ya ngono zembe ni janga la taifa... watu wengi hawana
 
Back
Top Bottom