My True Love Story: Dear Single Mother, huyo mtoto siyo wangu


Hongera sana kwa kuwa na kipimo cha hepatitis b na c pia nyumbani..mpaka unakula mademu wa badoo kavu kavu
 
Mzee wa Liverpool chukua katoto hako ulee kanaweza kakawa steven gerrard n you will never walk alone
 
Unataka Watoto lakini huna mpango wa kuoa, huoni kwamba hicho ndicho chanjo cha Single Mother?
Ananizalia mtoto akifika miaka mi 4 ananiachia halafu anaendelea na maisha yake

Anakuaje single maza na mtoto anakua kwangu?

#YNWA
 
Pamoja na gazeti lako lote hilo.
Wewe hujipendi na hujali afya yako.
 
Pamoja na gazeti lako lote hilo.
Wewe hujipendi na hujali afya yako.
Kwamba kuwa na mwanamke mmoja ndio kujipenda?
Huyo huyo mmoja unamwamini na kukiona unajuaaa NDIO ANAEKUUA.

#YNWA
 
Tupo wengi mkuu,Ila take it easy
 
Kwamba unapima VIRUSI kabla ya kula, vile demu analiwa na wengi... ukadhani ni ujanja?

Unafikiri virusi vikiingia kwake leo, vitasubiri hadi uvipime kabla havijakuvagaa!!

Una ujinga mwingi sana kwenye hizi simulizi zako za kusadikika.
 
Mzee wa liver ata mala** wanapenda usingoje mtoto atoke copyright na wew ndio uamin kua huyo mtoto ni wako, u still have time.
 
Probability ya kuwa mtoto ni wako ni 65% sio wako ni 35%.

- umelala nae pekupeku, kumbuka tone moja tu la manii linatosha kuweka mimba. Kuwa na wanaume wengine haimanishi, mimba sio yako.

- mmepima ukimwi, hii inafanya awe anakupa peku kwako kwa wengine labda anatumia kinga. Ni nadra kwa wanunuzi wa mara mojamoja kuwapa kavu, labda awe amekata tamaa.

- umempeleka kwako, kwa mwanamke mwenye kujiuza, ina maana ana hali ngumu, ameona njia pekee ya kukupata ajinasue na magumu ni kushika mimba yako, maana kwako anapajua na ameshakusoma huna dame, kwahivo kategesha.

Kujiridhisha, pima DNA kupata ukweli lasivyo utakuwa unakimbia mtoto tu, odds nyingi zinaonyesha ni wako.
 
Mleta mada unashida kubwa,wewe ni mzembe na hukubali changamoto zinazotokana na uzembe wako. Unawezaje kwenda pekupeku na malaya? Bora umepata mtoto ingekuwa ukimwi je?. Unakataa mtoto lakini unakubali tarehe alizopata mimba ulitembea nae, alafu unaleta blah blah! Sijui malaya,alienda na nani huko acha kujitetea chukua mwanao.

Nakushauri acha kuwapima wanawake tumia condom. Siku unayompima ndio siku aliyopata ukimwi huko,vipimo haviwezi kuonyesha +ve,na wewe atakupatia tu.
 
Usipige kavu Tena kijana unaweza usiwe HIV ukapewa Kaswende au UTI sugu
 
am so sorry niga kusema haya
Hauna maturity ya kiume Mwili wako bado unapevuka.
How come unasex na mtu unayemtambua kama malaya bila ndomu how....???
Eti unamkomoa, tangia lini mwanamke usiyemjua ukamkomoa when how and why

Now unakimbia kivuli chako( mtoto) umeogopa hata kupima DNA.
I think you should stand and face your mistake
Wanaume tujifunze jamani sex is not everything
 
am so sorry niga kusema haya
Hauna maturity ya kiume Mwili wako bado unapevuka.
Sex is one of the human BASIC NEEDS.
How come unasex na mtu unayemtambua kama malaya bila ndomu how....???
Ni kawaida kwa malaya.
Kavu high price and Ndom low price.
Inategemea mteja anataka nini, na mimi nilikua mteja tu.
Eti unamkomoa, tangia lini mwanamke usiyemjua ukamkomoa when how and why
Sijaongea kuhusu kukomoa.
Alikua ananipa huduma.

Hujui huduma za malay*??
Kama hujawahi tomb* malay* moto (wanaojiuza direct), basii umetomba malaya baridi (wanaojiuza indirect).

Usikariri malaya lazima asimame barabarani, hata yule wa hapo ofisini ambae hulali nae bila kumpa pesa then is business.
Now unakimbia kivuli chako( mtoto) umeogopa hata kupima DNA.
I think you should stand and face your mistake
Sio wangu...
Ni malaya, huo mwezi march unajua wangapi wamepiga kavu?

Mi sio wale wanaokubali kulea watoto wasio wao eti kisa "kitanda HAKIZAI HARAMU""

Ni upuuzi.
Wanaume tujifunze jamani sex is not everything
Sex ni starehe kwa mwanaume.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…