My True Love Story: Dear Single Mother, huyo mtoto siyo wangu

Umemalizia vizuri...starehe ya mwanaume ni kusasambua mbususu. Hizo starehe zingine hazikamiliki bila hii. Lakini sex inaweza simama yenyewe bila hizo zingine.
 
Mleta mada unashida kubwa,wewe ni mzembe na hukubali changamoto zinazotokana na uzembe wako.
Sijakataa changamoto zozote, ila mi sio wale wakulea watoto wa watu kisa kitanda HAKIZAI HARAMU.
Unawezajejejejeje kwenda pekupeku na malaya? Bora umepata mtoto ingekuwa ukimwi je?.
Kwenda kavu kwa malaya ni kawaida.
Au hujawahi kununua.
Kavu high price and Ndom low price.

Na usiniambie hujawahi...!! malaya si lazima ukanunue Ohio, hata wale wa ofisini ambao bila kumpa hela upati utamu, wale wenye Kazi ambao ili muingie kitandani lazima utoe pesa ni malaya.

Unakataa mtoto lakini unakubali tarehe alizopata mimba ulitembea nae, alafu unaleta blah blah! Sijui malaya,alienda na nani huko acha kujitetea chukua mwanao.
Ni malaya.
Huwa Wana bei za kavu na za Ndom.
Unajua wangapi walipiga kavu..

Kama utaona nilikwambia "ali lala na sisi wa3 kwa siku mbili"
Night (1)- Day (2 - me) - Night (3)

Unajua kwamba usiku wotee walitumia Ndom?

Nakushauri acha kuwapima wanawake tumia condom. Siku unayompima ndio siku aliyopata ukimwi huko,vipimo haviwezi kuonyesha +ve,na wewe atakupatia tu.
Asante kwa ushauri ila kupima ni muhimu na Ndom SIO TAMU.

#YNWA
 
Poa poa shine like a star
 
Yupo humu??
Sijuagi maisha yake.
Ila anapenda social media maana hata kukutana tumekutana social media.

Ila nachomwambia tumetomb* wengi KWANINI ANISINGIZIE MIMI, Kaona nini kwangu?

Ampelekee baba mtoto ake ila SIO MIMI.

#YNWA
 
Kwani wote mlipiga peku? Kama hujui jibu la hilo swali basi yote yanawezekana.
Yani hapo jibu utalipata kwa DNA tu ndio utajua mbivu na mbichi.
Faza huyu alikua anajiuza.
Ni malaya* baridi japo hajijui kuwa yeye ni malay*.
Anachojua yeye malay* ni lazima asimame barabarani.
Anachosahau yeye, hata yeye ili ulale nae lazima umpe hela, then ni malay* kama wale, tofauti location tu.

Watu walikua wanapanda bei kula papuchi, unajua wangapi wamepiga kavu?

Halafu Kati ya sperm zotee alizomwagiwa mimi ndio nikapime DNA?

Sijazaa nae.
We did a business and it was over.

#YNWA
 
Kama huna VVU basi ni Mungu tu kawaepusha wewe na mpenzi wako na sio vipimo...
Ukimwi sio rahisi hivyo...
Na chakutambua malaya wapo wengi.

Si lazima wasimame barabarani ndio wawe malaya.

Hata yule mdada wa ofisini ambae halali na mwanaume bila pesa huyo ni MALAY*

#YNWA
 
Ulipo
Ulipo hack simu yake na kuona anagongwa na wengi then ukaendelea maanake ulikuwa tayari kulea damu ya yeyote miongoni mwenu itakayorutubisha. Sasa leo unakataa ndio maana tunasema maelezo yako ni uongo
Alijifanya malaya then nikamchora.
Malaya sio lazima mkutane danguro.

Hata yule dada wa kanisani/msikitini ambae ili alale na mwanaume lazima apewe hela ni malay* tu kama wale wa barabarani, utofauti location.

Na trust me DUNIA ya sasa isikusumbue,
Akijifanya ye malaya anakuchanganya na wengine na wewe mfanye tu malaya.
Tomb* sepa, NO STRINGS ATTACHED.

#YNWA
 
Yani unakula malaya peku peku kwa kujifariji unapima kila siku? Ulikuwa unatumia kipimo gani? Hahaha

Sidhani kama ulikuwa unajipima vyema halafu linapokuja swala la malaya wa kupindukia kama uliyemueleza hata kama unapima una moyo sana kwenda kavu aiseee..

Sasa una mkataaje mtoto wakati ulikuwa unalala na mama yake peku peku?

Hivi wewe umesoma vizuri ulicho kiandika? Acha kujifariji chukua huyo mtoto ni wako!
 
Pamoja na gazeti lako lote hilo.
Wewe hujipendi na hujali afya yako.

Hahaha hata siamini kama aliandika haya akiwa hajalewa eti tuna pima ndi namkula hahahaahaha

Shida ya jamaa ni ujuaji.....
Hii njia ya kupima na kufanya imewaponza wengi na wengi imewapa majibu negative hakuna anayetumia njia hiyo akapata majibu ya kweli hahahah

Huyu jamaa ni aina ya watu wenye akili fupi sana
 
Hahaha hata siamini kama aliandika haya akiwa hajalewa eti tuna pima ndi namkula hahahaahaha
Kwahiyo wewe una wala tu bila kupima?
Au ndio unatumia Condom?

Kwangu CONDOM SIO TAMU KABISAA.

Nataka ni feel lile joto.
Shida ya jamaa ni ujuaji.....
Wewe sasa ndio mjuaji na maisha yangu.
Maana hii njia mi nimeanza kuitumia 2014.

Maana mi katika kitu ambacho huwa siwezi Fanya ni KUMUAMINI MWANAMKE.

We jifanye unawaamini wakuibie.

Hii njia ya kupima na kufanya imewaponza wengi na wengi imewapa majibu negative hakuna anayetumia njia hiyo akapata majibu ya kweli hahahah

Huyu jamaa ni aina ya watu wenye akili fupi sana
Tombaaa weweee
Achana na akili zangu.

Hii ni njia yangu mimil, Ila wewe achana nayo we wapelekee moto.

Usipo wapelekea watampelekea wako.

Hivi unajua demu wako leo katongozwa na wangapi na ana plan kuwapelekea uchi wangapi?

Endelea tu kumwamini.

Jifanye mtakatifu sisi tunamtifua.

#YNWA
 
Yani unakula malaya peku peku kwa kujifariji unapima kila siku? Ulikuwa unatumia kipimo gani? Hahaha
Vipimo vile kama maralia.
Mimi yaani mke wa mtu, demu wa chuo yaani yoyotee ili nimtomb* lazima kaanza NIPIME.
Maana condom unanifanya nisi feel like joto.
Sidhani kama ulikuwa unajipima vyema halafu linapokuja swala la malaya wa kupindukia kama uliyemueleza hata kama unapima una moyo sana kwenda kavu aiseee..
Usichokijua hata hao unaolala nao ni malaya.
Ulichokariri "malaya lazima atokee barabarani anawimda wateja"

Kuna malaya moto na malaya baridi.
TAKE CARE.

Sasa una mkataaje mtoto wakati ulikuwa unalala na mama yake peku peku?
Mwanaume mwenye wanaume zaidi ya mmoja huyo ni malaya.
Atokee barabarani, kanisani, msikitini, ofisini yaani kokotee.

Mwanamke yule ambae huwezi kumla bila kumpa hela huyo ni malaya.

Kwahiyo desturi ya malaya ni kulala na wanaume wengi, then mtoto huyo ana wababa wengi.

Hivi wewe umesoma vizuri ulicho kiandika? Acha kujifariji chukua huyo mtoto ni wako!
SIO WANGU.

#YNWA
 
Ukisoma vizuri tulikula wa3 siku mbili mfululizo night (1) - day (2 - Me) - night (3).
Huo ndio mwezi mimba iliingia.
Kwanini shahawa yangu ndio i-ferilize na sio wale wengine?
#YNWA
Liverpool VPN km mtoto (Binti) yupo maana keshazaliwa nakuomba mkapime DNA
 
Ulikula peku halafu unakataa mtoto? Kwani si mlikutana badoo au nimeelewa vibaya? Wewe na yeye ni kama kopo na mfuniko wake....mtchweee
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ukisoma vizuri tulikula wa3 siku mbili mfululizo night (1) - day (2 - Me) - night (3).

Huo ndio mwezi mimba iliingia.

Kwanini shahawa yangu ndio i-ferilize na sio wale wengine?

#YNWA

Shida ni wewe mkuu. Ulishajua mpo wengi na ukaendelea kulala nae bila condom only ukijikinga na ukimwi kwa kupima.Vipi kuhusu mimba hukuwahi kufikiria kua kuna siku atapata?
 
huna evidence ya kukataa mtoto...unaweza ukawa unakata kilicho chako...

siku zote mama humjua baba wa mtoto.

it seems huna mpango wa kuwa na mwanamke for future..so yawezekana wewe ni mvurugaji tu...ila hao wanawake unaowavuruga ni watoto wa wanaume wenzako..

jinsi unavyompenda mwanao na hutaki mabaya yamkute..hiyo ni ndoto ya kila mzazi...machozi na laana ya unaowaumiza itarudi kwa kizazi chako..watch out my dear

yaezekana huyo dada hapendi kuishi vile anaishi..si ajabu akipewa chance anatulia..


wewe tumesikia upande wako lakini yaeza kua hata wewe ni malaya..utamuona yupo yupo ila anakusoma..na amekuona huna mpango nae..so hana namna anaendelea maisha yake..

nahisi ungekua umenyooka ungeshapima DNA.ungeshamkalisha ukamueleza mapungufu yake..hata kama huna mpango nae..ungeshamueleza angekua anajua nafasi yake kwako.


jamani wanawake tunaongoza nchi mjue..kaeni kwa kutulia
 
Ushaur usije rudia kupiga kavu demu anayejiuza na hata hawa wa mtaan wenye njaa kali ,jizoeze kutumia condom .
Hata mm mwanzon nilikuwa sipend kutumia condom ila niliponea chup chup kwa manz fulan kupata ngoma ya wazwaz ,kilichoniokoa na dompo .

Demu alikuwa mbichi kabisa yaan hawa hawa plate no D mwanzon nikawa namla na kondom nilimla kama mara sita na kondom ,sasa ilifika chrismas akaja kwangu kunipikia nikajiapiza leo situmii condom lazima nimle peku peku maana yule bint alikuwa na kishuzu cha haja kifuan usiseme nikajipa matumain kuwa lazima nimle kavu.

Pia kumbuka alikuwa hajatumika kiivo yaan mtoto alikuwa mbichi na ubichi wake ,sasa alipofika geto akaanza kupika ,mimi nikatoka nikaenda super market nikavuta dompo na juice yake nikarud mageton ,akapika tukala ,nikaenda kuoga nikarud kwa ajil ya kaz moja tu kupiga mashine maana nilimpania vibaya mno .
Nilivyotoka kuoga nae akaenda kuoaga basi mm nikaanza kunywa dompo langu ,huku na huku nikafakamia dompo lengo nimpige mashine sana ,sasa nikamwita kitamdan akaja nikatulia story za hapa na pale usingiz ukanibana na kuzinzia jumla kuja kushtuka saa nne usiku na demu kasepa .

Kumbe kaniamsha sana lakin nikawa nimezidiwa ,nililaum sana ile siku nikampigia kwa hasira ndo kunipa maelezo kuwa kaniamsha sana lakin sijaaamka.
Ngoja nikate tu story maana ni ndefu sana ila kumbe yule binti alikuwa amezaliwa na ngoma nilikuja jua baada ya siku kama mbil mbele baada chrismas ,aiseee ikabid nimuite yule bint moja kwa moja zahanat ,akawa ana hof kwann tunaenda zahanat nikamwambia we twende tu kupima ngoma ikaja nzima nzima bila chenga aiseee .

Ilikuwa 2017 hiyo saiz huyo bint amezalishwa na wadau na kaisha balaa yaan ngoma ndio imeonekana waz baada ya kuzaa ,ila tokea hapo sili demu bila condom imefika muda saiz naona kawaida tu kutumia condom .
Alaf hivyo vipimo usiviamin sana labda vile vya pembe tatu ndio vinaweza kuonyesha ngoma hata kama mtu ameopata asubuh na hivyo vipimo havipatikan hovyo maana vinatumika kwa watu ambao ni complicated kwenye majibu ya vipimo vyao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…