Myahudi awapiga risasi wayahudi wenzie huko miami akidhani ni wapalestina

Mbwa Kala mbwa nguruwe Kala kitoto alichozaaa nyambafu..
 
Ukimuangalia tu unaona kabisa dishi limeyumba.
Cc The Mongolian Savage
 
Wazayuni wa kimara temboni 😂😂😂😂🙌
 
hapa walokole hutawakuta
Wa Nini Hawa?, na wewe wa Nini pia?
bebeni vifuani mizigo michache hasa ya kwenye jamii zenu, acheni kuvutiwa to be a dieing proxy wa mijitu mingine ambayo mpaka kufa kwako unaisikiaga tu, hutapata hata neno "thanks" from them.
 
Hii habari ingekuwa imefanywa na mwarabu .. wamaghsrib wote wangeshaakutoa matamko
 
Wa Nini Hawa?, na wewe wa Nini pia?
bebeni vifuani mizigo michache hasa ya kwenye jamii zenu, acheni kuvutiwa to be a dieing proxy wa mijitu mingine ambayo mpaka kufa kwako unaisikiaga tu, hutapata hata neno "thanks" from them.
Acha makasiriko
 
kuna arab jews wapo wengi tu Israel, Eli Cohen mwenyewe alikuwa arab jew, ukimuweka na waarabu huwezi tambua ni myahudi, lakini ndio hivyo alikuwa Mossad...
Hao tofauti zao ni misimamo, siasa, dini na imani lakini si muonekano, ni kama Africa weusi kwa weusi wanauana kisa siasa na dini...
 
Wauane tu, tunataka wapungue
 
Usichanganye mada Eli Cohen alikuwa Muyahudi ingawaje alizaliwa misri hata baba yake naye alikuwa Muyahudi ingawaje alitokea Allepo huko Syria. Myahudi ni Muyahudi tu hata kama atatokea ulaya au Marekani . Mara nyingi sana wayahudi hawachangamani ovyo ovyo na waarabu na ni rahisi sana kama unawajua kuwatofautisha waarabu wanajulikana na wayahudi wanajulikana vizuri labda kwa asiyewajua!!
 
Acha ujuaji kiongozi na ukubali kujifunza, wewe upo Africa huku lini uliwaona ukafahamu kuwatofautisha? hahahh, wenzako wanashindwa kutambuana halafu wewe kutoka nchi ya ulimwengu wa tatu umejua kuwatofautisha...

Eli Cohen alikuwa ni arab jew, au kasome Mizrahi Jews hawana tofauti na arabs kuanzia muonekano n.k utawatofautisha katika majina, dini na lafudhi, lakini kimuonekano hawana tofauti hao Mizrahi jews na waarabu na wapo wengi tu Israel...

We unafikiri Mossad walikuwa wajinga kumtumia Eli Cohen Syria?



Ujuaji ukizidi unaonekana mweupe..
 
Utazunguka sana lakini ukweli utabaki palepale waarabu na wayahudi wanafahamika vizuri sana kwa huku ni sawa na Watusi na wahutu. Wewe wayahudi unawajua kwa kusoma na ku- GUGU tu ninaye kuambia ninawafahamu nakushangaa unaposhupaza fuvu.
 
Unabishana na saa mbovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…