Myanmar: Jeshi laongeza Muda wa Hali ya Hatari Hadi 2023

Myanmar: Jeshi laongeza Muda wa Hali ya Hatari Hadi 2023

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
1659341858304.png

Kiongozi wa Kijeshi wa Nchi hiyo, Min Aung Hlaing ameongeza muda wa hali ya hatari kwa Miezi 6 baada ya Baraza la Ulinzi na Usalama la Kijeshi kuunga mkono kwa kauli moja huku akisema kukosekana kwa utulivu kwa kumekwamisha juhudi za kutekeleza mpango wa amani

Jeshi lilitangaza hali ya hatari kwa mara ya kwanza baada ya kuchukua mamlaka kutoka kwa Serikali iliyochaguliwa katika mapinduzi ya Februari 2021

Tokea wakati huo nchi hiyo imekuwa katika machafuko huku ghasia zikienea kutokana na Jeshi kukandamiza maandamano ya amani ya kupinga Utawala wao
---

The head of Myanmar's junta on Monday blamed instability for stalling efforts to implement a peace plan agreed with other Southeast Asian countries as he extended emergency rule for another six months. The junta first declared a state of emergency after seizing power from the elected government of Aung San Suu Kyi in a coup in February last year.

Myanmar has been in chaos since then, with conflict spreading after the army crushed mostly peaceful protests in towns and cities. Junta leader Min Aung Hlaing said in a speech aired on state media that Myanmar had been striving to overcome the challenges of the coronavirus pandemic while facing internal violence.


"So it was difficult to implement the ASEAN consensus due to the lack of stability," said Min Aung Hlaing, adding that only when the situation was "normal" could progress be made. Western governments denounced the coup and the detention on various charges of Nobel laureate Suu Kyi and numerous members of her party and supporters.

Source: Reuters
 
Naona utawala wa kijeshi ni afadhali
Kuliko ule utawala wa yule mwanamke muuwaji, dikteta mlaji nyama na mnywaji damu za watu,
Naunga mkono waongeze hata miaka sita wacha miezi sita
 
Back
Top Bottom