MZAHA: Mtoto Tiffah aonesha uwezo mkubwa darasani, aanza kufanya hisabati za Std 3

MZAHA: Mtoto Tiffah aonesha uwezo mkubwa darasani, aanza kufanya hisabati za Std 3

Baada ya shule za South Africa kufunga , Tanzania sweetheart Tiffah Dangote amefanya vizuri katika mitihani yake ya mwisho. Katika Darasa la Tiffah lenye wanafunzi 43 kutoka mataifa 41 mtoto huyo amekuwa wa kwanza huku akipata GPA ya kufa mtu.

Mkuu wa shule hiyo bw Motseshe Machaka amedai tokea shule hiyo kuanzishwa Kipindi cha ubaguzi wa rangi Tiffah amekuwa mwanafunzi wa kwanza kufanya maajabu hayo.

Baada ya taarifa hizo kufika Madale Simba hakuamini kabisa ambapo ilibidi kusafiri hadi South ambapo mtoto wake mbele ya wanafunzi na walimu alifanya hesabu za darasa la ltatu bila ugumu wowote,ambapo walimu wake wamemshauri kumrusha darasa.

Simba ambaye yuko South kwa ajili ya kuchukua matokeo ya Tiffah amejikuta. ameongeza muda kidogo wa kukaa huko baada ya Zari kupata uchungu wa ghafla.

Wakati hayo yakiendelea South, watoto wa msanii namba mbili nchini wameendelea kusuasua darasani ambapo baba yao amedai wakiendelea kuchezea elimu basi itakuwa mwisho kuwalipia ada mwakani.
kweli unasaga sumu watoto 43 kutoka mataifa 41 yaani umetudanganya kila sentensi
 
Una matatzo ww cy bure,huyo Tiffeh anamiaka mingapi hadi afanye hesabu darasa LA 3?
 
Watu headline hawasomi wanakimbilia kutukana...tusiwe wavivu soma kitu ukielewe hayo yote kaandika vichekesho.
Ndio kawaida yetu sie wabongo tunasoma Tu ila hatufikirihi na kutafakar japo hata kidgo tunachokisoma....MTU hajui utani unakuwaje NA issue serious inakuwaje....Yaan kwake yy kwake rangi zote ni nyekundu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahaha msaga sumu.asee we jamaa
 
post za msagasumu,Hance Mtanashati,warumi, na Lukelo sakafu ni burudani sana
 
Subutuuuu[emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji23]
 
Ngoja nicheke kwanza [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatakama ni mambo ya uteam muwe munaangalia na vitu vya kutundanya miaka miwili na hesabu za darasa la tatu wapi na wapi ...ua ndo kutandikia watu jamvi ..?
 
Dah ila hawa wanagegedana sana, toto langu na mama chanja kubwa kuzidi tiffah mpaka sasa hatujaona kama busara kumpa dogo lake, wao tayari kile kitiffah kina mdogo wake,
 
Hahahahaha msaga sumu eti GPA ya kufa mtu mdio ipi hiyo
 
Back
Top Bottom