Mzalendo wa nchi yetu ajitokeza na kuwakemea CHADEMA

Mzalendo wa nchi yetu ajitokeza na kuwakemea CHADEMA

Elitwege

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5,294
Reaction score
10,970
Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.
IMG_20190824_215408.jpeg
 
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
 
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.

Waliosababisha deni si chadema ni nyie ccm sababu ya mkurupuko wa kuvunja mikataba.Kwann majanga yenu mhuzunike na wote.
 
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.

Tunao mawakili wengi wa serikali ambao ni wazuri, wataenda kumaliza kazi yote, kuna wengine 15 tuliwaona juzi kwenye kesi ya mtu mmoja tu, I think wao wakienda na huko ndege yetu inarudi tu
 
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.

Hizo ndege ni za rais na ccm, hakuna anayejua zimenunuliwa kwa njia gani na bei gani. Na uendeshaji wake hauko wazi watu kuweza kujua kama zinaendeshwa kwa faida au hasara. Hizo ndege huitwa za rais na sio za wananchi. Msitake kuwatumia wananchi kwenye utetezi wa hilo deni ambalo halifahamiki lilipatikanaje. Siku huyo Lissu akishika serekali anapaswa kujua hayo madeni yalipatikanaje, kama kuna watu waliyasababisha kizembe itakula kwao na sio kulindana kijinga. Sio kila mtu anajivunia hizo ndege maana , zinatumika kuhalalisha ukandamizaji wa kiitikadi.
 
Waliosababisha deni si chadema ni nyie ccm sababu ya mkurupuko wa kuvunja mikataba.Kwann majanga yenu mhuzunike na wote.

Hawa watu wanastahili kuwaita majina yote mabaya zaidi ya wajinga.
Kila jambo baya linalotokea ukichunguza tayari walishaonywa sana na wabunge wa upinzani lakini wanaishia kuwakebehi na kusemea sio wazalendo.
Sasa hapo Kubenea kumbe deni hili alilisemea na hatari ya ndege kuja kushikwa lakini akapuuzwa!
Sasa kama sio upumbavu ni nini? Hawa tuwatoe madarakani hata kama ni kwa nguvu kisha waburuzwe mahakamani wote. Marabuk!
 
Hizo ndege ni za rais na ccm, hakuna anayejua zimenunuliwa kwa njia gani na bei gani. Na uendeshaji wake hauko wazi watu kuweza kujua kama zinaendeshwa kwa faida au hasara. Hizo ndege huitwa za rais na sio za wananchi. Msitake kuwatumia wananchi kwenye utetezi wa hilo deni ambalo halifahamiki lilipatikanaje. Siku huyo Lissu akishika serekali anapaswa kujua hayo madeni yalipatikanaje, kama kuna watu waliyasababisha kizembe itakula kwao na sio kulindana kijinga. Sio kila mtu anajivunia hizo ndege maana , zinatumika kuhalalisha ukandamizaji wa kiitikadi.
Ngoja tusubiri akistaafu tuone zitapaki chato???
 
Tunao mawakili wengi wa serikali ambao ni wazuri, wataenda kumaliza kazi yote, kuna wengine 15 tuliwaona juzi kwenye kesi ya mtu mmoja tu, I think wao wakienda na huko ndege yetu inarudi tu

watume angalau mawakili 3000 wakakomboe ndege iliyonunuliwa kwa fedha za ndani.

mawakili 1200 wa ccm=kibatala
mawakili 2400 wa ccm=lisu
 
Back
Top Bottom