Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Nani kasababisha Ndege kuzuiliwa ?Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Hapa kazi Tu !Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Labda nikutoe wasiwasi , Unachokiita uzalendo katika nchi yenu umeharibiwa na awamu ya 5 na nakuhakikishia kwamba kwa unyama uliotendwa na awamu hii uzalendo hautarudi tena mpaka ccm ing'olewe , tumefanya utafiti wa kutosha mno.Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Hii kaliMkicheka mnacheka wenyewe, ila mkilia mnataka tulie wote.
Pambana na hali yenu.
Mkirindi,
..hilo deni limesababishwa na serekali za ccm.
..badala ya kuadhibu wana-ccm waliosababisha deni hilo mnaandama wapinzani.
Sio madeni tyuu atarithi na mafanikio yote...Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Mimi binafsi natamani hata zisiwake sio kukamatwa tuuHii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Lissu akiwa raisi mtalipa ninyi hayo madeniNyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Kwani nyumbu si huyo baba yenu jinga la taifa??Kwa sababu unyumbu umewajaa kichwani
Akili matope kweli. Manlikoroga halafu mnatolea ushuzi wenu kwa watu wengine? Walioko Ubelgiji ndio wametoa amri ya kukamatwa ndegè? Bure kabisa. Lipeni madeni ya watu muache kulia lia.Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Kwahiyo hapo tatizo ni TL au deni? Kwanini msilipe madeni mnayodaiwa?Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Ni suala la utawala wa sheria tu Kaka. Rama hayuko juu ya sheria na wala hakuna anayeingilia mhimili mwingine.Ramafosa kumbe ni balaa yani zile sifa na mbwembwe zote za kutupamba ilikuwa ni chambo tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]