Mzalendo wa nchi yetu ajitokeza na kuwakemea CHADEMA

Mzalendo wa nchi yetu ajitokeza na kuwakemea CHADEMA

Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Tatizo lako Mkuu jambo lolote baya likitokea hapa nchini, wewe huliusisha na CDM, BAVICHA ama Tundu Lissu. Na pia lolote zuri likitokea huliambatanisha na CCM ama Mh. Magufuli. Na hapo unakuwa ndiyo hitimisho kwako.

Si mbaya kuwa "biased' ama kuwa na "prejudices" lkn ni lazima ujipe muda kuchimba zaidi "facts" na kuzimwaga hapa jamvini kwa uelewa zaidi. Sasa, wewe ukiokota kipande cha habari popote pale ulipopata huishia tu kusema wanafuria mabaya.

Nahisi kijiwe chako ama maskani yako ni unakutaba masela na wahuni waliodatishwa na maisha ya Uswazi, na wewe ndiye ambaye unsonekana pekee kipanga mwenye nondo kichwani. Kwa hiyo masela wakiku "challenge" unawamaindi kutokana na msimamo wako wa kiitikadi na unawahisi kuwa ni CDM.

Sasa,kama hicho ndicho chanzo chako kikuu cha habari si lazima kuja kila mara na kuzitupia huku. Kuleta swaga huku ni kulishushia jukwaa hili heshima. Ndiyo! CDM kuna mambo hayapo vyema, na yenye kuhitaji kurekebishwa. Jenga hoja, njoo na "references & factual statements". Mbona tutakupa shavu tu? Ebu jitafakari Mkuu. Samahani sana lakini.
 
Hyo ndege mliponunua si mlitamba ni Mali ya serikali ya CCM.
Leo imekamatwa imekuwa ndege ya WATANZANIA.
msiwe wepesi wa kusahau .
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
 
nanyie amjui huyu lissu mnaeshngilia kupigwa Risasi siku atakuwa raisi na atakuja kulipa haya made ni. ...uzalendo huwa unategemea na serikali iliopo madarakani au chama.huu ni uringo wa siasa ww ukandamize wenzioo afu wawe eti wazalendo hahaha sasa kwani ndege ndio nchi wangeshangilia Ardhi yetu kuchukuliwa sawa ila sio mndege
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
 
Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Siasa ni mahusiano sasa walivyosema bungeni tuangalie kesi ndege zetu zitachukuliwa walichekwa sasa yametokea yale waliyokuwa wanasema. Vilevile mnatakiwa kumlaumu Raisi kwa kuwa na uhusiano mbaya na wapinzani hiwezi kumfunga mtu bila kosa halafu eti kesho aanze kukushangilia, haiwezekani mwenzao akapigwa risasi na kuchukuliwa ubunge eti leo wakawa vinara wa kushangilia au wakazuiwa kufanya mikutano leo ndiyo waanze kuonekena vyombo vya nje haya yote ni uongozi na uhusiano angalieni mbowe alivyofanyiwa visa hajawahi hata kuongea na raisi kuhusu siasa kwa miaka minne. Huwezi kuwahitaji pale tu unapotaka. Uzalendo ni maono yako binafsi ni vitendo sio kuongea. Sasa tumefikiwa wakati mbunge anapigwa risasi akiwa bungeni kutetea wananchi wake na kuwawakilisha halafu eti yeye si mzalendo wazalendo ni hawa watu wa kwenye mitandao au wapenda sifa nenda kaulize mtu aliyepigwa risasi hata moja anajisikiaje au aliyekaa hospitali mwaka ni rahisi sana kukaa pembeni na kukosoa
 


Kitugani hapa si cha kizalendo? Usikoona point hapa ujue tatizo ni wewe na watu type hiyo ndiyo tatizo na sio upinzani
 
Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Hivi anaye shangilia ndege kukamatwa na anaye shangilia RAIA kupigwa risasi,RAIA kutekwa,RAIA kubambikiwa kesi zisizo na kichwa wala mkia,kati ya hao ni Nani anafanya mambo ya kishetani? TUSIRUHUSU DHAMIRI ZETU KUFA KIENYEJI.
 
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Huna akili wewe......tusilazimishane uzalendo. Stupid
 
Ukiona matusi ujue hoja zimeisha,na hoja zikiisha mnakimbilia kutumia risasi walizo nunua kwa kodi zetu
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
 
Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315

Dini zote zinafundisha na kuelekeza wafuasi wake kuwa " Mpende jirani yako kama unavyojipenda" " Mfanyie mwingine vile unataka ufanyiwe"

DAWA YA DENI KULIPA

Serikali ya magufuli inataka kulipwa madeni na washirika wake kwa namna yeyote kwa hiari na kwa nguvu, mfano: Wafanyabiashara kodi juu, huwezi funga biashara yako. Wawekezaji, urasimu na Kofi juu. ACACIA, kama hamtoi NOAH kwa kila Mtanzania ondokeni au muuze kampuni kwa wanaokubali kulipa deni bila kujali mkataba. Wakulima Wa korosho na sasa wakulima Wa pamba ni shida.

Deni LA Siku nyingi SAA kwa nini asilipe?

Kama anahela ya kujenga SGR na Bwawa la umeme kwa nini asilipe deni?

Wachina wanajipanga kukamata barabara zote walizotujengea kwa mkopo, kisa wamechukia tunavyosema tunajenga hizo barabara kwa pesa zetu.

Tujiandae kudhalilishwa kwa hiyo mikopo tunayoichukua kimyakimya.
 
Hizo ndege ni za rais na ccm, hakuna anayejua zimenunuliwa kwa njia gani na bei gani. Na uendeshaji wake hauko wazi watu kuweza kujua kama zinaendeshwa kwa faida au hasara. Hizo ndege huitwa za rais na sio za wananchi. Msitake kuwatumia wananchi kwenye utetezi wa hilo deni ambalo halifahamiki lilipatikanaje. Siku huyo Lissu akishika serekali anapaswa kujua hayo madeni yalipatikanaje, kama kuna watu waliyasababisha kizembe itakula kwao na sio kulindana kijinga. Sio kila mtu anajivunia hizo ndege maana , zinatumika kuhalalisha ukandamizaji wa kiitikadi.
Point of correction, sio ndege za Rais ni *ndege za Magufuli*.
 

Hawa watu wanastahili kuwaita majina yote mabaya zaidi ya wajinga.
Kila jambo baya linalotokea ukichunguza tayari walishaonywa sana na wabunge wa upinzani lakini wanaishia kuwakebehi na kusemea sio wazalendo.
Sasa hapo Kubenea kumbe deni hili alilisemea na hatari ya ndege kuja kushikwa lakini akapuuzwa!
Sasa kama sio upumbavu ni nini? Hawa tuwatoe madarakani hata kama ni kwa nguvu kisha waburuzwe mahakamani wote. Marabuk!
Hawa viumbe wa ajabu sana,ni wapuuzi hadi chenji.Wanashauriwa hawataki ushauri wakiuvaa mkenge lawama kwa wapinzani.Wanashangaza sana
 
Hili bwege kweli uhai wa mtu unaufananisha na ndege,basi nenda wewe ukawe dhamana ili ndege yetu iachiwe ndege ni bora kuliko wewe,kupigwa risasi lisu unaona hi kitu kidogo mpumbavu kweli wewe
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
 
Fastjet mlipoifanyia ubaya mlishangilia mkasahau suruali ilipotoboka matakoni mliweka kioraka cha gazeti, sasa imewanyeshea kiraka kimelowana na kimetoka, nyuma kuko wazi. Busara ni kukaa chini na kuomba msamaria alete nguo ujisitiri uende dukani, ukinunuanguo yako, rudisha nguo kwa msamaria ili ikitokea mwingine anahitaji imufae.
 
..ccm huwa wanashingilia cdm wakipigwa na vyombo vya dola, au wakihukumiwa kwa kesi za kubambikizwa.
Tukiwaambia hizi mali ni zetu ccm mnabisha. Si unaona ulichosema?
 
Back
Top Bottom