Define msalitiUhai wa msaliti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Define msalitiUhai wa msaliti?
kwa akili zako za luMIMBA utawezaje kujua anaeitakia mema nchi hii iliyovulugwa na mazwazwa wa LUMIMBA?Tangu lini chadema wakaitakia mema nchi hii?
kwasasahivi hoja yenu inayowanyima usingizi ni CHADEMA.. lkn kile chama chenu m'badala CUF.. swala la uenyekiti wake mmelivalia miwani ya mbao. jifanyeni hamuoni ila muda unakaribia wa kuwavua bikini zenyu mpate kuona na kujitambua.Nenda kadai uenyekiti wa chadema ,utaelewa nini maana ya msaliti na adhabu anayopewa
Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Toa mfano wa mtu awaye yoyeto aliyeshangilia vinginevyo wewe ndiye unajitekenya na kuchekaNyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Kwanza kabisa hawana hata mfano wa mtu mmoja aliyeshangilia, they are just shouting their stupidityUjinga ni kikundi Fulani kilichoharibu maisha ya watanzania kuamini kuwa kila wakifeli basi wanaofurahia kufeli kwao ni chadema.Waacheni chadema wamekaa kimya na hawashiriki hata chaguzi endeleeni na maisha yenu.
Watanzania hawaitaki ccm,hawawataki bali mnalazimisha huo ndo ukweli.
sawa sie nyumbu lakini nyie ni mazwazwa wakutupwa tumewajua akili zenyu za kizwazwa kwenye kesi ya LISSU. hebu nitajie mmeweka mawakili wangapi vileee??? ukichanganya na mkuu wao jumla wangapi?? mnapambana na vichwa vyenye akili nyingi vinne 4 tu kuadadadadadeki.. vichwa vya kizwazwa utavijua tu vinapokwama. KALIPENI DENI LA ATCL si mmejigamba mnanua KESHHHH hamkopi?? au na huko nako mnapeleka mawakili mazwazwa? huko mjue hakuna kubadili lugha kama mlivyozoea hapa. eti tuoengee kiswahili ili muelewe vizuri .. shwain kweli nyie.Mkatakalia hivyo hivyo nyumbuwasaliti wakubwa nyie
Mkatakalia hivyo hivyo nyumbuwasaliti wakubwa nyie
hiviii hiki kipigo unakijua vizuri? hao wadudu unawajua vizuri??Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Bogus kabisa yaani una compare mtu na vītu? Tuache kumpigania Tundu ila tupiganie ndege? tambua binadamu n muhimu kuliko vitu vyoteNyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Kwa kufikiri kuwa kila mtanzania asipokuwa CCM basi atakuwa Chadema!.Nenda kadai uenyekiti wa chadema ,utaelewa nini maana ya msaliti na adhabu anayopewa
Mkirindi,
..hilo deni limesababishwa na serekali za ccm.
..badala ya kuadhibu wana-ccm waliosababisha deni hilo mnaandama wapinzani.
Unasema hao wazungu wanao tupa misaada ya kujenga bara bara,shule,huduma za maji,huduma za afya na kupata ARV?Leo Tundu Lisu amegeuka mtetezi wa wazungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1532515